Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio upo wewe kinyeo.Una uthibitisho kwamba sio padri?
Au unaleta hisia zako kutetea uovu na upumbavu wa huyo padri?
Mnatamani sana awe ni Padri eeh sio sasa.Wamba sound saaaana..
Mara oooh sio paroko ni mraibu..
Mara alikuwa paroko miaka 7 ilopita..
Mara oooh ni paroko MSTAAFU..
Tutaona mengi
Ni lini wamekanusha habari hiyo, mbona nimetafuta you tube sijaona?Polisi wameshatoa taarifa huyo mtu alikuwa msaidizi wa paroko na wala hakuwa na ajira ya kanisa katoriki katafuteni scandal nyingine ya kuwachafua TEC
Sijaleta ufafanuzi wowote hapo kiongozi. Na zaidi ya yote awe ni paroko au asiwe paroko, shehe au asiwe shehe kwangu mimi siyo issue ya kulumbania maana najua karibia binadamu wote tumechafukwa na muda wowote tunaweza kufanya chochote na watu wakabaki midomo wazi.Unataka kutoa ufafanuzi uchwara hapa.
Wakati jeshi la polisi limetoa habari hii very clearly kwa kutaja jina la huyo paroko msaidizi kwamba ni Elpidius Rwegoshora.
Unadhani jeshi la polisi limekurupuka kusema kwamba mtuhumiwa ni huyo?
Kwani kama jeshi la polisi limekosea kusema hivyo,
Paroko wa hiyo parokia si alikuwepo?
Si angekana na kuwasahihisha jeshi la polisi kwamba huyo "Elpidius Rwegoshora" sio msaidizi wake?
Polisi wameshatoa taarifa huyo mtu alikuwa msaidizi wa paroko na wala hakuwa na ajira ya kanisa katoriki katafuteni scandal nyingine ya kuwachafua TEC
Alikuwa Paroko ila miaka 7 iliyopita alisimamishwa kwa sababu za kihuni baadae rafiki yake ambaye ni Paroko kwenye Parokia husika akamchukua na kuishi nae akidhani atabadilika. Alimchukua kama msaidizi wake binafsi wa kazi ndogo ndogo parokiani ila sio kikanisa(Kiroho)
Watakuja Tu kumkana hakuna kitu kingine wanaweza fanyaTEC huwa hawakurupuki.. Kama ufafanuzi ni muhimu basi utakuja..
Wanafanya utafiti wa hizi tuhuma am sure hawawezi kuwa wamekaa kimya kwa maana ya kwamba kwa sasa hakuna wanachofanya.Sio kawaida Na hasa Kwa tukio gumu la kinyama Na kufedhehesha tena likimuhusisha anayetajwa kuwa ni Padre wa Kanisa Katoliki huko MKOANI Kagera.
TAARIFA Mbao zimekuwa nyingi sana Kanisa linawajibika kuweka Sawa hali halisi ilivo.
PIA SOMA
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
Wengi hawajui nani ni msemaji wa kanisa na pia huwa hawakurupukiTEC huwa hawakurupuki.. Kama ufafanuzi ni muhimu basi utakuja..
Mwaka Huu Una Mengi SanaWamba sound saaaana..
Mara oooh sio paroko ni mraibu..
Mara alikuwa paroko miaka 7 ilopita..
Mara oooh ni paroko MSTAAFU..
Tutaona mengi
wanakuja na ushahidi usio kua na mashaka, lile ni kundi lenye makachero wabobevuUzuri kama ni wakatoliki wana namna yao ya kuchunguza matukio kama hayo na hasa yakiwahusisha wao au miongoni mwao na kama polisi ni waongo wataumbuka
Una uhakika? Unajua alianzia wapi kazi? Usinywe maji ya bendera utaumbuka ndg yanguMnatamani sana awe ni Padri eeh sio sasa.
Sahihi walikuwa wapi siku 19 nyuma mtoto alipotekwa?Ina maana jeshi la polisi limekurupuka kusema kwamba huyo mtuhumiwa ni paroko msaidizi?
Baraza lifanye nini. Hiyo issue Paroko husika anamaliza huko ebooSio kawaida Na hasa Kwa tukio gumu la kinyama Na kufedhehesha tena likimuhusisha anayetajwa kuwa ni Padre wa Kanisa Katoliki huko MKOANI Kagera.
TAARIFA Mbao zimekuwa nyingi sana Kanisa linawajibika kuweka Sawa hali halisi ilivo.
PIA SOMA
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji