Ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe mwanamke, then mwanamke huyo ni Dkt. Tulia, ameonesha uwezo, anaweza! Tumchagize au tuache tu bora liende?

Ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe mwanamke, then mwanamke huyo ni Dkt. Tulia, ameonesha uwezo, anaweza! Tumchagize au tuache tu bora liende?

Wasomi wa nchi hii wameshindwa kusaidia kabisa
Ni kweli wasomi wa nchi hii wameshindwa kuisaidia nchi ila sio wote, tupo akina sisi tunasaidia sana kupitia kalamu zetu na kupaza sauti zetu。
kuna haja ya kutafuta mfumo mpya kabisa wa kuwezesha watu wetu kupata ufahamu wa kupambana na maisha yao
true
, elimu ya kimagharibi imetufundisha kuandika na kusoma tu ila maarifa waliondoka nayo wakoloni!
true
by the way jina lako linanikumbusha Bavon Marie Marie na bendi yake ya Negro Succses album yake ya Maseke ya Meme, nimezitwanga sana nyimbo zake enzi nikiwa a radio Dj Rtd
View: https://youtu.be/EbnVAwCJ8t0?si=D0RyYB3GW3kfMqrE
P
 
Mkuu ngoja nikutonye, unahufahamu mkataba mwitongo wewe? ,
Asha alidangwanywa aje Bongo, atapewa cheo kikuu kama sio PM, lakini missions ilikuwa ni kumuondolea western investors,
Asha alishaanza kupata supports za western investors, na hii ilikuwa threat kwa waswahili gang

Si unajua hapa Bongo bila investors hutobi uchanguzi
Shukrani sana Ndugu yangu, next time ukiwa free niongezee nyama Kwenye hili la investors, la mwitongo agreement nalifahamu japo kwa sehemu
 
We naye unatia aibu kabisa, kujipendekeza kwa umri wako + elimu tena umeishi nje lakini unaota uteuzi kila siku
Benja, Benjamin Netanyahu ,ni vile tuu watu humu hatujuani in real life, wote wanaodhani Pasco ni mtu wa kujipendekeza kutafuta uteuzi, nimewasamehe bure maana huo ndio uwezo wao wa uelewa wao!
watu sio tuu tumeandika humu jf Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza! hadi kwenye mainstream media
P
 
Meza zinaweza kupinduliwa tu.
Watu tuko tofauti tofauti tuna taste tofauti tofauti, ukikutana na kitu cha type yako ndio mtu unaweza kuchanganyikiwa ukajikuta unaweza kupindua meza! 。

Mfano mimi ni mtu ninayependa sana kula kula misosi heavy tofauti tofauti Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? lakini sio kila ukiona tuu msosi ni unakimbilia kufakamia!, vyakula vingine haviliki
Ovyo onyo ni special menu for special people.

Ila mimi pia ni binadamu, na binadamu wote ni wadhaifu ,hivyo na mimi kama binadamu mwingine yeyote kuna maeneo yangu ya udhaifu wangu nikikutana nayo mimi hoi!, eneo kama hili Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? hapo ndipo labda mtu unaweza kuzidiwa na kuelemewa hadi kujikuta unaweza 。。。
P
 
Watu tuko tofauti tofauti tuna taste tofauti tofauti, ukikutana na kitu cha type yako ndio mtu unaweza kuchanganyikiwa ukajikuta inaweza kupindua meza 。

Mfano mimi ni mtu ninayependa sana kula kula misosi heavy tofauti tofauti Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? lakini sio kila ukiona tuu msosi ni unakimbilia kufakamia

Ila mimi pia ni binadamu, na binadamu wote ni wadhaifu ,hivyo na mimi kama binadamu mwingine yeyote kuna maeneo yangu ya udhaifu wangu nikikutana nayo mimi hoi!, eneo kama hili Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? hapo ndipo labda mtu unaweza kuzidiwa na kuelemewa hadi kujikuta unaweza 。。。
P
Najua mikato yako ni ile rangi ya mtume,fungashio lililo nona na macho kama wale mabikra sabini wa peponi.
 
