Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Status
Not open for further replies.
Nilimaaninisha hawali Kulingana na maadili ya dini yao ya kiyahudi (Judaism) kwa sababu hypothesis ilikuwa sehemu yenye walaji wengi wa ngurue ndio yenye watu wenye akili. Nami nilijiunga kujaribu kuchaigia hii ishu ya kutest hypotheasis bila hard data

Kama hujui kitu ni bora ufanya utafiti kwanza kabla kupost unashindwa hata ku "GOOGLE"
 

Juha WEWE!

Ukiambiwa Maharage yana protini hiyo haimaanishi mayai hayana. Ujinga wako una sababu nyingi. Hii ni moja wapo.

Kama kusema hili leo na kesho ukasema lile ni ujinga, basi hapo unapigia mstari ujinga wenu. Kuna wakati mnasema Ponda ni kiongozi wa Waislam anatetea dini. Ikifika kwenye madhambi yake watu wakasema Uislamu ni fujo, mnabadilika, oooh wale waliofanya vile ni wahuni tu, uislamu haufundishi vile
 

Wewe mbumbumbu kweli.... sasa badala ya kuhitimisha kwa kutumia dini yako ya kula nguruwe unahitimisha kwa dini ya wenye majini? Malizia kwa dini yako kwa sababu andiko hilo sikulitoa katika korani nimelitoa kwenye biblia. Ulichotakiwa kujua kitabu chetu cha majini kama kimeruhusu kutoa sadaka ama la... Unapoingilia maandiko ya wengine walioruhusiwa kuchinja kisha unakubaliana nao wakati dini yako imekataza unakuwa unapotoka. Sisi tumeruhusiwa kutoa sadaka ya kuchinja biblia imekataza sasa unapotuunga mkono sisi nani anaonekana mjinga? Ukiunga mkono watu wajinga (ujinga uliosababishwa na kutokula nyama ya nguruwe) nawe unakuwa mjinga (japokuwa unakula nyama ya nguruwe).
 

Kwani ponda naye ana akili??? Hana bwana tusimjadili...... Atakuwaje na akili wakati hali nyama ya nguruwe?
 

Kumbe!!!! Sikujua kama Mungu wenu aliweka amri (wamba usiue nk). Kwa hiyo yule Mungu aliyekataza kula nyama ya Nguruwe ni tofauti na yule aliyekataza kuua?????
 
kupe mimi nimekuweka kwenye kundi la wachochezi na wanaohatarisha amani ya nchi
 
Last edited by a moderator:
Nimeamini wewe ni kafiri tu!Kumbe hata furqan huisomi eeh!Kasome Q5:82! Au unataka pia sababu nuzul ya hiyo ayat, na muamad kaifundishaje, pia imeshuka wapi? Sema tu dogo mantahofu! Mie Mwana wa Mungu nitakufunulia!

Kasome vizuri mimi "furqan siijui". Wala hicho kitabu sikijui. au ndo quran? Maana kwa kubeza dini za wengine hamjambo. Mnakojolea quran mtashindwa kuuita qurani kuwa ni mavi? Fafanua Furqan ndo qorani?
 
Kitu cha RUDY's FARM BAHARI BEACH kinanogaje?

Kaka wewe utakuwa ni mmoja ya member ninaokutanaga kule maana mie ni mfuasi mzuri sana wa mitaa ile. Kitu cha sausages na ile ya kuchoma.
 

Umeharibu mada katika uzi. Lengo la uzi huu ilikuwa ni kuthibitisha kuwa wasiokula (waislamu) nguruwe hawana akili kuliko wanaokula (wakristo). Sasa wewe umekubali kueleweshwa na mtu asiyekula nyama ya nguruwe? Unanipa ujiko? wenzio wameweka hii thread mpaka mwisho inatakaiwa ionekane waislamu hawana akili na wala hawana uwezo wa kumfundisha mkristo. Sasa hata kama umenikubali kwamba mimi ni mkali kwakunibeza, utakuwa umechafua mada!!!! Wenzio wakimdhalilisha mwislamu roho zao huwa kwaaaaa. Na ndiyo maana mwislamu hawezi kupata haki katika nchi hii mpaka wakristo waridhie.
 
dah ya ukweli hii msosi, kwakweli amabao hawali wanakosa raha duniani
 
astaghafulilah!!! unawachokoza eeeeeee?? mie nimechoshwa na maandamano yao! jana hubby wangu kaniletea yule mtekeee, mchanga, mtamujeeeeeeeeeee!! na hivi nilikuwa nimeimiss nilijiramba mwanzo mwisho!

mbona tunajazana mate mdomoni na kutenguana udhuu mtatufanya tuharibu bajeti wakati hatujapangilia kulamba... shwain.. na shida yake ukimla huyo lazima ushushie na ile kitu bariiiidiiiiiiiiiiiiii
 
Mtoa mada kwa taarifa yako kwa mujibu wa survey iliyofanyika dsm ninkuwa wakati wa mfungo wa ramadhani mauzo ya kiti moto hushuka

Kwa hiyo ni dhahiri kwamba ujanja walionao waislam dar unatokana na kitimoto!!
 

