Ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe mwanamke, then mwanamke huyo ni Dkt. Tulia, ameonesha uwezo, anaweza! Tumchagize au tuache tu bora liende?

Hizo ni kudra zetu hao wandewa , mungu haouni kitu kabisa, laiti ungeyajua ya mwenge?
 
Siwezi kubishana na wewe nafahamu unanizidi kila kitu umri mpaka kipato ila nina babu yangu anaye mzaa mama uwa ananiambia jitaidi kueshimu unacho kiamiani. Ata kama itakupunguzia sifa leo ila kesho itakujengea heshima. Sasa kama wewe ni law school graduates alafu unatupumbaza sisi wajukuu wako mzee unazeeka vibaya.
 
Uwezo wa watanzania kufikiri ni mdogo sana aisee!
Kule kulalamika IPU na kuongea kiingerrza fasaha ndo kigezo cha uongozi??Kiingerrza?Kiingerrza kweli?
basitena mwanaume anakuja na bandiko la kushadidia mtu kutoa boko dah Mungu tusamehe, hv Paschal hujui rais wa taznania anapatikanaje hujui utamaduni wa ccm kumpata rais au huna la kufanya ukaona uchezee simu
 
Dr tulia kutoka kuwa mwalimu wako wa Sheria pale mlimani mpaka kuwa dada yako au ndio mabandiko ya wakubwa.

Nje ya mada mkuu.kule Kwa majirani hawawezi wakatupa yule waliyemtengua na sisi tukawapa dada yako mkubwa?tukajaribu maisha mengine

Kwani toka lini tuna zoezi la kubadilishana wafungwa? 😂 😂 😂 😂 . Mambo hayo yapo Israel and Palestina.
 
Lakini alisema mwenyewe kuwa amepata urais kwa kudra za mwenyeji Mungu hakusema ni kudra zenu.
Sio tuu ni amesema mwenyewe bali ukweli ni Mungu ndie huweka serikali za mataifa,na Rais Samia alipoulizwa na Kikeke, kuhusu 2025,Rais alijibu “Kwanza kazi ifanyike ya 2025 aachiwe Mungu”

Hivyo rais wa Tanzania 2025 amepangwa Mungu na sio lazima awe ni Dada Mkubwa, anaweza kuwa mwingine yeyote hata Dada Mdogo kama nilivyo eleza hapa kuhusu 2025 Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
P
 
Huyo Tulia anafaa kuwa mke wako mdogo nyumbani kwako. Ndiyo Kazi atakayoiweza. Kukupunguzia machungu ya mke mkubwa.
 
Si ajabu nchi yetu tunapimwa IQ yetu ipo chini sana across jamii nzima! Yani mtu akiunda slogan tu au akifanya comedy moja tu basi anateka nchi nzima kustahili kuwa rais!! National embecility. Bwana Mtilikila alisema ule unyani haujatuisha yani (Apodomia) yani mtu akija na mkungu wa ndizi nyani tunaukimbilia kama mazuzu tu! Mungu atusaidie kama yupo angalau tupate akili kijiko kimoja tu!

Wasomi wa nchi hii wameshindwa kusaidia kabisa kuna haja ya kutafuta mfumo mpya kabisa wa kuwezesha watu wetu kupata ufahamu wa kupambana na maisha yao, elimu ya kimagharibi imetufundisha kuandika na kusoma tu ila maarifa waliondoka nayo wakoloni!
 
Huyo Tulia anafaa kuwa mke wako mdogo nyumbani kwako. Ndiyo Kazi atakayoiweza. Kukupunguzia machungu ya mke mkubwa.
We dogo JAYJAY ,heshima kitu cha bure, ishike ikushike!Spika Dr Tulia ni mke wa mtu na mama wa familia,muheshimu, kila mtu anastahili heshima。
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…