Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Tunawafahamu ndugu zetu waliopotezwa huko mbeya na tz in general hata nawe unawajua..hili la kunyooka nao ni kuwanyorosha tuu sio kuwapoteza
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawafahamu ndugu zetu waliopotezwa huko mbeya na tz in general hata nawe unawajua..hili la kunyooka nao ni kuwanyorosha tuu sio kuwapoteza
P
Lucas anaumwa UTI sugu ndiyo maana ameadimika humu. TumuombeeLucas Mwashambwa njoo utoe mwongozo au hii mada inakuzidi kimo?
Mi nadhani kuna Namna huwa wanapangwa. Sio utashi waoKisa kajitetea kwa wazungu au kuna lipi lingine,? Yan utumie kigezo cha kubwatuka huko IPU ndiyo kiwe kigezo cha mtu kuwa rais! wakati hapa nchini ndani ya bunge anaziba midomo wabunge kujadili maswala ya ufisaji yaliyo ibuliwa na CAG ? mimi kwangu bado spika wa viwango hadi sasa anabaki SAMWEL SITTA sijaona wa kufika hata nusu ya level yake hadi sasa, hata PIUS MSEKWA bado hajafikia kwa SAMWEL SITTA maana wote nimeona utendaji kazi wao ndani bunge.
Kumbukumbu muruaaaaa.Na hili nalo litazamwe
Hata we pascal kumbe akili zako huwa ni finyu kiasi hiki. Mi niliami ishwa kuwa pascal huwa ni deep thinker kumbe uongo. Sasa kuongea kingereza mbele ya wazungu ndo uwezo mkubwa.Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali la kuzungumzia uwezo wa wanawake kwenye lile "jambo letu lile", (naomba nisiliseme), ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe ni mwanamke, then mwanamke mwingine ni Dr. Tulia Akson Mwansasu, ameonyesha uwezo, analiweza lile "jambo letu" hivyo kwenye bandiko hili nauliza, je tumchagize kwenye lile "jambo letu", kwasababu ambazo ziko obviously au tuache tuu mambo yaende hivyo hivyo yanavyopaswa kwenda, kama maji kufuata mkondo, kwa kuachia ule utaratibu wa kawaida wa mserereko hata kama ni bora liende, liende tuu?.
Angalizo: JF ni ukumbi wa wote, watoto, vijana, wakubwa na wazee, mimi ni mwandishi wa habari wa wote, nawaandikia watoto, vijana, wakubwa na wazee, ila pia kuna baadhi ya hoja ni za kikubwa, kwanza huwa zinapanda muda watoto wamelala hivyo huwa nawaandikia , wakubwa tuu na sio watoto, hivyo hili sio bandiko la watoto.
Namna ya kujipima kama wewe ni.mkubwa ama mtoto, ni ukijiona umesoma pale nilipoandika "jambo letu" ukijiona wewe unajiuliza hilo "jambo letu" ni jambo gani, basi ujijue tuu hili bandiko sio zaizi yako, okoa tuu muda wako, jiendee mabandiko mengine ya saizi yako.
Hapa ninauzungumzia huo uwezo mkubwa wa Dr. Tulia alionao na aliouonyesha hapo juzi kati, ni upi, kauonyeshea wapi na ana fiti vipi kwa lile "jambo letu lile"?.
Kwanini Dr. Tulia auonyeshee uwezo wake huo kule badala ya hapa nyumbani wakati ni jukumu la mhimili wake kuisimamia serikali yetu!, Je tumshinikize kwa Bunge letu kwanza li do the right thing, kuitekeleza ile hukumu ya Mahakama ya Rufaa, kuhusu ubatili wa katiba yetu na ubatili wa sheria zetu?, kwanini Bunge letu liendelee kututungia sheria batili zinazokwenda kinyume na katiba?.
Kitendo cha kumpa Rais wetu kuzisaini sheria batili kinyume cha katiba, kutakuja kutokea wabunge makini ambao watahitaji Ibara ya 46A ya katiba yetu itekelezwe, kwanini huu mhimili wetu wa Bunge utufanyie hivi wakati mhimili huu uko chini ya Mwanasheria nguli, mbobezi na mbobevu?.
