Vijana sikuhiz mnafeli sana, mwanamke anakujibu hivyo unakata tamaa unamuogopa? Hujui ndio kipimo cha urijali na uanaume wako anataka akuone utafanyaje umpate zaidi...
Mimi hayo majibu ndio huwa nayapenda... Nakumbuka nikiwa na miaka 28 Kuna mama mmoja wa makamo nilikutana naye kazini kwake somewhere, sijui nilipata wapi ujasiri ule nilimchombeza kiaina ile ya kuonyesha nimemuelewa, alinijibu kwa ukali kaweka sura ya mbuzi "kijana niheshimu tu, mimi ni mkubwa kama mama yako"... Ni kweli alikua mtu mzima (50+) ila alikua mzuri mwenye umbo la kuvutia...
Kesho yake mchana nikajiambia yule mama nikikaa kimya ataona nimemuogopa, nikamfuata face to face nilimsalimia nikamuomba utelezi live bila chenga, nikamwambia embu acha kujifanya mtu mzima wakat wewe ni mwanamke mrembo mwenye kuvutia nahitaji leo nikakupe utamu ambao uliwahi kuupata ukiwa msichana π
π
akaishia kucheka akasema leo umeniamulia sijawahi ona mwanaume jasiri hivi, kijana unajiamini unataka hadi vitamu vya baba yako..? Utaishia kunichafua tu image yangu... Nikamwambia nipo serious saa ngapi utakua free? Akaniambia embu ondoka hapa na maneno yako ushanivuruga nitakupigia cm baadae... Akili yangu ikaniambia kwa jinsi alivyo kujibu ondoka tayar kaingia 18 anazuga tu... Jioni saa 10 akanipigia cm "wee mtoto umenifanya sijafanya kazi nawaza maneno yako, acha upuuzi tafuta sehem ya siri utanielekeza nije" π
π€£ in 20 minutes nikawa nimepata hotel ya bei kawaida tu 60K... Nilimpiga show moja matata akaniambia kuanzia leo tutakua tunakuja hapa ila sipendi utoto nisikie huko nje... Hadi leo she's my best friend tunashauriana maisha tunapeana connection na kukojozana π