UKIMWI upo ndugu zangu

UKIMWI upo ndugu zangu

Kuna watu kadhaa nawafahamu huu ni mwaka 20 tangu waanze kutumia dawa za kupunguza makali ya ukimwi. Siku hizi siyo kama zamani, wagonjwa wengi wanaisha maisha ya kawaida. Kupata HIV siyo mwisho wa maisha.

Yaa, uko sahihi, sema tu changamoto ni kule kudondoka ghafla na kukata moto. Ikifika point dawa inafikia ukomo.
 
Nyie kenge tukiwaambia ukimwi upo hamsikii mnataka kushindana na mlipotoka..!!
Demu humjui unataka ukamie show umuonyeshe we kidume haya sasa dj tusindikize na Amapiano la kizombi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Weeee kmmk
Kwanini husomi
Mpaka usomewe
Ngono sio salama
Jitahidi usome…….. oyooooooo..!!![emoji2222]
Duh mkuu ebu mfariji mwenzio

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Na hapo ndipo wanapokoseaga vijana. Yaani wanapiga show utafikiri kuna sheria ya goli la ugenini.
Kumbe mtu ukipiga kigoli chako cha mapema tu inatosha, kikubwa point 3 sio idadi ya magoli.
Naomba kuuliza,
1. Kwenye kusex na mademu ukiwa unatumia vilaini vya kutosha ili kusiwe na michubuko unaweza kuambukizwa?

2. Vipi watu wa kundi la damu group O+ na O- wanaweza kupata maambukizi ya h.i.v?
 
Vijana tuache kupaki basi , kama unafunga goli fanya chap sio kama Gabriel Jesus vichenga vya kishamba mwishowe unaukwaa so sad
 
UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.

Tuwe makini na wadada.
Kweni ukiwa na HIV kuna nini kibaya mtu mpaka alie?
 
Kuna mdada tulikuwa tumezoeana ila yy akiishi mkoa mwingine. Kuna wkt akanitembelea mkoa nilipo. Nakumbuka alikuja Ijumaa usiku na ilikuwa tushinde pamoja ile J'mosi hlf aondoke mapema J'pili. Sasa bwana mimi geto huwa nina vile vidude vyeupe vya kupimia ngoma. Kuna jamaa alinipaga[emoji38]

Sasa bidada kaja tu kabla ile mambo hayajawa mengi nikachomoa mavipimo mbele ya bibie tayari kwa upimaji. Nikaona kabisa bibie kapoteza nuru na uchangamfu wa mwanzo[emoji20][emoji2296]. Basi ile kugusisha tu chake kikachora mistari mara mbili waah waah! kuashiria tayari apa kuna moto. ila nkazuga sijapaniki.

daah apo bana pozi likapotea ukimya ukatanda mb.00 nayo ikarudi kujificha ndani kabisa uko kwenye korodani. cha ajabu bidada yey hakushtuka!

Usiku ukaisha kukakucha. Sasa bana mpango mzima wa sikuile ulikuwa tutumie ile Jmos yote kukanyagana ila sasa ndoivo mpango wenyewe umeshaingia luba maana hakuna kinacholika tena.

Ikabidi ile asbh na mapema ntafute pakwenda maana nilijua nikishinda pale nisijezalisha mengine.

Basi nkasepa na kurudi saa 5 usiku, nikamkuta bibie kalala nikamuamsha tukaenda bar ya mkesha. Tulikaa huko hadi J'pili asbh tukapita home kuchukua vitu vya bibie na kujiswafi tukapitiliza stendi akapanda basi zile za asbh akarudi kwao.

Siku ile nimerudi geto nimechoka vibaya kila kiungo cha mwili kinauma vibaya maana toka ile ijumaa baada ya yale majibu sikuwahi kupata usingizi kamwe. nmetoka stendi nikapitiliza geto nikatandika usingizi wa mwana nikome.
Inshort ulimnyanyapaa
 
Kwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
Hii kitu nakuwa sielewi,
Broo alikufa kwa hii kitu 1999, mke mkubwa Alifuatia mwaka 2000,

mke wa pili mdogo anatumia ARV yuko hai hadi leo anadunda mwaka wa 25 huu tangu mmewe afariki.
 
Naomba kuuliza,
1. Kwenye kusex na mademu ukiwa unatumia vilaini vya kutosha ili kusiwe na michubuko unaweza kuambukizwa?

2. Vipi watu wa kundi la damu group O+ na O- wanaweza kupata maambukizi ya h.i.v?
Ukiwa unatumia vilainishi ni ngumu sana kupata maambukizi maana hakuna michubuko
 
mwanaume anahitaji kuombewa sana tena sana maana styms mti unasumbua hlf unakutana na hii ngoma hii apo
[emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20240306-181343.jpg
 
Back
Top Bottom