Benja, Benjamin Netanyahu ,ni vile tuu watu humu hatujuani in real life, wote wanaodhani Pasco ni mtu wa kujipendekeza kutafuta uteuzi, nimewasamehe bure maana huo ndio uwezo wao wa uelewa wao!
watu sio tuu tumeandika humu jf Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza! hadi kwenye mainstream media
P
Mkuu Paschal tuseme ukweli, hivi hata nje kuna kusifia kijinga badala ya kushauri na kukosoa kama sisi Tanzania tunavyofanya? Ulisema umeishi Ulaya, Kazi uliyokuwa unaifanya 2019 kurudi nyum ndiyo ilikuwa maisha ya Ulaya.
 
na macho kama wale mabikra sabini wa peponi.
Duh..., we ni noma!, umeyajuaje macho ya wale ma bii70 wa peponi?, kuna mtu alikwenda akawaona na kurudi kukuhadithia kuhusu fungashio lao na macho yao?!, hivyo unamaanisha sio tuu hao ma bi70 wana fungashio kama yule Dada, bali pia hata macho yao ni kama ya yule Dada?.
P
 
Mkuu Paschal tuseme ukweli, hivi hata nje kuna kusifia kijinga badala ya kushauri na kukosoa kama sisi Tanzania tunavyofanya?
Kusifia is relative kama beauty, huwezi, kusema kusifia kijinga, anayesifu ndie anajua anasifu nini, one man's meat is another man's poison!

Ulisema umeishi Ulaya, Kazi uliyokuwa unaifanya 2019 kurudi nyum ndiyo ilikuwa maisha ya Ulaya.
Nimeishi ulaya na sasa family iko US, every Festival season niko kule.
P
 
Wanabodi,

Kwanza anza na hii video
View: https://youtu.be/kg56zhQjTOg?si=WL_ZQz4gr8fX1VV1

angalieni nchi za wenzetu,linganisha na kwetu, Dr Tulia wa IPU na Dr Tulia wa pale mjengoni kwetu, unaweza kudhani ni watu wawili tofauti.

Hili ni bandiko la swali la kuzungumzia uwezo wa wanawake kwenye lile "jambo letu lile", (naomba nisiliseme), ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe ni mwanamke, then mwanamke mwingine ni Dr. Tulia Akson Mwansasu, ameonesha uwezo, analiweza lile "jambo letu" hivyo kwenye bandiko hili nauliza, je tumchagize kwenye lile "jambo letu", kwasababu ambazo ziko obviously au tuache tuu mambo yaende hivyo hivyo yanavyopaswa kwenda, kama maji kufuata mkondo, kwa kuachia ule utaratibu wa kawaida wa mserereko hata kama ni bora liende, liende tu?

Angalizo: JF ni ukumbi wa wote, watoto, vijana, wakubwa na wazee, mimi ni mwandishi wa habari wa wote, nawaandikia watoto, vijana, wakubwa na wazee, ila pia kuna baadhi ya hoja ni za kikubwa, kwanza huwa zinapanda muda watoto wamelala hivyo huwa nawaandikia , wakubwa tuu na sio watoto, hivyo hili sio bandiko la watoto.

Namna ya kujipima kama wewe ni.mkubwa ama mtoto, ni ukijiona umesoma pale nilipoandika "jambo letu" ukijiona wewe unajiuliza hilo "jambo letu" ni jambo gani, basi ujijue tuu hili bandiko sio zaizi yako, okoa tuu muda wako, jiendee mabandiko mengine ya saizi yako.

Hapa ninauzungumzia huo uwezo mkubwa wa Dr. Tulia alionao na aliouonyesha hapo juzi kati, ni upi, kauonyeshea wapi na ana fiti vipi kwa lile "jambo letu lile"?

Kwanini Dr. Tulia auonyeshee uwezo wake huo kule badala ya hapa nyumbani wakati ni jukumu la mhimili wake kuisimamia serikali yetu!, Je tumshinikize kwa Bunge letu kwanza li do the right thing, kuitekeleza ile hukumu ya Mahakama ya Rufaa, kuhusu ubatili wa katiba yetu na ubatili wa sheria zetu?, kwanini Bunge letu liendelee kututungia sheria batili zinazokwenda kinyume na katiba?

