Ukimsifia sana unakaribia kumkosa!

Ukimsifia sana unakaribia kumkosa!

Ukipata mwanamke mwenye akili ,just mshukuru Mungu maana hata ukimsifia sana hawezi kugeuka mlima wa kuupanda- I believe there are few ladies with brain out there
I have one. But a dont have feeling on her though she loves me a lot
 
Ukipata mwanamke mwenye akili ,just mshukuru Mungu maana hata ukimsifia sana hawezi kugeuka mlima wa kuupanda- I believe there are few ladies with brain out there
Tena SIYO few, there are many, so many with brain
 
Usiombe uwe unatongozwa na mwanamke dah! ukimtolea nje mnakuwa maadui, Dear ledies mbona sisi tukitolewa nje tunavunga na maisha yanaendelea bila kinyongo? Huyu ni watano sasa kanitumia vibaka.
 
Usiombe uwe unatongozwa na mwanamke dah! ukimtolea nje mnakuwa maadui, Dear ledies mbona sisi tukitolewa nje tunavunga na maisha yanaendelea bila kinyongo? Huyu ni watano sasa kanitumia vibaka.
Umesema uyo Wa tano
Kakutumia Nini...? [emoji1787]
IMG_20220313_100232.jpg
 
Back
Top Bottom