[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we mshenzi umenichekesha sanaRaha ya pombe utoe ahadi ambazo hazitekelezeki au kujipa vyeo ambavyo huna ..kunywa pombe na kwenda kulala ni matuzi mabaya ya pombe na afya yako
Kunywa pombe kisha zikipanda kichwani ambia watu upo na ajira za kutosha lakini huoni vijana waaminifu wa kufanya nao kazi.Wape zoezi la kuandika barua na CV wakuletee kesho uwape kazi
Wakati huo wewe unakunywa ili upunguze stress za maisha ya jobless .[emoji23][emoji23]ambaye hanywi pombe anakosa vitu vitamu sana kwenye dunia ilijojaa chuki, husda na kuvunja moyo
Kulewa inategema na kichwa cha mtu.Inakuwaje kuwaje eti?
Mimi huwa najiuliza sipati majibu,watu wanalewaje??
Yaani mtu anakunywa tu Yale maji hadi analewa[emoji848]
Huwa najiuliza sana inakuwaje kuwaje[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tu??Nataka siku moja nijaribu kunywa nione kulewa kunakuwaje.
Ila nadhani siwezi kulewa .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28] unanikumbusha miaka ya 2004 nikiwa Chake-Pemba kuna Mangi mmoja alikula safari Moto kadhaa aliangua kilio kikubwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mimi hua naanza kulia nikigida sana hasa nikipiga za kawaida then uniongezee k vant ntalia weee kama mtoto
Kwamba watakua na njaa ya vitumbua [emoji28][emoji28][emoji28]Utakuja kuamka ujikute na Birthday suit halafu sehemu usiyoijua wahuni washasepa [emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kufanya yao. Shauri yako wahuni si watu.
Unasema kuna.....Mawasiliano park kuna watoto wanamwaga viuno
💯💯Lazima niwatumie msg ma ex wangu sumu ajichanganye kujibu
@Saint Anne mimi na huyu ndugu tumenawa mikono yetu, usiache kuscreenshot posts hizi for future...najua hatua uliyonayo kuonja ni kubwa sana, hadi uonje ndio utatulia.Pamoja na changamoto unazopitia mdogo wangu bado nakushauri usithubutu kujaribu
Naamini ukitumia haita kuondolea hizo stress bali itakupa break tu kwa muda na itakuongezea zaidi ya hizo uzipatazo
Ninaamini zitakwisha tu jitahudi kuvuta subira tuu
ambao tumeokoka tu comment wapi...??.😌😌😌Ikiwa weekend ndio imeanza mi nimeona ni share hii mada, maana mi nnapo kunywa pombe hasa pale nnapifikisha chupa ya 12 hua naanza kuchukua namba za simu za warembo wanaokatiza mbele ya macho yangu na nikifikisha chupa ya 18 hua nasogea kwenye viti virefu kaunta hapo sasa pombe baridi zinaanza kushuka huku zikisindikizwa na ala ya music laini nakamata pisi yoyote ambayo ipo bling bling nacheza nayo music huku nikimchombeza tuondoke wote tubadili kiwanja au tukalale mwisho mitego yote ikifeli namshawishi tukapige story kwenye gari kisha tutarudi akikubali tu kaisha.. ila kesho yake hua najuta kwanini nlikunywa kiasi kile mpaka nikafanya matukio kishujaa... share tabia yako baada ya kumoka View attachment 1874469
Nilishakaambia katest saint Anna ila hakaelewi. Kila siku kanaendelea kuomba ushauri [emoji23] sikaelewi, sijui kanataka kusikia kipi kipya?
Saint Anne au jaribu strawberry lips, sema ile ni tequila inaweza kukujutisha [emoji1787]
[emoji120][emoji120][emoji120]@Saint Anne mimi na huyu ndugu tumenawa mikono yetu, usiache kuscreenshot posts hizi for future...najua hatua uliyonayo kuonja ni kubwa sana, hadi uonje ndio utatulia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado tu??
Embu fanya kweli
Kamata wine mda huu hapo room tia kwenye glass anza kunyonya mama..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Yaani wangejua kiwango cha stress nilichonacho basi wangenihurumia na kunishauri ninywe.
Stress zinaongezeka hadi napungua uzito.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoo[emoji2][emoji2]Basi nitakualika...nikununulie Robertson
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Aise hii kituView attachment 1874616
Hee [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Tokea nitembee na magoti kwenda nyumbani sina hamu na pombe mwaka wa tatu huu. Mpaka leo magoti yana alama za michubuko.
Hii ni laini sana
Kumbe ni chungu!Mpendwa usijaribu mimi niliwahi kuchanganyiwa kwenye juice ni chungu zaidi ya kutapika na kuumwa sana kichwa hakuna zaidi huwa najiuliza walevi wako sawa kweli.
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha huwa najuuliza msio kunywa pombe yan mnafananaje