Ukimfuatilia Prof Assad utagundua si mtu smart kama ambavyo watu walidhani

upo sahihi kabisa. prof mwenye akili hawezi jisifu anaacha kazi yake mwenyewe ionekane si kuongea kwa kuonesha kuwa yeye ni somebody. hapo alipoteza umakini kabisa. alipasw aawe humble asimamie anachoamini kwa hekima na heshima.
 
Profesa anajichora kwa kuruhusu tumjue sana, amekuwa cheap and available kwenye public domain…. kilaza yeyote anaweza kumjadili.

Sio mwanasiasa, ameshafurushwa ofsini…. basi atulie.
 
Ninyi panya buku Prof.Assad au Simba ni habari nyingne
 
Weka data acha kubwabwaja. wakati nyinyi mnaimba mapambio ya kumsifu bwna wenu Prof. ndiye mashine iliyomdindia Magu na bunge zima
umekuja mtetea bwana ako kumbe? ndiye unajua anavyokudindia? ndo maana.......
 
Agopa sana kitu kinachoitwa karma. Kujaribu kumshusha mtu brilliant na smart kama Prof. Mussa Assad, kwa hoja muflis za uongo, there is a price to pay!. Prof Assad ni very smart. Msikilize hapa hoja kwa hoja


P
wewe mayalla huaminiki kisukuma ni njaa. ukiwa na njaa unaweza fanya na kusema lolote. WEWE HUAMINIKI KAWE ULIPEWA KURA MOJA KAMA SIKOSEI NA WAJUMBE. HUWEZI UKAONGEA KITU CHA MAANA. maana ulishaongea yoooote ukamaliza.
 
Profesa anajichora kwa kuruhusu tumjue sana, amekuwa cheap and available kwenye public domain…. kilaza yeyote anaweza kumjadili.

Sio mwanasiasa, ameshafurushwa ofsini…. basi atulie.
aliumia sana ndo maana kawa na hasira. unamwona anaongea kwa jazba na si academically. amekosa hekima na busara kabisa. ni mtu ambaye ana machungu sana.
 
Hahaaaa
Mi naomba siku moja Prof Assad na yule baba wa Bungeni yaani Yesu mume wa maria wafanye paper - msimalizi awe Jaji mkuu afu matokeo yatangawe hadharani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ww huyu ni next level,co yule iblis wenu alielala kule kwao udongon
 
Izo ndio nn we nguchiro?????
 
Nyie si ndio mnasema hata Nyerere hakuwa na akili alikuwa anaangalia TV za nje anapata "nondo" ?!!!

Kwahiyo nyie kwenu mwenye akili ni Ndugai na mama tu?
 
Inaonekana wewe ndio una mihemko!
Umeandika tu, wala sioni fact au hoja ya kujibu.

Halafu hata huku uswahilini tunanunua vitu vingi tu kwa kukopa.

Pimbi sana wewe! Hujui hata kutumia nukta, koma na herufi ndogo na kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…