Ukimya wa Baraza la Maaskofu TEC juu Paroko na Mauaji ya Albino unaashiria nini?

Ukimya wa Baraza la Maaskofu TEC juu Paroko na Mauaji ya Albino unaashiria nini?

Mbona ufafanuzi umeshatolewa kuwa waliyemtuhumu kuwa ni Paroko kuwa si paroko bali ni mkazi anayejuana na paroko na humsaidia majukumu ya kawaida kijamii.

Nadhani hili swala mnalihamishia pahala kusipohusika.
Wamekanushia wapi?
 
Mbona ufafanuzi umeshatolewa kuwa waliyemtuhumu kuwa ni Paroko kuwa si paroko bali ni mkazi anayejuana na paroko na humsaidia majukumu ya kawaida kijamii.

Nadhani hili swala mnalihamishia pahala kusipohusika.
Huo ufafanuzi umetolewa wapi?

Leta huo uthibitisho hapa kwamba huyo anaye tuhumiwa sio paroko.

Mnataka kuficha ficha uovu wa Mapadri wenu wapumbavu.

Huo uthibitisho ulete hapa.
 
Alikuwa Paroko ila miaka 7 iliyopita alisimamishwa kwa sababu za kihuni baadae rafiki yake ambaye ni Paroko kwenye Parokia husika akamchukua na kuishi nae akidhani atabadilika .Alimchukua kama msaidizi wake binafsi wa kazi ndogo ndogo parokiani ila sio kikanisa(Kiroho)
Huu ni ufafanuzi uchwara.

Kujaribu kuficha ficha upumbavu na uovu wa huyo padri wenu.

Ina maana jeshi la polisi limekurupuka kusema kwamba huyo mtuhumiwa ni paroko?

Leteni uthibitisho hapa kwamba huyo mtuhumiwa sio paroko.

Sio kuleta stori uchwara za vilabuni huko mshakunywa ulanzi mna bwabwaja bwabwaja hapa...!!!
 
Kumbe bado hujalijua kanisa katoliki. Unafikiri linafanya mambo yake kwa mihemko nje ya utaratibu wake? Kanisa ni imara na Lina taratibu zake. Leo BBC Swahili wameripoti wakejaribu kupata msimamo wa kanisa Jimbo la bukoba lkn imeshindikana. Na hii ndio maana ya taasis imara
Na wewe unafikiri jeshi la polisi limekurupuka kusema kwamba huyo mtuhumiwa ni paroko?

Wapumbavu kama wewe hata paroko akibaka mkeo au mtoto wako bado uta mtetea paroko.
 
Tatizo lenu mnapenda sana kulichafua Kanisa Katoliki ndio maana wengine tukiamua kusimama kulitetea kwa ujinga wenu mnatuita wafia dini, mnataka tukae kimya ili mtimize malengo yenu hasi ya kulisema vibaya Kanisa Katoliki, hilo halitawezekana nawaambia.
 
Mbona ufafanuzi umeshatolewa kuwa waliyemtuhumu kuwa ni Paroko kuwa si paroko bali ni mkazi anayejuana na paroko na humsaidia majukumu ya kawaida kijamii.

Nadhani hili swala mnalihamishia pahala kusipohusika.
Inaonekana kosa lilianzia kwenye utambulisho wa awali kwenye vyombo vya habari kwamba mtuhumiwa ni paroko msaidizi badala ya msaidizi wa paroko ambaye anaweza kuwa mtu yoyote anaemsaidia paroko jambo lolote nje ya kazi rasmi za kanisani.
 
Sio kawaida Na hasa Kwa tukio gumu la kinyama Na kufedhehesha tena likimuhusisha anayetajwa kuwa ni Padre wa Kanisa Katoliki huko MKOANI Kagera.

TAARIFA Mbao zimekuwa nyingi sana Kanisa linawajibika kuweka Sawa hali halisi ilivo.
Watoa Taarifa, Waliombe kanisa radhi. Yule sio padri kabisa. Hajawahi ata kuwa padri. Wamekurupuka.
 
