Ili Nipate Cha kujitetea hata siku mamaJ akitufumania[emoji38],Khaa!! jaman Si inakua kati yangu mimi na wewe tu [emoji23]
Unamchonganisha e?Nitajie wa mfano kwa hapa jf..
OkeeeyDah humu ngumu sana kutaja baadhi ninaowajua ni vichwa maji zaidi ya akili kubwa
Tatizo ana sura personal yan akitabasamu kama analia. Sasa nawaza yan mi mwenyewe nina sura mbuz afu nkizaa nae si tutapata mtoto mwenye sura ya kunyamazishia watoto!Vuta huyo akuzalie watoto ,awalee kimaadili na kistandard- Mwanaume kuwa na feelings kwa mke ni kujitafutia matatizo sana..... Nimekushauri from the experience.
Kesha maliza uchonganishi mzee babaUnamchonganisha e?
Mama J atakusamehe tu 😂 utamuambia ulitereza bahati mbaya.Ili Nipate Cha kujitetea hata siku mamaJ akitufumania[emoji38],
😅😅😅 Dah!Tatzo ana sura personal yan akitabasamu kama analia. Sasa nawaza yan mi mwenyewe nina sura mbuz afu nkizaa nae si tutapata mtoto mwenye sura ya kunyamazishia watoto!
Ntamlaumu yeye kwamba alijua afu akapuuza kukuchukulia hatua[emoji1787]Mama J atakusamehe tu [emoji23] utamuambia ulitereza bahati mbaya.
Kuna aina 8 za wanawake mkuu kwa baadhi ya tafiti zilizofanywa tayari kila mwanamke anavitu vyake anavyostahili kupewa ila wanawake wengi wasiopenda kusifiwa ni wale ambao miili yao ishatumiwa na wengi ndani ya mioyo yao washawai jeruiwa vikali na walikamatwa kwa njia hizo hizo kwaiyo kadri unavyomsifia ndio unaralua vidonda vinavyokalibia kupona ndio maana wanakukimbiaUkimsifia sana mwanamke juu ya uzuri wake jua unakaribia kumkosa!.
Ndio tunajua anamacho mazuri, pua nzuri, ngozi amaizing, chuchu saa sita na nusu na nyuma mabonde mawili yametuna inavyotakiwa n.k
Swala la kuvisifia hivi viumbe lifanyike kwa akili msifie huku..... Akili za hivi viumbe sio za sayari hii!.
Kumsifia mwanamke kuna effect kubwa kwenye ubongo wake sasa anaglia wewe msifiaji isijekuwa unajiundia mlima utakaoshindwa kuupanda!.
NB; Najua kuna vilamba mwiko watakuja kupinga na kubisha lakini maneno ya nabihi kenzy hayapiti patupu lazima Kuna maembe ng'ong'o yatakuja kushuhudia.
Sio wote wanavichwa sawaBwana we inategemeana. Mwanamke ukitaka kumsifia we msifie tu. Akibadilika kabadilika tu wala sio kwa sifa zako. Unahisi hawa wanawake wote walotulia na wenza wao hawajasifiwa? Si kweli we mpe sifa akibalauka ameamua tu. So usiogope kutoa sifa zako pale inapobidi.
🤣🤣🤣🤣Nimecheka sanaHivi Sasa najua kuogelea kwenye mabwawa mbalimbali hata ya nchi za nje..😅
Niliishawahi kuleta thread kuhusu hii kitu...Usiombe uwe unatongozwa na mwanamke dah! ukimtolea nje mnakuwa maadui, Dear ledies mbona sisi tukitolewa nje tunavunga na maisha yanaendelea bila kinyongo? Huyu ni watano sasa kanitumia vibaka.