Endelea kufuatana nami mdogo mdogo. ambapo Rais Samia japo anaitwa Mama, kwa umri wangu mimi ni Dada (mimi ni wa 60s) na Dr. Tulia, ni mdogo kwangu, hivyo mimi nawaita ni madada wawili, mtu na dada mtu, au mtu na dada yake, mmoja ni Dada Mkubwa , mwingine ni Dada Mdogo.
Mhimili Mkuu kabisa ni Serikali unaongozwa na Dada Mkubwa, mhimili wa pili kwa ukubwa ni Bunge, unaongozwa na Dada mdogo, tena almanusa na ule mhimili wa tatu, kama tusingepindisha katiba, CJ aendelee kinyume cha katiba, kwenye hierarchy ya mhimili ile, the most senior ilikuwa aingie Mwanamke!,ikabidi katiba ipindishwe kidogo hivyo tungekuwa chini ya madada watatu, "Three Sisters". Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.
Kuhusu jambo letu, kwa vile mada ni kumhusu Dada Mdogo na uwezo wake kwenye lile jambo letu, sio vibaya nikiendelea kusisitiza kuwa hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Dada Mkubwa, tena wengi walimjua baada ya kukabidhiwa lile jambo baada ya lile tukio, lakini angalia akina sisi, tulianza nae wapi, au tulianza nae lini.
Kili kitu kumhusu Dada Mkubwa na Dada Mdogo na Jambo letu zama deep hapa...
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wale wa short and clear unaweza kumruka Dada Mkubwa, uka jump kwa Dada Mdogo
Tuje kwa Dada Mdogo ambaye ndiye mwenye Bandiko lake.
Naomba kuanza na declaration of Interest,
Dada Mdogo ni mwalimu wangu wa sheria, mwaka wa kwanza UDSM, somo letu la kwanza, hivyo naomba usijekuonekana hapa ni mwanafunzi anampigia promo mwalimu wake ili ndio awe yeye kwenye lile jambo letu!. No!, hapa ni meritis, facts na hoja.
Kujifagilia rukhsa!, mimi ndie mtu wa kwanza kutangaza humu jf kuwa Dada Mdogo atakuwa Spika wetu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... humo nilisema
Hivyo, ilipojitokeza fursa ya U Spika, nilisema Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa? na Dr. Tulia alipoukwaa Uspika, hatukumkopesha nilisema Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!
Alipoingia akaanza moto wake Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi
Akaendelea kuwasha
Pamoja na mazuri yake yote, Dr. Tulia pia ni binadamu, anaweza kukosoea, hivyo alipokosea kwenye madudu ya IGA ya DPW na bandari zetu, tulimpaka "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?
Mazuri yake, yameendelea na Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria? na alipoukwaa urais wa IPU ndio funga kazi, juzi kati ndio kafunga kazi.
Hitimisho.
Kwa vile Dada Mdogo ameonyesha uwezo kuwa anaweza na kiukweli anaweza, kwa vile kwenye lile jambo letu, tumeamua twende na mwanamke, na , japo katiba yetu, imeweka umri wa mwanzo wa lile jambo letu lakini hakuna umri wa ukomo, lakini kwa public service umri wa ukomo wa utumishi wa umma ni miaka 65, ambayo Dada Mkubwa atakuwa ameitimiza kabla ya jambo letu,kwa vile lile jambo letu waliowengi ni generation Z,ambao ni wasumbufu sana, na Dada Mkubwa atakuwa 70 kusumbuana na hawa vijana ni kumchosha bure Dada Mkubwa mnaonaje tukimshauri Dada Mkubwa aamue kumpisha kwa kumuachia Dada Mdogo aimalizie ulemserereko wa lile jambo letu, na yeye ajipumzikie mapema?, maana nilimsikia hapa Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!
Jumamosi Njema
Paskali
Akifanya hayo atabaki Salama?Hajakosea Pascal,kufokafoka ndio kuonyesha msisitizo kwa kiingereza,Dr Yuko vizuri sana huko,Sasa uwezo huo ndio anapaswa akubali kujadili kwenye Bunge lake katiba mpya na kuhusu watu wanatekwa na kuuwawa wengine, hapo nitamuona hasukumwi na mihemko!
