Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
- Thread starter
- #261
Aisee nna mashaka wewe usingejibiwa zaidi ya kuzabwa makonde........Na konde la Mungu ni sawa na kuangukiwa na jengo la WTCMie ningemuuliza kwa nini kuumba warembo (jamani kuna warembo!) halafu hapo hapo kubandika Amri ya Sita?
Kwa nini ametuacha tukatengeneza pesa halafu inatunyanyasa? Kwa nini anakubali ndugu zetu wengine wawe vichaa?
Thanks.......Seems huna swali kwa Mwenye kila kitu chake duniani na mbinguni.Thanks for sharing. I like this.