Ukimuomba hela kila siku hana

Ukimuomba hela kila siku hana

Mwanaume asipokupenda hakupi hata senti…..au huenda hana kweli cute….jitahidi kujihudumia mwenyewe kwa kidogo ulichonacho.
Unapotoa stament ambayo itageuka kuwa sheria then hakikisha unabalance msemo wako. Mfano hapo umesema "Mwanaume asipokupenda hakupi hata senti" so katika huu msemo ume assume wanaume wote wanapesa nyingi sana zipo sehemu ambapo kuna ambao wanamapenzi ya kweli huwa wanazitoa na ambao hawana mapenzi ya kweli huwa hawatoi hata senti.

Kwann usiseme, "Ukiona mwanaume ana kipato kizuri, ana akiba ya kutosha ya fedha na anatumia kwa wanawake wengine ila kwako hakupi then jua huyo mwanaume hajiskii kukujali" why unakuwa mchonganishi.
 
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.

Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..

Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..

I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale

Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on

Nistay single until nipate the right one

Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒

Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi
Tafuta kazi usitafute right one...
 
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.

Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..

Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..

I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale

Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on

Nistay single until nipate the right one

Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒

Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi
Yuko serious na majukumu ya familia yake, akiwa free atakuwa anakukumbuka!
 
Vikupe tulieni hatuna hela . Mnajua kuhudumia warembo 6 mchezo [emoji23][emoji23]
 
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.

Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..

Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..

I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale

Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on

Nistay single until nipate the right one

Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒

Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi

Daaah yaani mume wa mtu afu unamganda?😂😂 kumbuka ana familia huyo,jiongeza tafuta wako maana huyo wa mwenzako na anazidiwa na majikumu ya kuhudumia familia yake,hukustahili kulalamika juu ya mume wa mtu😂
 
Mke wake ana kazana na maombi huko alipo
Ndo maana unaona kuna kipindi anazingua kuna kipindi anapoa
 
Back
Top Bottom