Bibi hii hoja yako unailazimishia.Wamechomekea tu hao, huyo ni mtu wa Dodoma halisi. Na ni Mnubi kwa baba. Jina lake Mohamed Janabi. Labda huko namtumbo kajipachika au kapachikwa tu.
kuna watu hata waleje hawatokaa wanenepe nina mifano ya jamaa zangu wawili wale jamaa wana miili kama hiyo na wanakula lakini miaka yote hawanenepi halafu kuna mimi ambaye nakula kidogo lakini nikikaa kizembe kilo zinakuja kwa kasi mno.Janabi amekuwa akisisitiza sana ulaji mwema. Na "LISHE BORA" Huyu mtaalamu wa Vyakula na Lishe.
Hivi ndivyo anatamani watanzania wote tuwe, tuwe na mwonekano huu wa Siha njema na Afya pia. Nawaza katika umri wake huu wa miaka 65 plus nadhani watanzania tuna mengi ya kuiga. Sijajua mkewe ana umri gani.
View attachment 3070492
Wapi wewe.............watu mkiwa hamna pesa za kuishi vizuri utasikia kuna kiama mara ooohh anasa .........kura vizuri wewe kira mtu kaumbwa kwa udongo wake.........ndio maana anaweza kufa tajiri na masikini akaishi ......na kifo ni fumbo kwa kira mwili kira mtu ana tarehe yakeNdio kula kula ovyo kunaleta magonjwa tena chumvi ndio mbaya zaidi
Mpaka nikawaza inawezekana Mzee Warioba ni mfuasi mzuri sana wa Prof. Janabi! Ahahahahaha!!!Janabi amekuwa akisisitiza sana ulaji mwema. Na "LISHE BORA" Huyu mtaalamu wa Vyakula na Lishe.
Hivi ndivyo anatamani watanzania wote tuwe, tuwe na mwonekano huu wa Siha njema na Afya pia. Nawaza katika umri wake huu wa miaka 65 plus nadhani watanzania tuna mengi ya kuiga. Sijajua mkewe ana umri gani.
View attachment 3070492
Na kila mtu akiwa na matatizo mengi ndio ananona zaidi 😂Watanzania zamani tulikua hivyo,sasa hivi tumejaa mafuta ndiyo unaona watu wamenona kumbe matatizo
RaWapi wewe.............watu mkiwa hamna pesa za kuishi vizuri utasikia kuna kiama mara ooohh anasa .........kura vizuri wewe kira mtu kaumbwa kwa udongo wake.........ndio maana anaweza kufa tajiri na masikini akaishi ......na kifo ni fumbo kwa kira mwili kira mtu ana tarehe yake
Punguza ujuajiHuyo ni mtu wa Dodoma, na asili yake ni mnubi.
Usidanganye watu. Hata jina linakusuta, kuna mngoni akaitwa Janabi?
No. Warioba yupo very strong na hata alivyo unamwona. Janaba yupo weak mwangalie usoni hasa ukikutana naye live. Na umri wanafanana ni age mate hao.Mpaka nikawaza inawezekana Mzee Warioba ni mfuasi mzuri sana wa Prof. Janabi! Ahahahahaha!!!
Mnubi wa Tz...Huyo mnubi wa sudani kusini, ndio wengi wao miili yao ilivyo.
Katibiwe kaswende hukooRa
Ra
Ra
Ra
Malizia pakti la Chumvi uanze kuuguza tumbo
Sema amezeeka sana.sijui kwa nini.
Si kweli.Na kila mtu akiwa na matatizo mengi ndio ananona zaidi 😂
Kwao Songea mkuu,Kijiji Cha mtakanini wilayani Namtumbo.Huyo mnubi wa sudani kusini, ndio wengi wao miili yao ilivyo.
Mndendeule wa Namtumbo _Ruvuma.Skin tone ni kama mtu wa west africa
Japo nimejitahidi kugugu kutafuta umri wa Prof. Janabi na kukosa, naamini Prof. Janabi aidha anaweza akawa mtoto wa Mzee Warioba kiumri au basi akawa ni Mdogo wake wa mwisho mwisho.No. Warioba yupo very strong na hata alivyo unamwona. Janaba yupo weak mwangalie usoni hasa ukikutana naye live. Na umri wanafanana ni age mate hao.
Utaambiwa wafupi ni wajinga na Wagogo!Kumbe hata kwetu wapo tuu!Sifahamu kabila ya Idi Amin. Hata wamasai wapo kama janabi lakini si wote.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Ukiambiwa Watanzania ni wafupi, inamaanisha wote ni wafupi au ndiyo "feature ya wengi?
Watanzania wengi zaidi ni wafupi kuliko warefu.Utaambiwa wafupi ni wajinga na Wagogo!Kumbe hata kwetu wapo tuu!
Sisi kwetu ni warefu karibuWatanzania wengi zaidi ni wafupi kuliko warefu.