Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
We mzinza English huiwezi kama marehemu mumeo.You cant be smart on a field yournot playing, you cant get a health advice from a conductor, likewise with asaad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mzinza English huiwezi kama marehemu mumeo.You cant be smart on a field yournot playing, you cant get a health advice from a conductor, likewise with asaad
We mzinza English huiwezi kama marehemu mumeo.
Huelewi unachokiandika ni nonsense.
Hakuna uhusiano Kati ya hizo thread unazoleta Kama ushahid na kilichotokea Uganda.
Tangu awali nimekuwa nikisema ya kwamba huyu Assad ni Profesa wa ovyo kabisa. Na tangu ametumbuliwa baada ya kujifanya "Mhimili" amekuwa kama amerukwa na akili!Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.
Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.
Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.
Duuu Mayalla nimemsikiliza Prof Assad aisee jamaa yuko vizuri mno... Sijui kwanini Africa akili kubwa kama hizi zinawekwa bench..
Izo ndio nn we nguchiro?????
Huyu ni nguchiro tu naona anarukaruka kama maharage
Ww huyu ni next level,co yule iblis wenu alielala kule kwao udongon
Nilishasema tangu awali Profesa Assad ni msomi mzuri lakini hana maarifa kabisa. Katika dunia ya leo maarifa ni kitu muhimu sana.Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.
Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.
Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.
Naona umepigwa na kitu kizito kichwani
IlikuwajeHuyo mzee assad msenge sana nusu anifanye nisimalize chuo kisa ada. Namchukia sana boya huyo
Lissu naye ni msomi asiyekuwa maarifa. JPM aliwatumia wasomi wenye maarifa wakatafuta weakness za Acacia wakawabana kisheria wakaondoka wenyewe bila hata ya kushitaki MIGA.Hata Lisu alituambia tutashitakiwa MIGA .Kufupi elimu ya Tanzania ni uongo mtupu
Kuna taahira mmoja alitudanganya kwa muda mrefu kwamba hakuna Corona ikamfyeka yeye na jiran yake. Ati nae alikuwa PhD wa kemiaHata Lisu alituambia tutashitakiwa MIGA .Kufupi elimu ya Tanzania ni uongo mtupu
Kweli kama professor kabudi wa jalalaniLissu naye ni msomi asiyekuwa maarifa. JPM aliwatumia wasomi wenye maarifa wakatafuta weakness za Acacia wakawabana kisheria wakaondoka wenyewe bila hata ya kushitaki MIGA.
Alisema karibia wote ila sio wote, na sidhani kama alitumia nene "VILAZA"unakumbuka kauli yake kuwa wafanyakazi wa serikali karibia wote ni vilaza? una baba au mama mtumishi? wewe mtumishi wa serikali?
Sasa umeongea ujinga gani huu🚮🚮🚮 inaonyesha kabisa mtu wa kwanza ambae sio smart ni wewe! Tulitegemea ungetuletea hata mambo 5 yanayoonyesha kuwa Prof Assad sio smart. Akisema hakuna nchi dunia nzima inanunua ndege sio opinion yake, ni fact! Kama unampinga kwahilo hebu tuonyeshe ni nchi gani duniani inanunua ndege kwa cash..itaje!Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.
Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.
Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.
Katika wake zake Wewe ni yupi? Maana umekuja ume panic sana. Huwezi kuwa ni mtu wa kawaida kwake.Sasa umeongea ujinga gani huu🚮🚮🚮 inaonyesha kabisa mtu wa kwanza ambae sio smart ni wewe! Tulitegemea ungetuletea hata mambo 5 yanayoonyesha kuwa Prof Assad sio smart. Akisema hakuna nchi dunia nzima inanunua ndege sio opinion yake, ni fact! Kama unampinga kwahilo hebu tuonyeshe ni nchi gani duniani inanunua ndege kwa cash..itaje!