Inategemea na muda na mahali na watu!Akifanya hayo atabaki Salama?
Kaongea kiinglishameonyesha uwezo gani?
Tatizo ni huyu hapa chini:Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali la kuzungumzia uwezo wa wanawake kwenye lile "jambo letu lile", (naomba nisiliseme), ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe ni mwanamke, then mwanamke mwingine ni Dr. Tulia Akson Mwansasu, ameonyesha uwezo, analiweza lile "jambo letu" hivyo kwenye bandiko hili nauliza, je tumchagize kwenye lile "jambo letu", kwasababu ambazo ziko obviously au tuache tuu mambo yaende hivyo hivyo yanavyopaswa kwenda, kama maji kufuata mkondo, kwa kuachia ule utaratibu wa kawaida wa mserereko hata kama ni bora liende, liende tuu?.
Angalizo: JF ni ukumbi wa wote, watoto, vijana, wakubwa na wazee, mimi ni mwandishi wa habari wa wote, nawaandikia watoto, vijana, wakubwa na wazee, ila pia kuna baadhi ya hoja ni za kikubwa, kwanza huwa zinapanda muda watoto wamelala hivyo huwa nawaandikia , wakubwa tuu na sio watoto, hivyo hili sio bandiko la watoto.
Namna ya kujipima kama wewe ni.mkubwa ama mtoto, ni ukijiona umesoma pale nilipoandika "jambo letu" ukijiona wewe unajiuliza hilo "jambo letu" ni jambo gani, basi ujijue tuu hili bandiko sio zaizi yako, okoa tuu muda wako, jiendee mabandiko mengine ya saizi yako.
Hapa ninauzungumzia huo uwezo mkubwa wa Dr. Tulia alionao na aliouonyesha hapo juzi kati, ni upi, kauonyeshea wapi na ana fiti vipi kwa lile "jambo letu lile"?.
Kwanini Dr. Tulia auonyeshee uwezo wake huo kule badala ya hapa nyumbani wakati ni jukumu la mhimili wake kuisimamia serikali yetu!, Je tumshinikize kwa Bunge letu kwanza li do the right thing, kuitekeleza ile hukumu ya Mahakama ya Rufaa, kuhusu ubatili wa katiba yetu na ubatili wa sheria zetu?, kwanini Bunge letu liendelee kututungia sheria batili zinazokwenda kinyume na katiba?.
Kitendo cha kumpa Rais wetu kuzisaini sheria batili kinyume cha katiba, kutakuja kutokea wabunge makini ambao watahitaji Ibara ya 46A ya katiba yetu itekelezwe, kwanini huu mhimili wetu wa Bunge utufanyie hivi wakati mhimili huu uko chini ya Mwanasheria nguli, mbobezi na mbobevu?.
Endelea kufuatana nami mdogo mdogo. ambapo Rais Samia japo anaitwa Mama, kwa umri wangu mimi ni Dada (mimi ni wa 60s) na Dr. Tulia, ni mdogo kwangu, hivyo mimi nawaita ni madada wawili, mtu na dada mtu, au mtu na dada yake, mmoja ni Dada Mkubwa , mwingine ni Dada Mdogo.
Mhimili Mkuu kabisa ni Serikali unaongozwa na Dada Mkubwa, mhimili wa pili kwa ukubwa ni Bunge, unaongozwa na Dada mdogo, tena almanusa na ule mhimili wa tatu, kama tusingepindisha katiba, CJ aendelee kinyume cha katiba, kwenye hierarchy ya mhimili ile, the most senior ilikuwa aingie Mwanamke!,ikabidi katiba ipindishwe kidogo hivyo tungekuwa chini ya madada watatu, "Three Sisters". Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.
Kuhusu jambo letu, kwa vile mada ni kumhusu Dada Mdogo na uwezo wake kwenye lile jambo letu, sio vibaya nikiendelea kusisitiza kuwa hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Dada Mkubwa, tena wengi walimjua baada ya kukabidhiwa lile jambo baada ya lile tukio, lakini angalia akina sisi, tulianza nae wapi, au tulianza nae lini.
