OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
- #61
Mzee chuo nshamaliza kitambo sana nipo mtaani nakula vumbi kama unataka kuniajili sawaSubiri ufike mwaka wa3 chuo urudi kuutazama uzi wako huu kama hujaukataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee chuo nshamaliza kitambo sana nipo mtaani nakula vumbi kama unataka kuniajili sawaSubiri ufike mwaka wa3 chuo urudi kuutazama uzi wako huu kama hujaukataa
unajua ni kwanini iliwezekana kujenga hayo madaraja na barabara zinazokushangaza !?Yaani mtu mwenye uwezo wa kutoboa mlima kati kati akapitisha daraja hajui afanye mishe gami anakuja kutuuliza sisi hapa jukwaani kweli,
Haya ni matumizi mabaya ya akili,
Tuacheni sisi tuliosoma bachelor of chinese na political science tuteseke mtaani ila sio hawa viumbe
View attachment 1927768
Siku nyingine uwe na adabu mkuu
Uchukue ukapike supu uleUmeandika utumbo tu
Hahah [emoji23]Uchukue ukapike supu ule
Umeona ulivyo mjinga hujui hata kusoma, hiyo ni Basic mathematics???? Hebu soma tenaHahahhah mama,hadi umepiga picha halafu ni basic math tena “C” ,nilidhani C ya advanced math kumbe Basic poor you,usiwanange sasa maengineer bongo
Una uhakika gani kuwa nilifeli hesabu? Kwa taarifa yako hesabu hazikuwahi kunishinda na Advance nilisoma PURE MATHEMATICS kama mbadala wa BAM, siku nyingine uwe na adabu mkuu.
Umeona ulivyo mjinga hujui hata kusoma, hiyo ni Basic mathematics???? Hebu soma tena
Nimeanza kuamini inawezekana kweli kuna ma ingineer wa mwendokasiWatu waliosoma Advanced math hawana mawazo finyu kama yako hayo,nawasiwasi hata kama a level ulisoma hesabu
Mwanafunzi wa HGE anasoma BAM advance??Nilikuwa na haraka ya kukujibu ndo maana,ulisoma HGE eenh
Sawa mr engineer ahsante kwa mchango wako ila nikikutana na wewe rejea kichwa cha habariKati ya watu wanaofikiria mattercall mtoa uzi ni mmojawapo!!
Mwanafunzi wa HGE anasoma BAM advance??
Nimeanza kuamini inawezekana kweli kuna ma ingineer wa mwendokasi
Ok sawa mkuu ahsante kwa mchango wako kiufupi hii mada ipo nje ya uwezo wako.Ndo maana nasema sijui hata kama advance ulifika
Labda kama nisijue kurusha ngumiSawa mr engineer ahsante kwa mchango wako ila nikikutana na wewe rejea kichwa cha habari
Halafu sio ingineer,ni Engineer
Ok sawa mkuu ahsante kwa mchango wako kiufupi hii mada ipo nje ya uwezo wako.
Ahsante?
Mkuu hongera sana, angalau wewe umetufungua akili kidogo wengine walikuwa wana react tu hawajibu chochote kwa hojaKazi ni ngumu siku hizi.
Sio Engineers wote wana kazi.
Kazi nyingi siku hizi zinafanywa kwa force account kutumia mafundi /technicians.
Miradi mikubwa wanapewa wenye nyenzo na mitaji mikubwa, hawa at least wanaajiri Graduates /Engineers kwa Uchache.
Sekta Binafsi inayojiri % kubwa ya wataalamu wa kada za majenzi ni kama vile iko ICU miradi mikubwa ya kawaida ya Serikali imeelekezwa kwa TBA (Ushauri na Usimamizi),Suma wao wanajenga.
Kampuni nyingi za ujenzi/ushauri zilizokuwa zinafundisha na kuajili wataalamu zimefungwa/suspended.
Achilia mbali kazi za Kiserikali huku sekta binafsi wenye kazi nyingi ambao wengi walikuwa ni wafanyabiashara wali/wamefunga biashara zao sababu ya Task Force iliyokuwepo na still bado hali haijatengemaa.
Kuna Tatizo kubwa la Ajira kwa kada ya Uhandisi,Usanifu na Ukadiliaji Majenzi.
Suluhisho :Sheria na kanuni zilizounda body za CRB, AQRB, ERB pamoja na PPRA, BLERA na TRA zipitiwe upya au zitumike ipasavyo ili kuondoa simtofahamu iliyopo ili kulinda taaluma na kuondoa utaratibu wa Serikali kufanya kazi zake yenyewe kwa kutumia local fundi.