eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Huwa ata ndom bila kupima sigusi mkuu, wadada wengi wanapenda pigwa kavu na me wengi hawana msimamo kwenye hilo.
Nyie mtakufa sana, wale jamaa wakiamua kuzua arv zao. Kwa maana tangu mzaliwe hamjawahi ona wanaoumwa na magonjwa nyemelezi yanayosababishwa na ukimwi. Sii wenzenu tumejionea live mtu anavyopukutika mpaka anabaki kilo mbili. Ndiyo maana hatuwazagi hizo mbusus zenu mnazoshindia kujadili humu. 😂 🤣 😆