Nyikanavome
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 484
- 178
Kama hujui kitu ni bora ufanya utafiti kwanza kabla kupost unashindwa hata ku "GOOGLE"
Na ndio hoja ilikuwa imelenga hapo. Ila wewe umekosea kidogo tu. wenzio walitaka kutoa takwimu za shule za kiislamu na zile za kikristo. matokeo ingeonekana za kikristo zinafanya vizuri kuliko za waislamu maana hawali nguruwe. Roho zenu zingekuwa kwatuuuuuu!!!! Lakini napenda niseme neno moja. Huwa mnasema waislamu hatuna akili maana hatusomi au huwa hatuna akili kwa sababu ya madrasa. sasa leo mnasema kuwa hatuna akili kwa kuwa hatuli nguruwe..... Sasa nawaomba mtoe neno moja tu kwamba waislamu hatuna akili kwa sababu fulani.... na siyo leo mnasema hili kesho hili mwisho wa siku mtaonekana ninyi ndo hamna akili maana hamsemi kitu chenye msimamo. ni propaganda zisizo na msingi. tangazeni katika vyombo vya habari kwamba waislamu hatuna akili kwa sababu hatuli nguruwe ama kwa sababu ya madrasa au sababu fulani. muwe na msimamo mmoja. Hivi watafiti gani huwa wanakuja na conclusions tofauti kwa the same research????
Ahaa! Sasa nimekuelewa, wewe sio kilaza ila kilaza ni yule imamu aliyekuwa anahubiri kuwa ukimtolea maskini sadaka basi unamtolea allah. Na nijuavyo mimi, kondoo yule wa kafara lenu akishachinjwa 1/3 kwa familia, 1/3 kwa marafiki na iliyobaki kwa maskini.
Basi tangu leo nimeelewa kuwa SADAKA si ile ya kuwatolea maskini. Natamani maduka ya Ubani, mayai viza, nazi mbovu, udi, marash muje, ubani maiti, sanda, macho ya bundi na kaniki yangeuza pia kitimoto
Juha WEWE!
Ukiambiwa Maharage yana protini hiyo haimaanishi mayai hayana. Ujinga wako una sababu nyingi. Hii ni moja wapo.
Kama kusema hili leo na kesho ukasema lile ni ujinga, basi hapo unapigia mstari ujinga wenu. Kuna wakati mnasema Ponda ni kiongozi wa Waislam anatetea dini. Ikifika kwenye madhambi yake watu wakasema Uislamu ni fujo, mnabadilika, oooh wale waliofanya vile ni wahuni tu, uislamu haufundishi vile
nimekiona kipedo kwa mbaliiiiiiiiiiiiiiiii! wangemlegeza kipedo apate hewa! kwi kwi kwi kwi! mmenichekesha na hii sredi leo!Najisi ni ulafi kama huu
Kumbe tuna akili? mimi nilijua hatuna akili maana hatuli nguruwe..... Au ulimaanisha tuna akili mbovu zinazofanana?
pusi kasoro manyoya wewe! sasa ukichinja baba au mwanao hujui kuwa utakuwa umeua na utakuwa umekiuka amri ya tano!acha kuwa na akili kama kima, biblia inasomwa kwa akili na si kimbumbumbu kama mnavyokaririshwa juzuu halafu mnashindanishwa nani kakariri zaidi! kwa taarifa yako biblia ni neno halisi na kweli na jinsi ulivyosoma siku za nyuma ukisoma leo unapata concept zinazoendana na present time sio sawa na lile neno lenu mfu lililofariki toka enzi zileee haliendi na wakati na hata mungu wake hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu tu! huyo hawezi kuwa Mungu aliyeumba ulimwengu wote, mataifa, lugha na makabila yote na hivyo anapaswa kujua lugha na makabila yote! angalia sasa mungu wa qur'an yeye anajua kiarabu tu, ole wako uswali kwa lugha nyingine ujue imekula kwako hatakuelewa! huyo mnaemuabudu ni mungu wa kienyeji wa waarabu kama ambavyo mababu zetu walivokuwa wanaabudu miungu yao ya kienyeji mapangoni, milimani, chini miti mikubwa n.k
kupe mimi nimekuweka kwenye kundi la wachochezi na wanaohatarisha amani ya nchihii ni katika mazungumzo na msomi mmoja na alinitolea mfano wa nchi zinazokula sana kitimoto kama Ujerumani , China na nchi nyingi za Ulaya jinsi watu wake walivyo na upeo mkubwa wa akili na kufikiri. Na akanipa mfano wa nchi zisizokula nyama hiyo zilivyo na matatizo ya akili na upeo.