Kitendo cha kumpa Rais wetu kuzisaini sheria batili kinyume cha katiba, kutakuja kutokea wabunge makini ambao watahitaji Ibara ya 46A ya katiba yetu itekelezwe, kwanini huu mhimili wetu wa Bunge utufanyie hivi wakati mhimili huu uko chini ya Mwanasheria nguli, mbobezi na mbobevu?

Endelea kufuatana nami mdogo mdogo. ambapo Rais Samia japo anaitwa Mama, kwa umri wangu mimi ni Dada (mimi ni wa 60s) na Dr. Tulia, ni mdogo kwangu, hivyo mimi nawaita ni madada wawili, mtu na dada mtu, au mtu na dada yake, mmoja ni Dada Mkubwa, mwingine ni Dada Mdogo.

Mhimili Mkuu kabisa ni Serikali unaongozwa na Dada Mkubwa, mhimili wa pili kwa ukubwa ni Bunge, unaongozwa na Dada mdogo, tena almanusa na ule mhimili wa tatu, kama tusingepindisha katiba, CJ aendelee kinyume cha katiba, kwenye hierarchy ya mhimili ile, the most senior ilikuwa aingie Mwanamke!,ikabidi katiba ipindishwe kidogo hivyo tungekuwa chini ya madada watatu, "Three Sisters". Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?

Kuhusu jambo letu, kwa vile mada ni kumhusu Dada Mdogo na uwezo wake kwenye lile jambo letu, sio vibaya nikiendelea kusisitiza kuwa hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Dada Mkubwa, tena wengi walimjua baada ya kukabidhiwa lile jambo baada ya lile tukio, lakini angalia akina sisi, tulianza nae wapi, au tulianza nae lini.

Kili kitu kumhusu Dada Mkubwa na Dada Mdogo na Jambo letu zama deep hapa.

Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wale wa short and clear unaweza kumruka Dada Mkubwa, uka jump kwa Dada Mdogo.


Tuje kwa Dada Mdogo ambaye ndiye mwenye Bandiko lake. Naomba kuanza na declaration of Interest,
Dada Mdogo ni mwalimu wangu wa sheria, mwaka wa kwanza UDSM, somo letu la kwanza, hivyo naomba usijekuonekana hapa ni mwanafunzi anampigia promo mwalimu wake ili ndio awe yeye kwenye lile jambo letu!. No!, hapa ni meritis, facts na hoja.

Kujifagilia rukhsa!, mimi ndie mtu wa kwanza kutangaza humu jf kuwa Dada Mdogo atakuwa Spika wetu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... humo nilisema

Hivyo, ilipojitokeza fursa ya U Spika, nilisema Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa? na Dr. Tulia alipoukwaa Uspika, hatukumkopesha nilisema Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Alipoingia akaanza moto wake Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi

Akaendelea kuwasha. Pamoja na mazuri yake yote, Dr. Tulia pia ni binadamu, anaweza kukosoea, hivyo alipokosea kwenye madudu ya IGA ya DPW na bandari zetu, tulimpaka "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Mazuri yake, yameendelea na Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria? na alipoukwaa urais wa IPU ndio funga kazi, juzi kati ndio kafunga kazi.

Hitimisho.
Kwa vile Dada Mdogo ameonyesha uwezo kuwa anaweza na kiukweli anaweza, kwa vile kwenye lile jambo letu, tumeamua twende na mwanamke, na, japo katiba yetu, imeweka umri wa mwanzo wa lile jambo letu lakini hakuna umri wa ukomo, lakini kwa public service umri wa ukomo wa utumishi wa umma ni miaka 65, ambayo Dada Mkubwa atakuwa ameitimiza kabla ya jambo letu,kwa vile lile jambo letu waliowengi ni generation Z,ambao ni wasumbufu sana, na Dada Mkubwa atakuwa 70 kusumbuana na hawa vijana ni kumchosha bure Dada Mkubwa mnaonaje tukimshauri Dada Mkubwa aamue kumpisha kwa kumuachia Dada Mdogo aimalizie ulemserereko wa lile jambo letu, na yeye ajipumzikie mapema? Maana nilimsikia hapa Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!

