Watanzania wengi hawajui uchafu ambao umekuwa ukifanywa na Mapadre wa kanisa katoliki tangu lilipoanzishwa miaka zaidi ya 1900 iliyopita.
Hili kanisa lina historia chafu sana. Kuanzia mauaji, ulawiti wa watoto, uzinzi, nk
Hili kanisa limeua watu wengi sana duniani. Historia yake inasikitisha. Mapadre wamelawiti watoto maelfu kwa maelfu duniani. Wake za watu wameziniwa na Mapadre wa kanisa hili. Vitendo vya ushoga vipo ndani ya kanisa hili.
Kwa ufupi, hiyo ishu ya kifo cha mtoto Albino kuhusishwa na Padre wa kanisa katoliki kwao ni ishu ndogo sana. Wanajua historia yao ya "uchafu" ilivyo.
Watanzania, jaribuni kufanya utafiti wenu kidogo kuhusu hili kanisa na mtajua ninachosema. Hili ni kanisa la Lucifer. Hili sio kanisa la MUNGU.
Mwenye masikio na asikie.