much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Huyo kachukulia riversideAnayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kachukulia riversideAnayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Ni rahisi kuongea, rahisi sana. Ni kama hatujui saikolojia ya binadamu. Accepting that he's hiv+, kukubali kuishi nao na kuwa na positive perspective ya maisha sio kitu kirahisi. Huenda toba ikawa sehemu tu ya kuisaidia afya yake ya akili. Kinachotakiwa hapa ni kumponya akili kwanza, the rest wala sio issue akishakubaliana na mazingira hayo.Toba haimponyi yeye anatakiwa azingatie ARV na msos na aache stress
🤣🤣🤣Binadamu bwanapole sana mleta mada jitahidi kufuata ushauri wa daktari mifugo mwilini itakutafuna sana.
ukome kushindana na ulipotokea
Angel,Mtu humjui unapiga kavkav
Serikali haipo serious na matangazo na angalizo juu ya ugonjwa huu, miaka michache nyuma nilikuwa naona onyo ila miaka hii hakuna wakati vichochezi vimeongezeka kwa kasi hasa kwenye social mediaSerikali inajitahidi kutoa matangazo daily, vijana mjikinge, gonjwa bado lipo. Asie sikia la mkuu huvunjika guu, nampa pole, mtie moyo sana, azingatie tu matibabu
Eeh hatar kwa kweliNa hapo ndipo wanapokoseaga vijana. Yaani wanapiga show utafikiri kuna sheria ya goli la ugenini.
Kumbe mtu ukipiga kigoli chako cha mapema tu inatosha, kikubwa point 3 sio idadi ya magoli.
Serikali bado inaendelea, Yes kuna mafanikio lakini kidogo mno. Thing with social media ni kwamba you cant control contents, mle watu wanaweka wenyewe content zinazochochea ngono zembeSerikali haipo serious na matangazo na angalizo juu ya ugonjwa huu, miaka michache nyuma nilikuwa naona onyo ila miaka hii hakuna wakati vichochezi vimeongezeka kwa kasi hasa kwenye social media
Ulikamiwa nn? mbona unawapa vidonge vichungu hawa😅😅Acheni ngono zembe na kukamia kitu ambacho mtu akiosha kinaendelea tena na matumizi mxiewwww!!!
Sikuhizi ud wamejaza vilazah🤣Ulifikaje chuo kikuu cha Dar es salaam???
Vyuo vyote siku hizi wanaparasa tu miandiko. Darasa la Saba wa miaka ya 90 ni bora kuliko wa chuo miaka kuanzia 2010Chuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?
Kujidai yeye kibolo dinda akaamua amfate huyo mdada, streets code msiignore.Washkaji walimtonya demu anaukimwi