Kili kitu kumhusu Dada Mkubwa na Dada Mdogo na Jambo letu zama deep hapa...
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wale wa short and clear unaweza kumruka Dada Mkubwa, uka jump kwa Dada Mdogo
Tuje kwa Dada Mdogo ambaye ndiye mwenye Bandiko lake.
Naomba kuanza na declaration of Interest,
Dada Mdogo ni mwalimu wangu wa sheria, mwaka wa kwanza UDSM, somo letu la kwanza, hivyo naomba usijekuonekana hapa ni mwanafunzi anampigia promo mwalimu wake ili ndio awe yeye kwenye lile jambo letu!. No!, hapa ni meritis, facts na hoja.
Kujifagilia rukhsa!, mimi ndie mtu wa kwanza kutangaza humu jf kuwa Dada Mdogo atakuwa Spika wetu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... humo nilisema
Hivyo, ilipojitokeza fursa ya U Spika, nilisema Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa? na Dr. Tulia alipoukwaa Uspika, hatukumkopesha nilisema Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!
Alipoingia akaanza moto wake Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi
Akaendelea kuwasha
Pamoja na mazuri yake yote, Dr. Tulia pia ni binadamu, anaweza kukosoea, hivyo alipokosea kwenye madudu ya IGA ya DPW na bandari zetu, tulimpaka "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?
Mazuri yake, yameendelea na Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria? na alipoukwaa urais wa IPU ndio funga kazi, juzi kati ndio kafunga kazi.
Hitimisho.
Kwa vile Dada Mdogo ameonyesha uwezo kuwa anaweza na kiukweli anaweza, kwa vile kwenye lile jambo letu, tumeamua twende na mwanamke, na , japo katiba yetu, imeweka umri wa mwanzo wa lile jambo letu lakini hakuna umri wa ukomo, lakini kwa public service umri wa ukomo wa utumishi wa umma ni miaka 65, ambayo Dada Mkubwa atakuwa ameitimiza kabla ya jambo letu,kwa vile lile jambo letu waliowengi ni generation Z,ambao ni wasumbufu sana, na Dada Mkubwa atakuwa 70 kusumbuana na hawa vijana ni kumchosha bure Dada Mkubwa mnaonaje tukimshauri Dada Mkubwa aamue kumpisha kwa kumuachia Dada Mdogo aimalizie ulemserereko wa lile jambo letu, na yeye ajipumzikie mapema?, maana nilimsikia hapa Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!
Jumamosi Njema
Paskali
Samwel Sitta alikuwa ni Habari nyingine ! (RIP)Kisa kajitetea kwa wazungu au kuna lipi lingine,? Yan utumie kigezo cha kubwatuka huko IPU ndiyo kiwe kigezo cha mtu kuwa rais! wakati hapa nchini ndani ya bunge anaziba midomo wabunge kujadili maswala ya ufisaji yaliyo ibuliwa na CAG ? mimi kwangu bado spika wa viwango hadi sasa anabaki SAMWEL SITTA sijaona wa kufika hata nusu ya level yake hadi sasa, hata PIUS MSEKWA bado hajafikia kwa SAMWEL SITTA maana wote nimeona utendaji kazi wao ndani bunge.
Mkuu Ileje haya ni kutukana matukano ya rejareja.Tatizo ni huyu hapa chini:View attachment 3129820
hilo sio la kudhani, ni hakikaNadhani Dr.Tulia Akson ni msomi mahiri na nguli wa sheria kitaifa na kimataifa.
naunga mkono hoja kazi ya uongozi ni kuwajibika tuu regardless watu wana kufurahia or not, as long as unawajibikaNi mtu wa utaratibu, regardless unafurahia au hufurahii anachokifanya
Naunga mkono hoja,au kuisimamia kwa niaba ya waTanzania, ilimradi havunji sheria bali anazingatia zaidi maoni ya wawakilishi wa wananchi walio wengi wengi wanasemaje.
