Huwa ata ndom bila kupima sigusi mkuu, wadada wengi wanapenda pigwa kavu na me wengi hawana msimamo kwenye hilo.
KABISANimeipenda hii wengi hawatakuelewa
Eti tuwe makini na wadada, hivi hao wadada huwa wanajiambukiza ukimwi wenyewe bila kukutana na wanaume waathirika.UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.
Mkuu umeongea kama na mtoto wa 2000ππ ni kweli kabisa hawa vijana wadogo hawana hofu kabisa.Nyie mtakufa sana, wale jamaa wakiamua kuzua arv zao. Kwa maana tangu mzaliwe hamjawahi ona wanaoumwa na magonjwa nyemelezi yanayosababishwa na ukimwi. Sii wenzenu tumejionea live mtu anavyopukutika mpaka anabaki kilo mbili. Ndiyo maana hatuwazagi hizo mbusus zenu mnazoshindia kujadili humu. π π€£ π
ππππ sasa nao ni wajinga kwann za kuambiwa usichanganye na zako??Mnaangamiza vijana kwa kuwasimanga na vibamia vyao mara hana shughuli, kimoja chali dahπ
Akubaliane na matokeo TU,ili awe na amani sababu kulia kwake hakubadilishi kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wana kasi sana kama tu ya vijana wa mpaka miaka ya mwanzoni mwa 90.Mkuu umeongea kama na mtoto wa 2000ππ ni kweli kabisa hawa vijana wadogo hawana hofu kabisa.
[emoji38][emoji38] umerudi nyuma ili unitumbukize na mimi humo haya bhna mkuu, ila 90 mpka 96 kama mtu bado anafukuzana na mbususu huyo atakua hajielewi bado.Halafu wana kasi sana kama tu ya vijana wa mpaka miaka ya mwanzoni mwa 90.
Wadada wanaambukizwa na wastaafu kwa tamaa zao na kuwaletea vijna wadogo wenye ndoto lukuki[emoji24][emoji24][emoji24]Eti tuwe makini na wadada, hivi hao wadada huwa wanajiambukiza ukimwi wenyewe bila kukutana na wanaume waathirika.
Wamedanganya??[emoji56][emoji56]sasa wewe jichanganye
MWAMBIE KAPONEA CHUPUCHUPU AKAZIE MATUNDA NA viSUPUSUPU..
Kwann alienda kupima kwani aliumwa?Anayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.
Vipi mkuu, upo? maana juzi ulitafutwa sana na wadau humu ili utolee ufafanuzi juu ya kuwafukuza kazi wazawa pale bandarini kisa unataka kuajiri wafanyakazi wapya.Pamoja na utamu wa k watu wanachimba mitaro
Haahahaha ni noma yani, mtawaua watoto jamani yeye alijua akiipakia mkongo ndio venyeππππ sasa nao ni wajinga kwann za kuambiwa usichanganye na zako??
Haina noma mzee babaNoma sna sijafikia level ya ugwadu wa hivyo mkuu.