Kaka unang'ang'ania Yesu hakula nguruwe sawa tufanye hakula coz Yesu alikuwa myahudi na wayahudi kwa kufuata sheria za Musa na agano la kale kwa ujumla wake au ile aya ya Kitabu cha Mambo ya Walawi hawakuruhusiwa kula nguruwe lakin kwa upande mwingine hata kama Yesu alikula Nguruwe we ulitaka iandikwe kwenye Injili kwamba Yesu akatoka Nazareti akafika Kapernaumu akala Nguruwe na wafuasi wake!!? Ndio unavyotaka?
kama ulikua hujui ndio ujue kwamba kama kila k2 alchofanya Yesu Kristu kingeandikwa basi Dunia ingejaa Vitabu vya maisha ya Yesu, kilichoandikwa kuhusu maisha ya Yesu ni yale tu yenye Spiritual significance kwa sisi wafuasi wake na cyo kuandika Ratiba ya Yesu ya kila siku kuanzia kulala kula na kuamka, kuoga na kwenda haja!
Na unavyong'ang'ania eti ooh Yesu alikula Mkate na Samaki tu nazid kutilia shaka upeo wako maana sawa kwenye Injili incidence za Yesu Kula zimetajwa mara 3 na kati ya hizo mbili ni za Mkate na Samaki kwa maana hiyo Yesu huyu alikula mara 3 tu katika maisha yake? Je unajuaje hyo milo mingine ambayo haikutajwa kama alikula Nguruwe au hakula? Nonsense!....kjana una UKIMWI (Ukosefu Wa KITIMOTO mwilini) unahitaji kilo kadhaa upanue upeo wako wa Mawazo.
Me nimesoma comment zako za nyuma nyngi tu, hujui chochote kuhusu Paulo mtume na kuenea kwa Ukristo karne ya 1 AD hebu go bak 2 school usi rely sana na unayockia kwenye mihadhara! Kama unataka battle ya Historia kuhusu hyo dini yenu na ukristo I ll be glad tu battle chochote hapa JF kwa manufaa ya Waislam wenzio na wkristo wenzangu, watu tuna elimu zetu both ya dini na hii elimu dunia hatubabaishwi na kashfa za mihadhra ya hao wasioujua ukristo, kuhusu mada ya Nguruwe cc hatubanwi na Agano la kale ambalo lilikuwa agano maalum kati ya Mungu na Wayahudi bali agano la Jipya na ni Mungu huyu huyu wa wayahudi alieweka agano la kale ndiye aliemuumbua Petro baada ya Petro kusema tangu azaliwe hajawahi kula kitu najisi na Mungu akamwambia hakuna kilicho najisi kati ya alivyoviumba yeye including Nguruwe of coz labda kama nguruwe aliumbwa na shetani, ukiniuliza kwanini Mungu alitengua mambo ya walawi nitakuuliza Je Talaka ni option ya Mungu tangu mwanzo? Utasema ndio kwa ujuha wako coz ipo kwny quran ambayo inaiclude pia sheria za Musa, Mungu aliweka talaka baada ya Ugumu wa mioyo ya wanadamu lakini hakukusudia iwepo rejea maneno ya Mungu kwenye story ya Uumbaji wa mwanaume na mwanamke! Sasa kama Mungu kumbe anabadilishaga agano sasa ugumu wa Kuelewa kwanini sisi tunakula Nguruwe wakati imekatazwa kwenye Mambo ya Walawi unatoka wapi!?
Think Big Kaka acha kumezameza, Kula KITIMOTO ufaulu maisha kama waseminari!
 
Kumbe!!!! Sikujua kama Mungu wenu aliweka amri (wamba usiue nk). Kwa hiyo yule Mungu aliyekataza kula nyama ya Nguruwe ni tofauti na yule aliyekataza kuua?????

Pole sana! wewe ulifikiri JEHOVAH ni sawa na yule allah aliyewaruhusu kuua na kujiua(kujitoa mhanga) halafu anakuahidi utapata mabikra 72 kule ahera! what a ridiculous doctrine!! one need to be an insane to believe this trash!
 
Nani kwa mujibu wa maandiko hayo kaambiwa na MMungu ASILE NGURUWE?Sio unakurupuka na kubandika tu."
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…