Kibingu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2022
- 1,078
- 1,445
Nchi ya Tanzania ipinduliwe na "mtu 3 au 4, muda umekwisha?", bila silaha, mabomu, nk? Kichekesho na mizaha.Kwa hiyo Mbowe, alitaka kuipindua Nchi hii, kwa kusaidiwa na huyo Urio?
Hivi, hata Mzee Mgaya anaamini hivyo? Ndugu zangu, tusiwe tunajiumiza vichwa kwa kuwaza mambo ambayo, hata nafsini mwetu hatuamini kuwa yanawezekana!
HAPA NAMWONA SAMIA AKIZAMISHWA KWENYE KINYESI.
HUKUMU YA UMMA NA YA KIMATAIFA ITAMWANGUKIA SAMIA. NA ALIVYO MJINGA ATAANGUKIA KWENYE HUU MTEGO.