Jumamosi Njema
Paskali

Tofautisha uwezo wa kuongea na kuongoza chief.
 
Tofautisha uwezo wa kuongea na kuongoza chief.
kazi ya uongozi is to lead by examples,kuna kazi ni za kuongea tuu, kati ya wakuu wetu wote watatu wa mihimili, ni Dada mdogo pekee ndio anaweza kuongea kivile, Dada mkubwa hawezi!。
kuna kazi uwezo wa kuongea ndio uwezo wa kutenda,ndiko ku Tenda kwenyewe。
P
 
Kusifia is relative kama beauty, huwezi, kusema kusifia kijinga, anayesifu ndie anajua anasifu nini, one man's meat is another man's poison!


Nimeishi ulaya na sasa family iko US, every Festival season niko kule.
P
Sasa mkuu why una-behave kama UVCCM? Tunatakiwa kuisaidia nchi kwa kusema ukweli na siyo kukaa tunasifia tu, walipo shule wanajifunza nini kwetu? tunatakiwa kuwa na taifa la mijadala na siyo la kusifia tu
 
kazi ya uongozi is to lead by examples,kuna kazi ni za kuongea tuu, kati ya wakuu wetu wote watatu wa mihimili, ni Dada mdogo pekee ndio anaweza kuongea kivile, Dada mkubwa hawezi!。
kuna kazi uwezo wa kuongea ndio uwezo wa kutenda,ndiko ku Tenda kwenyewe。
P
Kwa kipi alichowah kufanya kikaleta mabadiliko sasa. Maana unaweza kuwa na uwezo ukafungwa na mfumo vile vile. Mi nawaamini zaid watendaji kuliko wasemaji maana dunia imebadilishwa zaid na watendaji kuliko wasemaji. Hii ukifuatilia maneno na matendo ni sifur. Cjui kilimo cha kufa na kupona Cjui mkurabita cjui mkukuta cjui matokeo makubwa sasa. Hii yote ya nini sasa kama ni maneno juu ya maneno.
 
Wanabodi,

Kwanza anza na hii video
View: https://youtu.be/kg56zhQjTOg?si=WL_ZQz4gr8fX1VV1

angalieni nchi za wenzetu,linganisha na kwetu, Dr Tulia wa IPU na Dr Tulia wa pale mjengoni kwetu, unaweza kudhani ni watu wawili tofauti.

Hili ni bandiko la swali la kuzungumzia uwezo wa wanawake kwenye lile "jambo letu lile", (naomba nisiliseme), ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe ni mwanamke, then mwanamke mwingine ni Dr. Tulia Akson Mwansasu, ameonesha uwezo, analiweza lile "jambo letu" hivyo kwenye bandiko hili nauliza, je tumchagize kwenye lile "jambo letu", kwasababu ambazo ziko obviously au tuache tuu mambo yaende hivyo hivyo yanavyopaswa kwenda, kama maji kufuata mkondo, kwa kuachia ule utaratibu wa kawaida wa mserereko hata kama ni bora liende, liende tu?

Angalizo: JF ni ukumbi wa wote, watoto, vijana, wakubwa na wazee, mimi ni mwandishi wa habari wa wote, nawaandikia watoto, vijana, wakubwa na wazee, ila pia kuna baadhi ya hoja ni za kikubwa, kwanza huwa zinapanda muda watoto wamelala hivyo huwa nawaandikia , wakubwa tuu na sio watoto, hivyo hili sio bandiko la watoto.

Namna ya kujipima kama wewe ni.mkubwa ama mtoto, ni ukijiona umesoma pale nilipoandika "jambo letu" ukijiona wewe unajiuliza hilo "jambo letu" ni jambo gani, basi ujijue tuu hili bandiko sio zaizi yako, okoa tuu muda wako, jiendee mabandiko mengine ya saizi yako.

