Ukimpata mwanamke anayekupenda usimletee masihara utakuja kumlilia siku akibadilika

Mkuu mwanamke anaweza kukupenda sana ila akakuvumilia akiangalia na wewe uelekeo wako kama unajituma, mda wote usikute alikuwa anakuchora tu akaona huna uelekeo akaamua kupotea nao wanachoka
 
Wao ni adim sana kuwapata na kama ukimpata hakikisha unamuweka ndani haraka sana na mambo mengine ndio yaendelee
 
Pia wanawake mkipendwa na mwanaume ambaye hana hela, msichezee hiyo nafasi maana siku akizipata hautamuona tena hapo kwako na utatamani hata ajibu text yako ila hautapata hiyo nafasi ya kujibiwa.


Kwa kifupi kufanyiwa vibaya haina jinsia.... Hutokea kote tuu mbona.
 
Andaa juisi ya ndimu tu kupunguza maumivu ya tumbo.😂😂😂 Tatizo mnawavimbiaga sana huku unajua bila yeye wewe ni kopo tupu!
😂😂😂😂 nina dogo hapa home baada ya kubembeleza saaan bby mama nikaona anielewi nikamwita dogo then kiutani tu nikamwagiza sumu ya panya ety.......!😂😂😂😂 haya mapenzicuseng***** kweli jaman. Ile karudi tu na sumu fahamu ndo zinarudi nikakumbuka nina masela wa tungi hapa kitaa nkamweleza tu dogo rudisha sumu njoo na mirinda nyeusi ya baridi baada ya kunywa hyo nikatoka out mm na wano ukawa mwendo wa vyombo tu. Saiv no love no stress na kati ya mapenzi na tungi bora nn nitakwambia bira tungi🤟
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka sana, ushauri wako una comedy ndani
 

Hivi unafikiri huwa mtu anafanya makusudi, unajikuta tu unajisemea huyu ndege ni wangu pekee hawezi kupeperuka, ila akipeperuka lazima akili iruke si unakua umemzoea huamini kama anaweza pata kidume kingine
 
Kwahiyo brother sahivi yupo ICU
 
Yaani hii ni kweli tupu
 
dunia ina zaidi ya watu billion 7 na zaidi ya nusu ni wanawake, mwanamke mmoja tu anatoa roho ya MTU. Bro wako ana matatizo ya afya ya akili si bure!
Hayajakukuta bro
 
Huyo mwanamke atarudi niamini mm. Nawala hajamsaliti amemchezea mchezo tuu. Sisi ndo wazoefu wa hizi kazi za kupendwa kupitiliza
Nami nahisi ni mchezo kamchezea tu. Manake alifunga ndoa gani hiyo ya kutoka na kudakwa na mwingine fasta, si atashikwa ugoni huyo mwanaume mwingine sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…