Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Means ana wengi hadi hawezi kupointAnayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Means ana wengi hadi hawezi kupointAnayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
awa wengine wanajijua wameungua ila ndoivo wanataka mtu ujichanganye mwenyewe uukwae muanze wote kula karanga
Hahahahah mtumbwi wa Kibwengomwanaume anahitaji kuombewa sana tena sana maana styms mti unasumbua hlf unakutana na hii ngoma hii apo
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2927203
Inshort ulimnyanyapaa
ulishaona sehemu nikihamasisha ngono zembe?🤣🤣🤣Binadamu bwana
Daily wanaume wa jf mmekuwa mkihamasisha ngono,utasikia tombeer huyo,kula mbususu,akiileta sugua,mkaze halafu mteme, na lugha zingine za karaha za kutukuza ngono zembe mkidhani mnawakomoa wanawake,
Leo mnamkana memba mwenzetu,kweli pata matatizo ujue rafiki na adui zako👌
Jamii inajengwa na mtizamo yenu wanajamii,na wanaume wa kitz sio wote mmekuwa mkijinadi ni vinara wa ngono zembe,hadi mnapeana koneksheni za madanguro kwenye miji mikubwa na namba za malayaah.
Kijana pole yake,afike ctc atapimwa again na kama kaathirika kweli atapewa councelling na mengineyo.
Ilibidi amchane tu hapo hapo sasa kamsnitchuyo dada alijinyanyapaa mwenyewe kwa kuficha hali yake na hata kama tukasema alikuwa hajijui hali yake maana yake alikuwa mtu hatarishi zaidi maana hata dawa alikuwa hajaanza kutumia, sasa mtu kama uyo kuambukiza ni chapu tu
ila gizani unat0mber fresh tu. hlf unakuta mtrotro anajibambisha kwako[emoji1787]Hahahahah mtumbwi wa Kibwengo
Kutomba gizani ndio madhara yake hayo unafurahia qumah ila ukiamka na kuona hayo mapele lazma upagaweila gizani unat0mber fresh tu. hlf unakuta mtrotro anajibambisha kwako[emoji1787]
DuuWashkaji wamwembia demu wako anaukimwi
Chuo kinatangazwa redioni ukifika panda ghorofani mango wa Kwanza kushotoNa kwa hiyo heading na phasing? Labda ni hivi vyuo vya Njuweni Hotel Management and Cateriang. Hahahaha!
Virus wa Ukimwi wanapita zaidi kwenye epithelium cells na wala siyo kwenye hilo lingozi la nje la uume.Ukiwa unatumia vilainishi ni ngumu sana kupata maambukizi maana hakuna michubuko
HahaaaaUpo chuo mwaka wa tatu halafu unaandika kama hivi mkuu? Unasoma chuo gani na kozi gani?
🤣🤣🤣🤣Dah nimecheka sana...😂😂😂😂😂🤣
Vipigwe pipe kiustadi ili tusivichubueTatizo vitoto vya chuo vimechachuka sana siku hip
Swali namba 1.Naomba kuuliza,
1. Kwenye kusex na mademu ukiwa unatumia vilaini vya kutosha ili kusiwe na michubuko unaweza kuambukizwa?
2. Vipi watu wa kundi la damu group O+ na O- wanaweza kupata maambukizi ya h.i.v?
tatizo wanaolipwa mshahara wameacha aya mambo ya kuelimishaVirus wa Ukimwi wanapita zaidi kwenye epithelium cells na wala siyo kwenye hilo lingozi la nje la uume.
Epithelium celss ni kama ile ukibinua jicho ile ngozi nyekundu, au ukibinua mdomo ile ngozi nyekundu, au ukibinua kitundu cha mkojo kwenye uume ile ngozi nyekundu. Hizo epithelium cells ndo zina receptors nyingi zaidi za HIV.
Kwa hiyo msijidanganye na ishu ya kutumia vilainishi au sijui kukwepa michubuko. Load ya kutosha ikiweza kucontact na ngozi ndani ya tundu la uume imekula kwako!
Mkuu haya mambo ni experience,,ukizoea kuwapima mambo mengi unajifunza kwenye hivyo vipimo.Duu, siku hizi mambo yenu yako shwari. Kwa hiyo unampima instantly. Errors ikoje kwenye kipimo hichoo. Mii zamani kuna mabinti kama watatu walivyokuja kutaka nichakate mbusisu machale yakanicheza. Kumbe kweli wameshaumia. Baada ya miaka 3 - 5 wote walikufa live kwa ukimwi. Zamani ilikuwa shidaa, you do you die. 😂🤣😇 starehe ya muda wa nusu saa na ushee, inakugharimu maisha yako yote.