Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kuna kulala mitaroni tena?[emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahahahahaha karibu kwenye chama..!! Ile ushauri wangu, siku ya kwanza lewea au nywea nyumbani, tena chumbani na ufunge milango kabisaa..!! Maana unaweza shangaza hadi wanaokuzunguka. Na bahati mbaya hujijui ukilewa unakuwaje..!! Ukilewea mbali, unaweza jikuta umelala mtaroni maana kuna kukosa nguvu za kufika home..!!
Mie mnywaji bana sio mlevi dearWalevi mna ushawishi[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanywaji mna ushawishi[emoji4]Mie mnywaji bana sio mlevi dear
Vibe la kulewa lina raha sana, you feel so excited hasa mie huwa napenda kunywa nikiwa na furaha sio matatizo!πWanywaji mna ushawishi[emoji4]
Kwani hujawahi waona wana wa hivyo? Unajuwa, wakati unakunywa, unaona muda umesimama, pombe haitoshi..etc.. unakuja shituka, saa saba usiku hii hapa na upo MBWIIIIIIIIIIIIIII...!!! Wa kuondoka bila kuaga washasepa kitambo sana, umebaki peke yako.. Unapowaza kwenda home, unaweza jikuta unajisemea, HEBU NIKAE HAPO KWANZA NIPUMZIKE KIDOGO..!!! Ntolee hiyo...!! Mara paap, kitu cha subuhi hiki hapa na upo pale pale uliposema ukae kidogo upumzike..!!Kuna kulala mitaroni tena?[emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We ulikunywa pombe gani ya kishamba namna hioπ ?!Mpendwa usijaribu mimi niliwahi kuchanganyiwa kwenye juice ni chungu zaidi ya kutapika na kuumwa sana kichwa hakuna zaidi huwa najiuliza walevi wako sawa kweli.
Hizo pombe za namna hii ndio mie sinywagi π pombe za mpaka unasahau kurudi kwako?Kwani hujawahi waona wana wa hivyo? Unajuwa, wakati unakunywa, unaona muda umesimama, pombe haitoshi..etc.. unakuja shituka, saa saba usiku hii hapa na upo MBWIIIIIIIIIIIIIII...!!! Wa kuondoka bila kuaga washasepa kitambo sana, umebaki peke yako.. Unapowaza kwenda home, unaweza jikuta unajisemea, HEBU NIKAE HAPO KWANZA NIPUMZIKE KIDOGO..!!! Ntolee hiyo...!! Mara paap, kitu cha subuhi hiki hapa na upo pale pale uliposema ukae kidogo upumzike..!!
Ndo maneno yetu hayo ya kuhalalisha tukifanyacho..!! AhahahahaaMie mnywaji bana sio mlevi dear
Kanywe reds kama utaona uchungu..!!Mpendwa usijaribu mimi niliwahi kuchanganyiwa kwenye juice ni chungu zaidi ya kutapika na kuumwa sana kichwa hakuna zaidi huwa najiuliza walevi wako sawa kweli.
Mara nyingi za hivi ni wale wanaojifanya KUAGA wakati wanataka kuondoka..!! Wana wanakushikia bango uendeleee..Hizo pombe za namna hii ndio mie sinywagi π pombe za mpaka unasahau kurudi kwako?
We ni mnywaji kama mimi tu, mie sijawahi kuwa mtumwa wa pombe! Nakunywa when i feel happy and excited about something good in life! Sijawahi kunywa sababu ya matatizo π π πKulewa inategema na kichwa cha mtu.
Me nikilewa Sana nasinzia kinyama, kwanza siongeagi sana.Macho yanalegea kichwa huo muda kinaniambia kalale kalale weee. Yan napataga sana usingizi.
Nina rafiki yangu akilewa ni aibu kwa company nzima. Napataga tabu za kumshtua 'hey stop it stop that.
Nikilewa kidogo napata vibe la kudance, nakuwa happy hatari, nakuwa story teller naongea π
Yote kwa yote pombe ukijua kuicontrol mbona pambe tu. Ni nzuriiiiiiiii, me hainiendeshi, naweza kata 3 months sijaitia mdomoni.
Hahah!Vibe la kulewa lina raha sana, you feel so excited hasa mie huwa napenda kunywa nikiwa na furaha sio matatizo![emoji28]
wana wanazungusha tu aisee mpe mbili huyo π π πMara nyingi za hivi ni wale wanaojifanya KUAGA wakati wanataka kuondoka..!! Wana wanakushikia bango uendeleee..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani hujawahi waona wana wa hivyo? Unajuwa, wakati unakunywa, unaona muda umesimama, pombe haitoshi..etc.. unakuja shituka, saa saba usiku hii hapa na upo MBWIIIIIIIIIIIIIII...!!! Wa kuondoka bila kuaga washasepa kitambo sana, umebaki peke yako.. Unapowaza kwenda home, unaweza jikuta unajisemea, HEBU NIKAE HAPO KWANZA NIPUMZIKE KIDOGO..!!! Ntolee hiyo...!! Mara paap, kitu cha subuhi hiki hapa na upo pale pale uliposema ukae kidogo upumzike..!!
Utajiskia feeling flani hivi nzuri sana hasa uwe sehem yenye mziki tulivu π halafu ipigwe ngoma inayokufurahisha lazma utachezesha mikono na kichwa π !Hahah!
Dawa ni kusepa kimya kimya..!!! Unafanya hivi, unaondoka mara ya kwanza kama unaenda washroom, then unarudi... Unakaaa, halafu unaondoka tena kwenda washroom na unarudi tena... Mara zote hizo huagi..!!! Mara ya tatu ukiondoka kama vile unakwenda washroom, NDO UNASEPA JUMLA NA KAMA NI SIMU UNAZIMAHahaha
wana wanazungusha tu aisee mpe mbili huyo π π π
[emoji23][emoji23][emoji23]Utajiskia feeling flani hivi nzuri sana hasa uwe sehem yenye mziki tulivu [emoji28] halafu ipigwe ngoma inayokufurahisha lazma utachezesha mikono na kichwa [emoji28]
IKIKOLEA UNASIMAMA UNACHEZA..!!! Yaani wakikuwekea unaoupenda, wanakuwa wamepa mchezo show wa siku hiyo..!!! DJ akizungua unamfuata... OYAA NIWEKEE MASEBENE YA KOFFIIII... na unamtoa na bia..!!Utajiskia feeling flani hivi nzuri sana hasa uwe sehem yenye mziki tulivu π halafu ipigwe ngoma inayokufurahisha lazma utachezesha mikono na kichwa π
Hujaona ile clip ya hakuna mungu kama wewe yahwee ilivowabamba walevi club![emoji23][emoji23][emoji23]
Nitaweka gospel matata,au bongofleva za zananii.
Hahahah hio nilishamfata dj kabisa nikaona ananifelisha π π π aniwekee la fally ipupa associe au 100 kilos ya ferre golaIKIKOLEA UNASIMAMA UNACHEZA..!!! Yaani wakikuwekea unaoupenda, wanakuwa wamepa mchezo show wa siku hiyo..!!! DJ akizungua unamfuata... OYAA NIWEKEE MASEBENE YA KOFFIIII... na unamtoa na bia..!!