Hapa ninauzungumzia huo uwezo mkubwa wa Dr. Tulia alionao na aliouonyesha hapo juzi kati, ni upi, kauonyeshea wapi na ana fiti vipi kwa lile "jambo letu lile"?

Kwanini Dr. Tulia auonyeshee uwezo wake huo kule badala ya hapa nyumbani wakati ni jukumu la mhimili wake kuisimamia serikali yetu!, Je tumshinikize kwa Bunge letu kwanza li do the right thing, kuitekeleza ile hukumu ya Mahakama ya Rufaa, kuhusu ubatili wa katiba yetu na ubatili wa sheria zetu?, kwanini Bunge letu liendelee kututungia sheria batili zinazokwenda kinyume na katiba?

Kitendo cha kumpa Rais wetu kuzisaini sheria batili kinyume cha katiba, kutakuja kutokea wabunge makini ambao watahitaji Ibara ya 46A ya katiba yetu itekelezwe, kwanini huu mhimili wetu wa Bunge utufanyie hivi wakati mhimili huu uko chini ya Mwanasheria nguli, mbobezi na mbobevu?

Endelea kufuatana nami mdogo mdogo. ambapo Rais Samia japo anaitwa Mama, kwa umri wangu mimi ni Dada (mimi ni wa 60s) na Dr. Tulia, ni mdogo kwangu, hivyo mimi nawaita ni madada wawili, mtu na dada mtu, au mtu na dada yake, mmoja ni Dada Mkubwa, mwingine ni Dada Mdogo.

Mhimili Mkuu kabisa ni Serikali unaongozwa na Dada Mkubwa, mhimili wa pili kwa ukubwa ni Bunge, unaongozwa na Dada mdogo, tena almanusa na ule mhimili wa tatu, kama tusingepindisha katiba, CJ aendelee kinyume cha katiba, kwenye hierarchy ya mhimili ile, the most senior ilikuwa aingie Mwanamke!,ikabidi katiba ipindishwe kidogo hivyo tungekuwa chini ya madada watatu, "Three Sisters". Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?

Kuhusu jambo letu, kwa vile mada ni kumhusu Dada Mdogo na uwezo wake kwenye lile jambo letu, sio vibaya nikiendelea kusisitiza kuwa hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Dada Mkubwa, tena wengi walimjua baada ya kukabidhiwa lile jambo baada ya lile tukio, lakini angalia akina sisi, tulianza nae wapi, au tulianza nae lini.

Kili kitu kumhusu Dada Mkubwa na Dada Mdogo na Jambo letu zama deep hapa.

Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wale wa short and clear unaweza kumruka Dada Mkubwa, uka jump kwa Dada Mdogo.


Tuje kwa Dada Mdogo ambaye ndiye mwenye Bandiko lake. Naomba kuanza na declaration of Interest,
Dada Mdogo ni mwalimu wangu wa sheria, mwaka wa kwanza UDSM, somo letu la kwanza, hivyo naomba usijekuonekana hapa ni mwanafunzi anampigia promo mwalimu wake ili ndio awe yeye kwenye lile jambo letu!. No!, hapa ni meritis, facts na hoja.

Kujifagilia rukhsa!, mimi ndie mtu wa kwanza kutangaza humu jf kuwa Dada Mdogo atakuwa Spika wetu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... humo nilisema

Hivyo, ilipojitokeza fursa ya U Spika, nilisema Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa? na Dr. Tulia alipoukwaa Uspika, hatukumkopesha nilisema Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Alipoingia akaanza moto wake Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi

Akaendelea kuwasha. Pamoja na mazuri yake yote, Dr. Tulia pia ni binadamu, anaweza kukosoea, hivyo alipokosea kwenye madudu ya IGA ya DPW na bandari zetu, tulimpaka "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Mazuri yake, yameendelea na Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria? na alipoukwaa urais wa IPU ndio funga kazi, juzi kati ndio kafunga kazi.