Nimeamini wewe ni kafiri tu!Kumbe hata furqan huisomi eeh!Kasome Q5:82! Au unataka pia sababu nuzul ya hiyo ayat, na muamad kaifundishaje, pia imeshuka wapi? Sema tu dogo mantahofu! Mie Mwana wa Mungu nitakufunulia!
Kitu cha RUDY's FARM BAHARI BEACH kinanogaje?
Ahaa! Sasa nimekuelewa, wewe sio kilaza ila kilaza ni yule imamu aliyekuwa anahubiri kuwa ukimtolea maskini sadaka basi unamtolea allah. Na nijuavyo mimi, kondoo yule wa kafara lenu akishachinjwa 1/3 kwa familia, 1/3 kwa marafiki na iliyobaki kwa maskini.
Basi tangu leo nimeelewa kuwa SADAKA si ile ya kuwatolea maskini. Natamani maduka ya Ubani, mayai viza, nazi mbovu, udi, marash muje, ubani maiti, sanda, macho ya bundi na kaniki yangeuza pia kitimoto
astaghafulilah!!! unawachokoza eeeeeee?? mie nimechoshwa na maandamano yao! jana hubby wangu kaniletea yule mtekeee, mchanga, mtamujeeeeeeeeeee!! na hivi nilikuwa nimeimiss nilijiramba mwanzo mwisho!
Aaah wapi, wewe una govi bwana maana unakuwa mkali sana. Watu wenye magovi huwa wakali sana na wala huwa hawaogi mbele za watu.
Mtoa mada kwa taarifa yako kwa mujibu wa survey iliyofanyika dsm ninkuwa wakati wa mfungo wa ramadhani mauzo ya kiti moto hushuka
Juha ni mtu yeyote asiyeelewa maandiko. Isaya 66(1) mpaka 66(4) Mungu hapendi sadaka zetu kwa ajili yake!!! Ndo maana anasema mtu akichinja ng'ombe kama sadaka yakumtolea Mungu ni machukizo!!! Huelewi nini hapo wewe kilaza namba 100 duniani? Katika aya hiyo (kwa kuwa wewe ni kilaza) nakuelwesha kwamba kuchinja ng'ombe kwa ajili nyingine hakukukatazwa ILA ukichinja ng'ombe kwa ajili ya sadaka ndo machukizo na si kile kitendo cha kuchinja!!! Mmezoea kusomewa maandiko na askofu wapi na wapi utaelewa wewe? kwanza huna roho mtakatifu maana unakula nguruwe na nguruwe ni najsi. mtu mwenye najisi hawezi kuwa na roho mtakatifu which means hawezi kuwa mtakatifu!!! Na ndo maana Yesu hakula nguruwe alikula SAMAKI!!!!!!
Kumbe!!!! Sikujua kama Mungu wenu aliweka amri (wamba usiue nk). Kwa hiyo yule Mungu aliyekataza kula nyama ya Nguruwe ni tofauti na yule aliyekataza kuua?????
Kwanini msikutane faragha ili uthibitishe kama ana govi au la!
Nani kwa mujibu wa maandiko hayo kaambiwa na MMungu ASILE NGURUWE?Sio unakurupuka na kubandika tu."The Leviticus 11 says 4*"'There are some that only chew the cud or only have a divided hoof, but you must not eat them. The camel, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is ceremonially unclean for you. 5*The hyrax, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is unclean for you. 6*The rabbit, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is unclean for youSent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums