richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,023
Hee!Elfu 4.
Si nilikunywa nusu tu? Ile hata haikupanda kichwani.
Wala hata haina haja ya kuwadanganyia chupa ya soda. Smirnoff ya kopo ipo kama apple punch tu πKumbe tutaanza na holy man.
Unampa kwenye chupa ya soda.
Kwahiyo chakula kizuri kula kabla ya kunywa pombe ni kipi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kama Apple punch[emoji23][emoji23][emoji23]Wala hata haina haja ya kuwadanganyia chupa ya soda. Smirnoff ya kopo ipo kama apple punch tu [emoji23]
Nyama choma, makange, vyuku, hotchair and the like. ila ubwabwa big no, na chips yai.
Haaa mkuuππππNikilewaga huwa natongoza chochote kilicho mbele yangu..hata mbwa...hahhaa
Kwani utatosheka na moja?Hee!
Mbona bei rahisi,au siyo pombe?[emoji1787]
Bei za soda kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si nilikunywa nusu tu? Ile hata haikupanda kichwani.
Mimi threshold yangu ya uchungu iko juu sana so sioni uchungu wowote kwenye hivyo vidude. Ntamtafutia hiyoAmarula ule uchungu hatouweza.
Au apige strawberry lips [emoji7] ataona kama anakunywa yoghurt strawberry flavored.
Moja haileweshi kwani?Kwani utatosheka na moja?
Hizi bia lite ni buku jero tu. Pombe si gharama mbona! Wala huhitaji hela nyingi kulewa kama uko mwenyewe. Kinachoteketeza hela bar ni kuzungusha round na kununulia pisi vinywaji.Hee!
Mbona bei rahisi,au siyo pombe?[emoji1787]
Bei za soda kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaAnatuzingua huyu yani mi sikumuelewa kabisa yuko serious anaagiza maji afu anasema anatamani anywe. Sijui opportunity anayosubiria ni opportunity ya aina gani na itashukaje kutoka mbinguni. Nadhani anasubiri mbingu ifunguke sauti isikike kutoka mawinguni ikisema "piga vyombo mwanangu mpendwa niliyependezwa nawe"
Smirnoff blck iceInabidi niwaulize Sasa wanywaji ni kilevi gani ninachoweza kunywa kitamu kitamu kinachoendana na soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi bia lite ni buku jero tu. Pombe si gharama mbona! Wala huhitaji hela nyingi kulewa kama uko mwenyewe. Kinachoteketeza hela bar ni kuzungusha round na kununulia pisi vinywaji.
Hiki kinywaji ni balaa, nadhani aanzie humuWala hata haina haja ya kuwadanganyia chupa ya soda. Smirnoff ya kopo ipo kama apple punch tu [emoji23]
Nyama choma, makange, vyuku, hotchair and the like. ila ubwabwa big no, na chips yai.
Depal naona pombe uliyoniambia imetajwa tena.Smirnoff blck ice
In vino veritas [emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Sasa we unapiga K vant dry unategemea amarula uione chungu kweli? πMimi threshold yangu ya uchungu iko juu sana so sioni uchungu wowote kwenye hivyo vidude. Ntamtafutia hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha
Sijui ni ushauri wa rangi gani bado hajaupata mpaka anashindwa kufanya maamuzi.
Pombe tamu ukiinywa kwa kiasi [emoji7]