DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Hapo umemsahau kuweka Ile katuni yako yenye pua ndefu 😀Mu wife said the same thing and now we have two beautiful kids. .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umemsahau kuweka Ile katuni yako yenye pua ndefu 😀Mu wife said the same thing and now we have two beautiful kids. .
mzee tangia lini umekuwa doctor?Hapo umemsahau kuweka Ile katuni yako yenye pua ndefu 😀
Nitakutumia picha pm nikiwa mzigonimzee tangia lini umekuwa doctor?
haha like serious?Nitakutumia picha pm nikiwa mzigoni
Sema Jana NilikuA najaribu kubadili I'd Sasa Ile nataka kubadili jina langu la awali mod aka reject 😂 modmzee tangia lini umekuwa doctor?
sijakutana na I'd yake nyingineHuyo dogo yupo humu 😀😀 ana I'd utitiri
Kuna demu nilikuwa na mtongoza nikamuuliza ana jamaa,akasema anaye ila sio kivilee😀😀KAtika harakati za kutongoza huwaga mwanaume anakutana na majibu mengi mojawapo ni hili la mwanamke kumwambia mwanaume wawe marafiki ukweli ni kwamba hapa umeshakataliwa tayari
Kama mwanamke kavutiwa na mwanaume kamwe hawez mwambia wawe marafiki lazima atamkubali ila kama hajavutiwa na mwanaume mara nyingi anamwambia wawe marafiki kwanza ila ukweli ni kwamba hajavutiwa naye
Na hii mbinu huwaga wanatumia wanawake wastaarabu kumkataa mwanaume wale kiburi-flow lazima akutolee maneno ya shombo na dhihaka
Mwanaume ukiwmbiwa muwe marafiki ni vizuri ukaachana na huyo mwanamke sababu ukiendelea kulazimisha utakuja umia
Nimewasilisha
HakikaSerikali itenge bajeti ili vijana waelimishwe kuhusu mahusiano. Maangalizo yamekua mengi sana
Lete kisaMie ilinitokea enzi niko chuo demu akasema tuwe marafiki nikakubali akawa rafiki nikatafuta demu mwingine akaanza kununa. Baadae nilimgongamo
Unajichoshaaa ukija kumvua unakuta nikama mdogo wake mama j, yule wa chuoYote ya Nini Sasa kubet mahusiano na wanawake wazuri wapo lukuki Duniani.
Hii kila siku nasema,
huu ujinga wafanyiwe wanaume dhaifu, desperate na wasiojiamini
Huwez ukawa mwanaume una soko ukaanza kujiliza kisa mapenzi.
Otherwise uyo mwanamke niwe nishamvua na nmegundua ana kitu special sn Kama alivyo kwa mamaJ.
Hapo hata mwaka mzima ntasuburi jibu[emoji38]
Hio ndo point yangu mwanamke hawez kuwa kavutiwa na wewe alafu akuambie muwe kwenye friendzoneMambo ya kutumia Nguvu yashapitwa na Wakati,
mwanamke akishakupenda Kwanza hajifichi, anaweweseka mno akikuona.
Huitaji kutumiana Nguvu sn kung'amua hilo
HUWA NAWASHANGAA SN WANAOLAZIMISHA KUPENDWA
Eti unafukuzia jibu mwezi mzima[emoji1787]
Kana kwamba yeye Ni special Sana asipokupenda unakata roho[emoji1787]
Kwanin unasema sio kweliSio kweli
Ha ha ha......hatar sn iyo[emoji28]Unajichoshaaa ukija kumvua unakuta nikama mdogo wake mama j, yule wa chuo
Hakuna kingine zaidi ya kurefusha akupige vizingaHayo ya kukupenda baadae jua ni unavumiliwa TU kwa sababu nyngn nyngn anazojua zinamfaidisha mwanamke mwnyw
Huo ndio ukweli mchungu weng hawapend kuuskia[emoji38]Hio ndo point yangu mwanamke hawez kuwa kavutiwa na wewe alafu akuambie muwe kwenye friendzone
Mwanamke anayekuambia muwe kwenye friendzone jua anajaribu kujitahid kukupenda lakin hakupendi yaan akili inataka hisia hazitaki ni ukweli mchungu ambao mwanaume unatakiwa kukubaliana nao