Ukimsikiliza vizuri Lt Urio hii kesi ya Mbowe ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi. Urio aliombwa kusaidia CHADEMA kutwaa madaraka Wananchi wasiteseke

Kwa hiyo Mbowe, alitaka kuipindua Nchi hii, kwa kusaidiwa na huyo Urio?

Hivi, hata Mzee Mgaya anaamini hivyo? Ndugu zangu, tusiwe tunajiumiza vichwa kwa kuwaza mambo ambayo, hata nafsini mwetu hatuamini kuwa yanawezekana!
Nchi ya Tanzania ipinduliwe na "mtu 3 au 4, muda umekwisha?", bila silaha, mabomu, nk? Kichekesho na mizaha.

HAPA NAMWONA SAMIA AKIZAMISHWA KWENYE KINYESI.

HUKUMU YA UMMA NA YA KIMATAIFA ITAMWANGUKIA SAMIA. NA ALIVYO MJINGA ATAANGUKIA KWENYE HUU MTEGO.
 
Tofauti ya ugaidi na uhaini nini?
 
Kumbe mm naweza kwenda kusema Siro anapanga ugaidi na akashitakiwa bila uthibitisho wowote?
 
Koplo au Luten aombwe msaada wa jeshi? Mambo haya yanaanza kwa mameja huko hadi kwa majenerali. Luteni kama shule ni mwalimu wa bweni yaani hata kwa Mr RCM tu anakula madoso. Mkuu wa kambi ndiye wa kuombwa sio kila kikaragosi
 
Yaani kwa ukubwa wa JWTZ, kwa hekima ya Mbowe na akina Lisu, kweli kabisa kwa akili hata za shule ya chekechea, Mbowe anaweza akataka a mere Luten mwenye vinyota viwili amsaidie kuchukua nchi? Mtu ambaye hata huko kambini anasimamia vikao vya kugawana maandazi? dereva wa magari ya jeshi?....camoon.

.....Kama ni kweli, basi Tanzania hatuna jeshi
 
Koplo au Luten aombwe msaada wa jeshi? Mambo haya yanaanza kwa mameja huko hadi kwa majenerali. Luteni kama shule ni mwalimu wa bweni yaani hata kwa Mr RCM tu anakula madoso. Mkuu wa kambi ndiye wa kuombwa sio kila kikaragosi
Yule Samwel Doe alikuwa na nyota ngapi wakati anapindua serikali?
 
Kilichofanyika ni kwamba TPDFs hawana mambo ya kijinga. Huwa hawatoi ushirikiano kwenye mambo ya kipuuzi.

Kwa akili ndogo tu.
Kulikuwa hakuna uwezekano wa kuandaa taarifa kuwa Lt Urio alipeleka taarifa kitengo Cha usalama jeshini MI, then hao MI wakaifanyiakazi?

Uwezekano upo ila JWTZ hawana ujinga, wao wananyoosha sana.

Na inawezekana Urio kafukuzwa tayari na Hana chake.

Kalivua nguo jeshi,

Kwanza inaonyesha jeshini maofisa ni vilaza yaani mtu officer hajui division pass

Hajui kujieleza kijeshi kupunguza mlolongo wa maswali.

Ile kukubali kushawishiwa na police ni kosa kubwa kijeshi.

Kupeleka taarifa URAIANI ni kosa.

Ila kama angekuwa na akili alipofika mahakamani baada ya kiapo angewsgeuka akina Kingai na mahita. Angeonekana shujaa sana.

Angesema ukweli kuwa naye Yuko mahabusu na aliwatafuta kwaajili ya ulinzi.

Angewafaa sana wanajeshi.
 
Wamemtumia Urio kwakuwa ni Mchaga mwenzake Mbowe ili kueneza chuki kwenye Kabila la wachaga ili wagawanyike kwakuwa wanajua wachaga wananguvu kubwa na wanaushirikiano mkubwa Sana,aliyeaandaa hii Script ameamua kulivunja Taifa vipande vipande lakini amini nawaambia uyu Bibi kizee anayekiita chui jike hatofanikiwa mpango wake,na kwa uweza wa Mungu iyo 2025 asiwe Tena Rais Mungu ndio pekee anajua wapi pakuanzia na wapi pakumalizia.

Zamani Ludewa-Njombe
Kwasasa Kiwalani- kwa Gude, kijiwe Nongwa.
 
Wasalimie hapo kijiwe samli.
 
Very True!
 
... hizo ni hadithi za Kingai na wajinga wenzie; doen't reflect reality. Kama vipi baada ya kesi kutupwa (maana inaenda kutupwa), wawakamate tena hapo hapo nje ya mahakama na kuwafungulia hiyo ya uhaini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…