Ukimwangalia hapa Janabi. Ni kielezo cha Afya Bora ambalo Taifa linapaswa kuwa na watu wa namna hii.

Ukimwangalia hapa Janabi. Ni kielezo cha Afya Bora ambalo Taifa linapaswa kuwa na watu wa namna hii.

Janabi amekuwa akisisitiza sana ulaji mwema. Na "LISHE BORA" Huyu mtaalamu wa Vyakula na Lishe.

Hivi ndivyo anatamani watanzania wote tuwe, tuwe na mwonekano huu wa Siha njema na Afya pia. Nawaza katika umri wake huu wa miaka 65 plus nadhani watanzania tuna mengi ya kuiga. Sijajua mkewe ana umri gani.

View attachment 3070492
kuna watu hata waleje hawatokaa wanenepe nina mifano ya jamaa zangu wawili wale jamaa wana miili kama hiyo na wanakula lakini miaka yote hawanenepi halafu kuna mimi ambaye nakula kidogo lakini nikikaa kizembe kilo zinakuja kwa kasi mno.

So nadhani ni issue ya mwili wa mtu na mtu japo balance diet ni muhimu sana kwa afya ya mwili kwa ujumla .
 
Ndio kula kula ovyo kunaleta magonjwa tena chumvi ndio mbaya zaidi
Wapi wewe.............watu mkiwa hamna pesa za kuishi vizuri utasikia kuna kiama mara ooohh anasa .........kura vizuri wewe kira mtu kaumbwa kwa udongo wake.........ndio maana anaweza kufa tajiri na masikini akaishi ......na kifo ni fumbo kwa kira mwili kira mtu ana tarehe yake
 
Janabi amekuwa akisisitiza sana ulaji mwema. Na "LISHE BORA" Huyu mtaalamu wa Vyakula na Lishe.

Hivi ndivyo anatamani watanzania wote tuwe, tuwe na mwonekano huu wa Siha njema na Afya pia. Nawaza katika umri wake huu wa miaka 65 plus nadhani watanzania tuna mengi ya kuiga. Sijajua mkewe ana umri gani.

View attachment 3070492
Mpaka nikawaza inawezekana Mzee Warioba ni mfuasi mzuri sana wa Prof. Janabi! Ahahahahaha!!!
 
Wapi wewe.............watu mkiwa hamna pesa za kuishi vizuri utasikia kuna kiama mara ooohh anasa .........kura vizuri wewe kira mtu kaumbwa kwa udongo wake.........ndio maana anaweza kufa tajiri na masikini akaishi ......na kifo ni fumbo kwa kira mwili kira mtu ana tarehe yake
Ra
Ra
Ra
Ra

Malizia pakti la Chumvi uanze kuuguza tumbo
 
Mpaka nikawaza inawezekana Mzee Warioba ni mfuasi mzuri sana wa Prof. Janabi! Ahahahahaha!!!
No. Warioba yupo very strong na hata alivyo unamwona. Janaba yupo weak mwangalie usoni hasa ukikutana naye live. Na umri wanafanana ni age mate hao.
 
No. Warioba yupo very strong na hata alivyo unamwona. Janaba yupo weak mwangalie usoni hasa ukikutana naye live. Na umri wanafanana ni age mate hao.
Japo nimejitahidi kugugu kutafuta umri wa Prof. Janabi na kukosa, naamini Prof. Janabi aidha anaweza akawa mtoto wa Mzee Warioba kiumri au basi akawa ni Mdogo wake wa mwisho mwisho.
 
Sifahamu kabila ya Idi Amin. Hata wamasai wapo kama janabi lakini si wote.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Ukiambiwa Watanzania ni wafupi, inamaanisha wote ni wafupi au ndiyo "feature ya wengi?
Utaambiwa wafupi ni wajinga na Wagogo!Kumbe hata kwetu wapo tuu!
 
Back
Top Bottom