Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Nani alitoa huu ufafanuzi? Tusaidie na sisi tuweze kusoma hasa toka katika vyombo rasmi kama ni polisi, wizara Au Askofu, Sheikh Padre nkMbona ufafanuzi umeshatolewa kuwa waliyemtuhumu kuwa ni Paroko kuwa si paroko bali ni mkazi anayejuana na paroko na humsaidia majukumu ya kawaida kijamii.
Nadhani hili swala mnalihamishia pahala kusipohusika.