blessed chiqqah
Senior Member
- May 19, 2024
- 105
- 291
- Thread starter
- #21
anazo, kuna ile mtu anasema hana na unajua kabisa anazoSasa kama hana, asemeje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anazo, kuna ile mtu anasema hana na unajua kabisa anazoSasa kama hana, asemeje?
kwanini yeye asitulie na mkewe sasaKwa nini unaombaomba hela wanaume, tena wenye wake zao?
thanks dearMme wa mtu,yawezekana ameshindwa kubalance mizani.Atakuwa karudi kwa familia yaani katingwa maana kuna wakati unachepuka ila kuna mda akili inakurudia.
Mi anza kumuignore itafika kipindi mtapotezeana.Yawezekana amejitambua sasa anashindwa kubalance mizani.
asante dearNikisikia mtu ana mahusiano na mume wa mtu natetemeka
Sipendiiii 🤦♀️
Nakuombea umove on tu uachane na mtu wa watu
Hapa hatuongei na yeye. Story imeletwa na upande wa mwanamke, hatujaisikia story yake kutoka kwake.kwanini yeye asitulie na mkewe sasa
mkuu nahisi amekunyonyesha ndogo au kakwambia uingize kidoleanaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa
sasa ndo ilishatokea, lawama hata hazina msingiHapa hatuongei na yeye. Story imeletwa na upande wa mwanamke, hatujaisikia story yake kutoka kwake.
Na hata asipotulia na mkewe hilo halihalalishi mwanamke kufanya umalaya naye.
hapana hapanamkuu nahisi amekunyonyesha ndogo au kakwambia uingize kidole
🤣🤣🤣🤣ulitaka kupata mtu right na ni mume wa mtu..isee.!Nistay single until nipate the right one
Unaweza ukafafanua hapo mkuu? Kwa faida ya wengiAnaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa.
Lawama zina msingi, ukijua kutafuta chako hutapata sababu yavkulalamika mwanamme hakupi hela.sasa ndo ilishatokea, lawama hata hazina msingi
Mwamba hii comment yako ndio inatakiwa ifunge uzi upote nondo haswaTatizo mwanamke unaingia kwenye mahusiano ukiamini yatakutoa kimaisha. Jitahidi ufanye kazi zako na kupata hela ya kukusaidia kimaisha. Ukichukukia mahusiano kama sehemu ya kufaidika kimaisha siku zote hautaona unapata mtu sahihi
Pia kama ni mme wa mtu hutakiwi kuwa naye kimahusiano. Yeye ana wa kwake na attention yote anampa mke wake. Hawezi kujigawa.