Inaonekana kosa lilianzia kwenye utambulisho wa awali kwenye vyombo vya habari kwamba ni paroko msaidizi badala ya msaidizi wa paroko ambaye anaweza kuwa mtu yoyote anaemsaidia paroko jambo lolote nje ya kazi rasmi za kanisani.
Unataka kutoa ufafanuzi uchwara hapa.

Wakati jeshi la polisi limetoa habari hii very clearly kwa kutaja jina la huyo paroko msaidizi kwamba ni Elpidius Rwegoshora.

Unadhani jeshi la polisi limekurupuka kusema kwamba mtuhumiwa ni huyo?

Kwani kama jeshi la polisi limekosea kusema hivyo,

Paroko wa hiyo parokia si alikuwepo?

Si angekana na kuwasahihisha jeshi la polisi kwamba huyo "Elpidius Rwegoshora" sio msaidizi wake?
 
Tatizo lenu mnapenda sana kulichafua Kanisa Katoliki ndio maana wengine tukiamua kusimama kulitetea kwa ujinga wenu mnatuita wafia dini, mnataka tukae kimya ili mtimize malengo yenu hasi ya kulisema vibaya Kanisa Katoliki, hilo halitawezekana nawaambia.
Baba paroko wa jf taarifa ya polisi ndio inasema hivyo,nani sasa anaechafua ukatoriki wako mkuu,hivi angetajwa sheikh kwenye hilo saga ungesema uislam unachafuliwa!kwenye hili saga tuache ushabiki wa kidini
 
Tatizo lenu mnapenda sana kulichafua Kanisa Katoliki ndio maana wengine tukiamua kusimama kulitetea kwa ujinga wenu mnatuita wafia dini, mnataka tukae kimya ili mtimize malengo yenu hasi ya kulisema vibaya Kanisa Katoliki, hilo halitawezekana nawaambia.
Jeshi la polisi limekurupuka kusema kwamba huyo mtuhumiwa ni paroko msaidizi?

Au unaleta hisia zako za kidini kutetea uovu na upumbavu alioufanya huyo padri?
 
Baba paroko wa jf taarifa ya polisi ndio inasema hivyo,nani sasa anaechafua ukatoriki wako mkuu,hivi angetajwa sheikh kwenye hilo saga ungesema uislam unachafuliwa!kwenye tuache ushabiki wa kidini
Hawa watu ni wajinga sana.

Wanaleta hisia zao za kidini kutaka kutetea uovu wa kiongozi wao mjinga.

Halafu hawana hata uthibitisho kwamba huyo mtuhumiwa sio padri.

Wanaleta stori za vilabuni huko.
 
Sio kawaida Na hasa Kwa tukio gumu la kinyama Na kufedhehesha tena likimuhusisha anayetajwa kuwa ni Padre wa Kanisa Katoliki huko MKOANI Kagera.

TAARIFA Mbao zimekuwa nyingi sana Kanisa linawajibika kuweka Sawa hali halisi ilivo.
TEC wanatumia akili kuchanganua mambo, siyo kama kule kwenye mang'amung'amu
 
Huo ufafanuzi umetolewa wapi?

Leta huo uthibitisho hapa kwamba huyo anaye tuhumiwa sio paroko.

Mnataka kuficha ficha uovu wa Mapadri wenu wapumbavu.

Huo uthibitisho ulete hapa.
Udini unakusumbua bwanamdogo...
Huna hoja zaidi ya kufoka foka tu.

Umekula kwanza?? 🤔🤔🤔
 
1. Taarifa ya polisi ilipaswa kusema ni padre wa jimbo katoliki la Bukoba. Awe paroko au msaidizi wa paroko is immaterial. Awe teja au alisimamishwa, anabaki kuwa ni padre wa jimbo la Bukoba. Mwenye mamlaka ya kuthibitisha au kukana, ni askofu wa jimbo la Bukoba pekee! TEC sio msemaji wa mapadre. NI BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TZ
 
Back
Top Bottom