Hitimisho.
Kwa vile Dada Mdogo ameonyesha uwezo kuwa anaweza na kiukweli anaweza, kwa vile kwenye lile jambo letu, tumeamua twende na mwanamke, na, japo katiba yetu, imeweka umri wa mwanzo wa lile jambo letu lakini hakuna umri wa ukomo, lakini kwa public service umri wa ukomo wa utumishi wa umma ni miaka 65, ambayo Dada Mkubwa atakuwa ameitimiza kabla ya jambo letu,kwa vile lile jambo letu waliowengi ni generation Z,ambao ni wasumbufu sana, na Dada Mkubwa atakuwa 70 kusumbuana na hawa vijana ni kumchosha bure Dada Mkubwa mnaonaje tukimshauri Dada Mkubwa aamue kumpisha kwa kumuachia Dada Mdogo aimalizie ulemserereko wa lile jambo letu, na yeye ajipumzikie mapema? Maana nilimsikia hapa Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!

Jumamosi Njema
Paskali

Kaupepo kamekubeba???
 
Wanabodi,

Kwanza anza na hii video
View: https://youtu.be/kg56zhQjTOg?si=WL_ZQz4gr8fX1VV1

angalieni nchi za wenzetu,linganisha na kwetu, Dr Tulia wa IPU na Dr Tulia wa pale mjengoni kwetu, unaweza kudhani ni watu wawili tofauti.

Hili ni bandiko la swali la kuzungumzia uwezo wa wanawake kwenye lile "jambo letu lile", (naomba nisiliseme), ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe ni mwanamke, then mwanamke mwingine ni Dr. Tulia Akson Mwansasu, ameonesha uwezo, analiweza lile "jambo letu" hivyo kwenye bandiko hili nauliza, je tumchagize kwenye lile "jambo letu", kwasababu ambazo ziko obviously au tuache tuu mambo yaende hivyo hivyo yanavyopaswa kwenda, kama maji kufuata mkondo, kwa kuachia ule utaratibu wa kawaida wa mserereko hata kama ni bora liende, liende tu?

Angalizo: JF ni ukumbi wa wote, watoto, vijana, wakubwa na wazee, mimi ni mwandishi wa habari wa wote, nawaandikia watoto, vijana, wakubwa na wazee, ila pia kuna baadhi ya hoja ni za kikubwa, kwanza huwa zinapanda muda watoto wamelala hivyo huwa nawaandikia , wakubwa tuu na sio watoto, hivyo hili sio bandiko la watoto.

Namna ya kujipima kama wewe ni.mkubwa ama mtoto, ni ukijiona umesoma pale nilipoandika "jambo letu" ukijiona wewe unajiuliza hilo "jambo letu" ni jambo gani, basi ujijue tuu hili bandiko sio zaizi yako, okoa tuu muda wako, jiendee mabandiko mengine ya saizi yako.

Hapa ninauzungumzia huo uwezo mkubwa wa Dr. Tulia alionao na aliouonyesha hapo juzi kati, ni upi, kauonyeshea wapi na ana fiti vipi kwa lile "jambo letu lile"?

Kwanini Dr. Tulia auonyeshee uwezo wake huo kule badala ya hapa nyumbani wakati ni jukumu la mhimili wake kuisimamia serikali yetu!, Je tumshinikize kwa Bunge letu kwanza li do the right thing, kuitekeleza ile hukumu ya Mahakama ya Rufaa, kuhusu ubatili wa katiba yetu na ubatili wa sheria zetu?, kwanini Bunge letu liendelee kututungia sheria batili zinazokwenda kinyume na katiba?

Kitendo cha kumpa Rais wetu kuzisaini sheria batili kinyume cha katiba, kutakuja kutokea wabunge makini ambao watahitaji Ibara ya 46A ya katiba yetu itekelezwe, kwanini huu mhimili wetu wa Bunge utufanyie hivi wakati mhimili huu uko chini ya Mwanasheria nguli, mbobezi na mbobevu?

