Ukimuomba hela kila siku hana

Ukimuomba hela kila siku hana

blessed chiqqah

Senior Member
Joined
May 19, 2024
Posts
105
Reaction score
291
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.

Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..

Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..

I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale

Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on

Nistay single until nipate the right one

Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒

Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi
 
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.

Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..

Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..

I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale

Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on

Nistay single until nipate the right one

Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒

Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi
Sasa kama hana, asemeje?
 
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.

Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..

Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..

I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale

Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on

Nistay single until nipate the right one

Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒

Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi


Unatumika tu, tafuta mume, zaa, Lea
 
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.

Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..

Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..

I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale

Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on

Nistay single until nipate the right one

Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒

Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi
Kwa nini unaombaomba hela wanaume, tena wenye wake zao?
 
Mme wa mtu,yawezekana ameshindwa kubalance mizani.Atakuwa karudi kwa familia yaani katingwa maana kuna wakati unachepuka ila kuna mda akili inakurudia.
Mi anza kumuignore itafika kipindi mtapotezeana.Yawezekana amejitambua sasa anashindwa kubalance mizani.
 
Tatizo mwanamke unaingia kwenye mahusiano ukiamini yatakutoa kimaisha. Jitahidi ufanye kazi zako na kupata hela ya kukusaidia kimaisha. Ukichukukia mahusiano kama sehemu ya kufaidika kimaisha siku zote hautaona unapata mtu sahihi
Pia kama ni mme wa mtu hutakiwi kuwa naye kimahusiano. Yeye ana wa kwake na attention yote anampa mke wake. Hawezi kujigawa.
 
Back
Top Bottom