UKIMWI upo ndugu zangu

UKIMWI upo ndugu zangu

Acha uzinzi
Unasema umeoa Ila kutwa kuwapima uwaitao mademu ngoma,ili iweje?uwaf.uck ama?mheshimu mkeo
Kifo kinaletwa hata na ajali brah
Kwaiyo unataka kunambia wote wanaotembea na wanawake ni kwasababu hawajaoa sio?

Ndoa zinachangamoto nyingi ukimuona mwanaume anatoka nje ukae chini ujiulize mara mbili mbili japo wapo wanaochepuka Kwa tamaa zao tu Ila wengine Kuna mambo yanayowasukuma kufanya hivyo Ili Kulinda afya ya moyo

Kuna level utaifikia utayakumbuka haya niliyokuambia
 
Duuuh Thread inaserereka kweli kweli kama kiberenge, wacha nivute siti nifutalie huu mpambano[emoji848][emoji848]
 
[emoji81][emoji81]tatzo linaanza mkisha jua unao ndo mwanzo wa kuisha
 
Mkuu haya mambo ni experience,,ukizoea kuwapima mambo mengi unajifunza kwenye hivyo vipimo.

Mm kipimo kabla hakijachora mistar miwili tayar najua kwamba hii Ngoma imewaka, Kila kitu ni uzoefu na matumizi ya mara Kwa mara

Hongera sana kwa uzoefu.
 
Nilishatolea ufafanuzi. Wafanyakazi wa bandari ndiyo walikuwa wanaongoza kwa kuwaponda vijana wasio na ajira na kuwaambia wajiajiri maana fursa ni njingi. Sasa nimewatimua wote ili waje kuwafundisha kwa vitendo.
Asante kwa ufafanuzi mkuu.
 
Back
Top Bottom