Ukikutana na Engineer yeyote hana kazi, mchongo wala ramani yoyote ya maisha tafadhali mpige makofi

Ukikutana na Engineer yeyote hana kazi, mchongo wala ramani yoyote ya maisha tafadhali mpige makofi

Unatukana mainjinia wote ambao hawana kazi kisha ktk maelezo yako yamebase kwa civil engineers. Mleta uzi unajua kua kuna mechanical,Water resources,airplanes, information and technologies, computers,electrical, telecom,mining,chemical,petroleum engineers?? ao wote wanahusika na ujenzi?? Kengelez ww
Jamani water resources nipo hapa naombeni mchongo basi,nipo kanda ya ziwa
 
Mods sitaki mbadili title,

Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.

Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.

Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,

Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?

Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.

Nawasilisha.
Hao Wahandisi ni binadamu tu kama wengine; hakuna la ajabu!
 
Mods sitaki mbadili title,

Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.

Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.

Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,

Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?

Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.

Nawasilisha.
Umetoka kuuchapa au usingizini mwanangu? Kukosa kazi ni jambo la kawaida hasa kutokana na sababu za kufanya hivyo.
 
2019 mkuu
Tumehitimu mwaka mmoja..Mimi nimefanya interview Mara tatu za ajira portal juzi ndo nimebahatisha nafasi.kwa kada ya hydrologist technian ndo maana nakuuliza umesha apply na kufanikiwa kufanya mpk oral?
 
mi pia ni water resources bila shaka umesoma pale wdmi,ulihitimu mwaka gani?
Umepata ajira?hata Mimi Ni mhitimu wa pale na nimepata kazi kwa nafasi ya diploma baada ya kufaulu oral yao.. unamjua amimu?ye kamaliza nadhani 2018
 
Tumehitimu mwaka mmoja..Mimi nimefanya interview Mara tatu za ajira portal juzi ndo nimebahatisha nafasi.kwa kada ya hydrologist technian ndo maana nakuuliza umesha apply na kufanikiwa kufanya mpk oral?
No sijafanya interview utumishi,hua nafanya kwenye makampuni binafsi
 
Brother unaongea vitu vya kusadikika, Engineers Africa kukosa kazi unaona kitu cha ajabu? inawezekana huishi Africa...Africa ina mambo mengi sana ya moto hii...

Europe na America wameshafanya setting kwa miaka mingi sana kwa watu wao kuishi lengo kuu la setting ni watu wao kuishi si vinginevyo...ndio hata baadhi ya nchi zilifanywa kuwa ndogo ili ziwezi kuwaaccomodate watu waweze kuishi vizuri....

Tatizo la Africa toka tumepata uhuru, watawala na wananchi wote hawajui cha kufanya ili watu waishi maisha mazuri na mataifa yastawi baadala yake imekuwa shaghala bhaghala vuta nikuvute matokeo yake mkoloni amekuja kutawala kivingine na Africa kuendelea kuwa koloni mpaka leo..

Sio lazima tuwe na Taifa kubwaa, kama tumeshindwa tuikatekate vipande nchi itoke hata nchi nne maana inaonekana akili zetu hazina uwezo wa kuset mambo kwa ukubwa huu wa Taifa letu..
 
Una uhakika gani kuwa nilifeli hesabu? Kwa taarifa yako hesabu hazikuwahi kunishinda na Advance nilisoma PURE MATHEMATICS kama mbadala wa BAM, siku nyingine uwe na adabu mkuu.
Mmmh kwa maelezo haya inaonyesha his kusoma hisabati A level.
 
Hujaelewa point yangu, namaanisha mtu mwenye uwezo wa kujua aweke nguzo za aina gani na daraja lenye uzito flani baharini ili magari yaweze kupita ndio anaweza kushindwa kujua afanye biashara gani kweli??
Sidhani kama hata unaelewa nini umeandika, kwa hiyo vile ana uwezo wa kuchoronga milima na kupasua miamba na kupitisha magari baharini, huyu mhandisi atakuwa mzuri kwenye michongo ya biashara? Naomba ujisikilize tena... entrepreneurship is not for everyone mzeeiya.
 
Umepata ajira?hata Mimi Ni mhitimu wa pale na nimepata kazi kwa nafasi ya diploma baada ya kufaulu oral yao.. unamjua amimu?ye kamaliza nadhani 2018
Bado sijapata ajira, nlihitimu mwaka 2019 kwa ngazi ya shahada
 
Pumba sasa wewe mtoa mada hivi unadhani ile milima au hayo madaraja unatoka tu kwako na sururu au chepe unakwenda kuchimba au kujanga.Wewe ilitakiwa kuilaumu serikali na sio mtu mmoja kamaliza chuo hana hata practical ya kujenga tofari la udongo
 
Mods sitaki mbadili title,

Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.

Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.

Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,

Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?

Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.

Nawasilisha.
Kwa hiyo walio soma biashara au business ukikutana nao wanalia hawana biashara piga makofi?
 
Back
Top Bottom