hicho alichokifanya IPU, amewahi kukifanya Tanzania?Kufanya kwake kazi nzuri katika bunge la Tanzania, ndiyo hasa msingi wa kufanya kwake vizuri zaidi huko duniani kupitia IPU
nakushauri tutenganishe hoja za kisiasa na za kisheria, issues za ubatili wa katiba yetu na ubatili wa sheria zetu ni issues very serious,aliyeutangaza huo ubatili sio mtu au kikundi cha watu, ni mhimili wa mahakama, serikali imetunga muswada batili kinyume na katiba, bunge likatunga sheria batili, rais akapelekewa na kuisaini,kwavile rais sio mwanasheria, hategemewi kuujua ubatili wa katiba na ubatili wa sheria hivyo anawategemea wasaidizi wake wa sheria ambao ni ama wanajua lakini wanafanya makusudi, ama ni vilaza wa ajabu!Sioni chochote ambacho eti Dr.Tulia Ackson anaweza kushinikizwa kukifanya kwakua mtu au kikundi Fulani cha watu wanaona ni batili na ni kinyume na katiba.
sii kweli!ameachaje haya madudu ya ajabu yakapita mikononi mwake?Dr Tulia Akson ni miongoni mwa watu wanaoheshimu sheria na katiba ya nchi kwa kiwango cha juu mno. Huenda hilo ndilo kosa lake, na huenda hilo ndilo huwakera baadhi ya watu.
Ukimuona mtu anasema ikiwa patahitajika sheria mpya, huyo ni wa kuhurumiwa!, sisi tunaendelea kumshukuru Dada Mkubwa kwa mabadiliko ya sheria,Na ikiwa panahitajika sheria mpya, marekebisho au masahihisho yoyote kwenye sheria,
duh 。。。!,utaratibu uko wazi, ufuatwe inavyostahili, kuliko kutumia shortcut kumlaumu au kumsingizia Dr.Tulia Akson dhidi ya kisicho kufurahisha wewe na pengine wengine.
naunga mkono hojaWabunge anao wasimamia Dr Tulia wakiamua ni wananchi wameamua. Yeye ni nani apinge uamuzi wa wanainchi?
Wenye nchi ni wananchi, ndio wenye maamuzi ya mwisho wanataka nini, ndio mabosi tuliomuajiri Dada Mkubwa,kwa kura zetu na sio tuu tunamlipa tax free mshahara wake, pia tunamlisha ,tunamvishanakumhidumia kwa kila kitu kwa kodi zetu hivyo ni mtumishi wetu, tunamtuma tunachotaka, ndio itakuwa Tulia?ndio maana nimeuliza hapa tumshinikize?。Iweje ashinikizwe Dr.Tulia Akson kwenye maamuzi ya wananchi kupitia wawakilishi wao mjengoni?
nakushauri zungumzia ngwe yake sio ngwe zake kwasababu hapangi yeye,anaoangiwa na Mpangaji hivyo kwanza nimeunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! hivyo sii lazima awe Dada Mkubwa, hata Dada Mdogo anaweza,na pia kuna HII kitu!, sio ya kudharau hata kidogo!。Infact tuendako, baada ya Dr.samia kumaliza ngwe zake za uongozi,
Nimeupenda uchambuzi wako, this is what is going to happen soon, 2030 ni fursa kwa wapinzani Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!Rais akiwa Dr.Hussein Mwinyi, basi Dr. Tulia Akson atakua ama makamu wa Rais ama waziri Mkuu. Na ikiwa Rais ni Dr Emmanuel Nchimbi, basi ni dhahiri Dr.Tulia Akson atakua waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Tanzania 🐒
Natamani uwe Rais wa Tanganyika halafu uniteue niwe FIRST LADY.Ngoja bwana Erythrocyte aje kumwaga nyongo hapa 😂
Mkuu ngoja nikutonye, unahufahamu mkataba mwitongo wewe? ,Umesema ukweli mchungu, Dada yake Paskali huyo Tulia seems alichemka huko, Jamaa wakamjia juu. Huu ni mwanzo Tu, watarudi tena...Tulia alikosea na huo Ndio ukweli kama enzi za AshaRose Migiro