Ukimtongoza mwanamke halafu akakujibu hivi, anakua na maana gani?

Ukimtongoza mwanamke halafu akakujibu hivi, anakua na maana gani?

Yupo 50/50 hajakubali hajakataa,, kakupa nafasi ya wewe kujichukulia hizo 50 nyingine, unatakiwa ujioneshe umpe sababu kwanini akukubalie.

-fanya yale mambo ya kijentromani
-mpe pesa
-mpe zawadi
-usiwe kupe bin king'ang'a
-usimkere na mvua ya mimeseji umekula, umekula nini, umevaa, umevaaje, jibu langu, sasa sasa....na mengine jiongeze
Hahhahha mimvua ya meseji
 
Anasubiri uonyeshe jitihada zako ili aamue kama amekubali au amekataa. Na hizo jitihada ni kwa njia ya miamala tu.
Sasa jifanye Mbosso ujifanye unatuma mashairi na msg za baby umekula bila kutuma hela ya chakula ndio utajua nini hasa maana ya 'no comment'.
 
Yupo 50/50 hajakubali hajakataa,, kakupa nafasi ya wewe kujichukulia hizo 50 nyingine, unatakiwa ujioneshe umpe sababu kwanini akukubalie.

-fanya yale mambo ya kijentromani
-mpe pesa
-mpe zawadi
-usiwe kupe bin king'ang'a
-usimkere na mvua ya mimeseji umekula, umekula nini, umevaa, umevaaje, jibu langu, sasa sasa....na mengine jiongeze
imenibidi niscreenshot huu ujumbe maan
nimeyakumbuka maboko yangu nimeishia kucheka kimoyo moyo
 
Jifunze kuwa gentleman, kama umeeleza hisia zako. Basi mind your business, only time ukimtafuta ni kama unataka umtoe out, umpe zawadi n.k Epuka long convos kwenye simu, ukitaka kuzungumza naye mtoe out, akuzoee ile ana kwa ana. Baada ya hapo unampa muda wa kukufikiria na kukukumbuka.
 
Acha ujinga.
Huyo muite tu ghetto, mwambie tu aje kukusalimia, au jifanye unaumwa siku mbili tatu, akijichanganya akitimba tu ghetto, unamuwekea mazingira ya kumla. Ukifanikiwa ndo imeisha hiyo. Usipofanikiwa pia unakua umepata jibu lako, acha undezi.
Hii mbinu niliitumia sana zamani gheto langu likiwa kali nilifyeka mtaa mzima na ofisi nzima
 
Jifunze kuwa gentleman, kama umeeleza hisia zako. Basi mind your business, only time ukimtafuta ni kama unataka umtoe out, umpe zawadi n.k Epuka long convos kwenye simu, ukitaka kuzungumza naye mtoe out, akuzoee ile ana kwa ana. Baada ya hapo unampa muda wa kukufikiria na kukukumbuka.
Hiyo hela ta outing na zawadi amtumie mama yake anywe pepsi bariiidi.sihongi demu ambaye sijamla
 
Yupo 50/50 hajakubali hajakataa,, kakupa nafasi ya wewe kujichukulia hizo 50 nyingine, unatakiwa ujioneshe umpe sababu kwanini akukubalie.

-fanya yale mambo ya kijentromani
-mpe pesa
-mpe zawadi
-usiwe kupe bin king'ang'a
-usimkere na mvua ya mimeseji umekula, umekula nini, umevaa, umevaaje, jibu langu, sasa sasa....na mengine jiongeze
Chukua hii kijana kutoka kwa binti la kisukuma huko Misasi Misungwi ndani ndani huko limekulia udaga!❤️
 
hivi bado kuna kutongoza siku hizi?

siku nyingine ukimzimia mdada sema tu hivi:

WEWE DADA NIMEKUPENDA HILI SIO OMBI NI AMRI


Baaasi imeisha hiyo
 
Back
Top Bottom