Kwaiyo unataka kunambia wote wanaotembea na wanawake ni kwasababu hawajaoa sio?Acha uzinzi
Unasema umeoa Ila kutwa kuwapima uwaitao mademu ngoma,ili iweje?uwaf.uck ama?mheshimu mkeo
Kifo kinaletwa hata na ajali brah
Mwanaume wa Dar unaandikaje kike?Ko ulitaka
Haya majanga yote yameletewa na hawa kenge wanaitwa CCM.UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.
Kwani mtu akienda kusoma,ashki anaziacha nyumbani au?Mlienda kusoma au kufanya umalaya? Hayo ndio malipo ya hapa hapa duniani.!
UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata
Kashapata alichotafuta atulie sasaKwani mtu akienda kusoma,ashki anaziacha nyumbani au?
Wewe siyo mtu?Hajamwambia mtu
Ndo ulete utafiti wako sasa.Sio wote wanapata ukimwi ni kwa sababu ya umalaya tuacheni fikra potofu
Utafiti upi nawakati ipo waziNdo ulete utafiti wako sasa.
ππππOgopaaa ni hatariii
Mkuu haya mambo ni experience,,ukizoea kuwapima mambo mengi unajifunza kwenye hivyo vipimo.
Mm kipimo kabla hakijachora mistar miwili tayar najua kwamba hii Ngoma imewaka, Kila kitu ni uzoefu na matumizi ya mara Kwa mara
Nyie vikijileta piga vizuriVip
Vipigwe pipe kiustadi ili tusivichubue
Asante kwa ufafanuzi mkuu.Nilishatolea ufafanuzi. Wafanyakazi wa bandari ndiyo walikuwa wanaongoza kwa kuwaponda vijana wasio na ajira na kuwaambia wajiajiri maana fursa ni njingi. Sasa nimewatimua wote ili waje kuwafundisha kwa vitendo.
Bora ukimwi kuliko kuishi na ccmUKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.