Ukimsifia sana unakaribia kumkosa!

Ukimsifia sana unakaribia kumkosa!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Ukimsifia sana mwanamke juu ya uzuri wake jua unakaribia kumkosa!.

Ndio tunajua anamacho mazuri, pua nzuri, ngozi amaizing, chuchu saa sita na nusu na nyuma mabonde mawili yametuna inavyotakiwa n.k

Swala la kuvisifia hivi viumbe lifanyike kwa akili msifie huku..... Akili za hivi viumbe sio za sayari hii!.
Kumsifia mwanamke kuna effect kubwa kwenye ubongo wake sasa anaglia wewe msifiaji isijekuwa unajiundia mlima utakaoshindwa kuupanda!.

NB; Najua kuna vilamba mwiko watakuja kupinga na kubisha lakini maneno ya nabihi kenzy hayapiti patupu lazima Kuna maembe ng'ong'o yatakuja kushuhudia.
 
Ukimsifia sana mwanamke juu ya uzuri wake jua unakaribia kumkosa!.

Ndio tunajua anamacho mazuri, pua nzuri, ngozi amaizing, chuchu saa sita na nusu na nyuma mabonde mawili yametuna inavyotakiwa n.k

Swala la kuvisifia hivi viumbe lifanyike kwa akili msifie huku..... Akili za hivi viumbe sio za sayari hii!.
Kumsifia mwanamke kuna effect kubwa kwenye ubongo wake sasa anaglia wewe msifiaji isijekuwa unajiundia mlima utakaoshindwa kuupanda!.

NB; Najua kuna vilamba mwiko watakuja kupinga na kubisha lakini maneno ya nabihi kenzy hayapiti patupu lazima Kuna maembe ng'ong'o yatakuja kushuhudia.
Hata ukimsifia bila kumpa pesa anaona hauko seriasi.
 
Ukimsifia sana mwanamke juu ya uzuri wake jua unakaribia kumkosa!.

Ndio tunajua anamacho mazuri, pua nzuri, ngozi amaizing, chuchu saa sita na nusu na nyuma mabonde mawili yametuna inavyotakiwa n.k

Swala la kuvisifia hivi viumbe lifanyike kwa akili msifie huku..... Akili za hivi viumbe sio za sayari hii!.
Kumsifia mwanamke kuna effect kubwa kwenye ubongo wake sasa anaglia wewe msifiaji isijekuwa unajiundia mlima utakaoshindwa kuupanda!.

NB; Najua kuna vilamba mwiko watakuja kupinga na kubisha lakini maneno ya nabihi kenzy hayapiti patupu lazima Kuna maembe ng'ong'o yatakuja kushuhudia.
Tangu unusirike kwa bwawa la kuogolea nahisi unaishibkwa jofu sana😅🤣
 
Ukimsifia sana mwanamke juu ya uzuri wake jua unakaribia kumkosa!.

Ndio tunajua anamacho mazuri, pua nzuri, ngozi amaizing, chuchu saa sita na nusu na nyuma mabonde mawili yametuna inavyotakiwa n.k

Swala la kuvisifia hivi viumbe lifanyike kwa akili msifie huku..... Akili za hivi viumbe sio za sayari hii!.
Kumsifia mwanamke kuna effect kubwa kwenye ubongo wake sasa anaglia wewe msifiaji isijekuwa unajiundia mlima utakaoshindwa kuupanda!.

NB; Najua kuna vilamba mwiko watakuja kupinga na kubisha lakini maneno ya nabihi kenzy hayapiti patupu lazima Kuna maembe ng'ong'o yatakuja kushuhudia.
Kenzy kwenye moja na mbili
 
Back
Top Bottom