I have one. But a dont have feeling on her though she loves me a lotUkipata mwanamke mwenye akili ,just mshukuru Mungu maana hata ukimsifia sana hawezi kugeuka mlima wa kuupanda- I believe there are few ladies with brain out there
Kwa vibibi wa JF hakuna kabisa wa mfanoNitajie wa mfano kwa hapa jf..
Tena SIYO few, there are many, so many with brainUkipata mwanamke mwenye akili ,just mshukuru Mungu maana hata ukimsifia sana hawezi kugeuka mlima wa kuupanda- I believe there are few ladies with brain out there
Tupo hapaNitajie wa mfano kwa hapa jf..
Tulia utaliona 😂Kuna Jambo si bure..😂
Kambi ya fisi nakuita mara 9 usituchukulie poaKwa vibibi wa jf hakuna kabisa wa mfano
Sijaanzisha mie huu uzi utaniitaje mara 9, au watafuta pa kumalizia hasira zako?Kambi ya fisi nakuita mara 9 usituchukulie poa
Don't take things serious soma vizuri sipo huko, thanksSijaanzisha mie huu uzi utaniitaje mara 9, au watafuta pa kumalizia hasira zako?
Mtafute kenzy mmalizane naye mie nipo kambini tuna ugeni mida hii
The good thing is that they can't live without usSiku ikipita Bila Uzi wa wanawake JF itakuwa IMEPIGWA bani yote.
Endeleeni tupo kuwachangamsha sisi ndio mapambo ya Dunia.
Na Ukiniganda nakusemelea[emoji1787][emoji1787] Mimi ukinisifia ndio nazidi kukuganda. Upo tayari??
Basi sawa🤣🙌The good thing is that they can't live without us
Nimeanza kukuelewa sasa, thanks.Don't take things serious soma vizuri sipo huko, thanks
Khaa!! jaman Si inakua kati yangu mimi na wewe tu 😂Na Ukiniganda nakusemelea[emoji1787]
Umesema uyo Wa tanoUsiombe uwe unatongozwa na mwanamke dah! ukimtolea nje mnakuwa maadui, Dear ledies mbona sisi tukitolewa nje tunavunga na maisha yanaendelea bila kinyongo? Huyu ni watano sasa kanitumia vibaka.