Endelea kufuatana nami mdogo mdogo. ambapo Rais Samia japo anaitwa Mama, kwa umri wangu mimi ni Dada (mimi ni wa 60s) na Dr. Tulia, ni mdogo kwangu, hivyo mimi nawaita ni madada wawili, mtu na dada mtu, au mtu na dada yake, mmoja ni Dada Mkubwa, mwingine ni Dada Mdogo.

Mhimili Mkuu kabisa ni Serikali unaongozwa na Dada Mkubwa, mhimili wa pili kwa ukubwa ni Bunge, unaongozwa na Dada mdogo, tena almanusa na ule mhimili wa tatu, kama tusingepindisha katiba, CJ aendelee kinyume cha katiba, kwenye hierarchy ya mhimili ile, the most senior ilikuwa aingie Mwanamke!,ikabidi katiba ipindishwe kidogo hivyo tungekuwa chini ya madada watatu, "Three Sisters". Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?

Kuhusu jambo letu, kwa vile mada ni kumhusu Dada Mdogo na uwezo wake kwenye lile jambo letu, sio vibaya nikiendelea kusisitiza kuwa hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Dada Mkubwa, tena wengi walimjua baada ya kukabidhiwa lile jambo baada ya lile tukio, lakini angalia akina sisi, tulianza nae wapi, au tulianza nae lini.

Kili kitu kumhusu Dada Mkubwa na Dada Mdogo na Jambo letu zama deep hapa.

Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wale wa short and clear unaweza kumruka Dada Mkubwa, uka jump kwa Dada Mdogo.


Tuje kwa Dada Mdogo ambaye ndiye mwenye Bandiko lake. Naomba kuanza na declaration of Interest,
Dada Mdogo ni mwalimu wangu wa sheria, mwaka wa kwanza UDSM, somo letu la kwanza, hivyo naomba usijekuonekana hapa ni mwanafunzi anampigia promo mwalimu wake ili ndio awe yeye kwenye lile jambo letu!. No!, hapa ni meritis, facts na hoja.

Kujifagilia rukhsa!, mimi ndie mtu wa kwanza kutangaza humu jf kuwa Dada Mdogo atakuwa Spika wetu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... humo nilisema

Hivyo, ilipojitokeza fursa ya U Spika, nilisema Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa? na Dr. Tulia alipoukwaa Uspika, hatukumkopesha nilisema Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Alipoingia akaanza moto wake Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi

Akaendelea kuwasha. Pamoja na mazuri yake yote, Dr. Tulia pia ni binadamu, anaweza kukosoea, hivyo alipokosea kwenye madudu ya IGA ya DPW na bandari zetu, tulimpaka "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Mazuri yake, yameendelea na Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria? na alipoukwaa urais wa IPU ndio funga kazi, juzi kati ndio kafunga kazi.

Hitimisho.
Kwa vile Dada Mdogo ameonyesha uwezo kuwa anaweza na kiukweli anaweza, kwa vile kwenye lile jambo letu, tumeamua twende na mwanamke, na, japo katiba yetu, imeweka umri wa mwanzo wa lile jambo letu lakini hakuna umri wa ukomo, lakini kwa public service umri wa ukomo wa utumishi wa umma ni miaka 65, ambayo Dada Mkubwa atakuwa ameitimiza kabla ya jambo letu,kwa vile lile jambo letu waliowengi ni generation Z,ambao ni wasumbufu sana, na Dada Mkubwa atakuwa 70 kusumbuana na hawa vijana ni kumchosha bure Dada Mkubwa mnaonaje tukimshauri Dada Mkubwa aamue kumpisha kwa kumuachia Dada Mdogo aimalizie ulemserereko wa lile jambo letu, na yeye ajipumzikie mapema? Maana nilimsikia hapa Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!

Jumamosi Njema
Paskali

Shida yake ni kwamba kaligeuza bunge badala ya kuisimamia serikali analiongoza yeye kuitetea kama vile ndio kazi ya bunge.
Any way sababu za watanzania kumchagua kiongozi na africa kwa ujumla ni za kipekee.
Prof limumba anasema, africans are fascinated with people with no ideas
 
Back
Top Bottom