Dunia inaenda kasi sana,,, Mambo ya kutongoza yalisha pitwa na wakati..
Mimi huwa nafanya hivi 😊😊
Mimi = mambo sister
Yeye = poa tuhh
Mimi = sorry nisaidie namba yako kama huto jari
Yeye = 06754.......
Mimi = Asante sana
Yeye = okay.
Hapa sasa kama kidume uliye kamilika kaa kimya zaidi ya wiki moja hivi alafu unamvutia waya..
Utajitambilisha fresh.. Najua atalalamika sana... Ohhoh mbona ulikua hunitafuti siku zote hizo???
Wewe Mjibu sorry but nilikua nakukumbuka sana ..
Baada ya kusalimiana muulize tuhh naomba nikupigie tena usiku kama huto jari!!! Na pia muulize mda gani umpigie( Hapa hakikisha ule mda wa kulala ndo best) ...????
Akikujibu okay Sawa..
Sasa hapo unapanga zako step chache za maswali(haya maswali yanaitwa ya kuboa), inapendeza sana mda akiwa amelala ndo umuulize haya masali.
1. Amelalaje ( style aliyo lala)
2. Umevaa nguo gani
3. Umevaa ya rangi gani
Akijibu hayo maswali matatu hapo juu,, total jua kabisa BLUETOOTH IS CONNECTED SUCCESSFULLY 😂
Hapo una malizia tuhh kuomba hata busu.....