Ukimfuatilia Prof Assad utagundua si mtu smart kama ambavyo watu walidhani

Ukimfuatilia Prof Assad utagundua si mtu smart kama ambavyo watu walidhani

Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.

Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.

Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.
Tangu awali nimekuwa nikisema ya kwamba huyu Assad ni Profesa wa ovyo kabisa. Na tangu ametumbuliwa baada ya kujifanya "Mhimili" amekuwa kama amerukwa na akili!
 
"Akili" haina kipimo kimoja. Kuna "akili" aka "intelligence" za aina kadhaa na vipimo tofauti. Jee, ni akili ipi unayoizungumzia hapa? Kama hujui chochote angalau nenda Wikipedia au Google ukajifunze kwanza.
 
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.

Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.

Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.
Nilishasema tangu awali Profesa Assad ni msomi mzuri lakini hana maarifa kabisa. Katika dunia ya leo maarifa ni kitu muhimu sana.
 
Hata Lisu alituambia tutashitakiwa MIGA .Kufupi elimu ya Tanzania ni uongo mtupu
Lissu naye ni msomi asiyekuwa maarifa. JPM aliwatumia wasomi wenye maarifa wakatafuta weakness za Acacia wakawabana kisheria wakaondoka wenyewe bila hata ya kushitaki MIGA.
 
Hata Lisu alituambia tutashitakiwa MIGA .Kufupi elimu ya Tanzania ni uongo mtupu
Kuna taahira mmoja alitudanganya kwa muda mrefu kwamba hakuna Corona ikamfyeka yeye na jiran yake. Ati nae alikuwa PhD wa kemia
 
Lissu naye ni msomi asiyekuwa maarifa. JPM aliwatumia wasomi wenye maarifa wakatafuta weakness za Acacia wakawabana kisheria wakaondoka wenyewe bila hata ya kushitaki MIGA.
Kweli kama professor kabudi wa jalalani
 
unakumbuka kauli yake kuwa wafanyakazi wa serikali karibia wote ni vilaza? una baba au mama mtumishi? wewe mtumishi wa serikali?
Alisema karibia wote ila sio wote, na sidhani kama alitumia nene "VILAZA"
 
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.

Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.

Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.
Sasa umeongea ujinga gani huu🚮🚮🚮 inaonyesha kabisa mtu wa kwanza ambae sio smart ni wewe! Tulitegemea ungetuletea hata mambo 5 yanayoonyesha kuwa Prof Assad sio smart. Akisema hakuna nchi dunia nzima inanunua ndege sio opinion yake, ni fact! Kama unampinga kwahilo hebu tuonyeshe ni nchi gani duniani inanunua ndege kwa cash..itaje!
 
Sasa umeongea ujinga gani huu🚮🚮🚮 inaonyesha kabisa mtu wa kwanza ambae sio smart ni wewe! Tulitegemea ungetuletea hata mambo 5 yanayoonyesha kuwa Prof Assad sio smart. Akisema hakuna nchi dunia nzima inanunua ndege sio opinion yake, ni fact! Kama unampinga kwahilo hebu tuonyeshe ni nchi gani duniani inanunua ndege kwa cash..itaje!
Katika wake zake Wewe ni yupi? Maana umekuja ume panic sana. Huwezi kuwa ni mtu wa kawaida kwake.
 
Back
Top Bottom