Yaan Una mfananisha ruby na jide haaah jide yupo na Ana nyimbo yke inaitwa give me love Ina pigwa MTV base uwezi Iona clouds TV watu wapo internationalAtaimba nini wakati game imechange. Akiangalia huku Vanessa, huku Rubby
Wakati yeye anajua tu kuimba nyimbo za aina moja.
Yaan Una mfananisha ruby na jide haaah jide yupo na Ana nyimbo yke inaitwa give me love Ina pigwa MTV base uwezi Iona clouds TV watu wapo international
Nilikuwa namkubali sana huyu dada, ila alinivunja moyo alivyoanza kuongea hovyo baada ya kutengana na mumewe. Hakuwa na staha hata kidogo.
Nilikuwa namkubali sana huyu dada, ila alinivunja moyo alivyoanza kuongea hovyo baada ya kutengana na mumewe. Hakuwa na staha hata kidogo.
Ataimba nini wakati game imechange. Akiangalia huku Vanessa, huku Rubby
Wakati yeye anajua tu kuimba nyimbo za aina moja.
Pamoja na kipaji kikubwa alichonacho Jide bado issue ya kutengana kwake na Gadner kumemrudisha nyuma sana
Gadner was everything ktk mgt ya business za Jide pale Machozi Band
Mafanikio yao yalikuwa yanategemeana.
.Gadner was so doing alot on promoting and advertising Machozi Band ktk vipindi vyake maarufu kama Jahazi Maskani etc
Its so sad wawili hawa wametengana coz ilikuwa one of the beautiful and luvly couple in town
Ndoa ni ndoa nadhani kila mmoja yupo affected na break up ya marriage yao
Jay Dee hana show tena siku hizi kama zamani unajua ukienda Nyumbani Lounge utamkuta
Kiukweli inasikitisha mno
Wangenisikia wangesamehana waendelee na hustle zao za life kama ilivyokuwa
Ukigombana na ruge uwez baki salama....anaziba mianya yote ya entertainments industry....
jide anakufa kimuziki kwasababu pia ameachana na Gadna hata kama alikuwa mario Gadna alikuwa anarun th show anampa connection jide, support etc..while jide ni m2 wa vinyongovinyongo cjawah kuona jesh la m2 mmoja likifanikiwa...Jide jipange ni maisha yako..
Sawa,Nakubali kwamba, Ruge sio Mungu lakini jamaa anajua kumanage wasanii na wanamuziki wa Bongo,So ushauri wangu kwa JD akubali yaishe waombane msamaha yaishe ili aweze kurudi tena kwenye game,kwani hata yeye mwenyeweJD anatambua kwamba bila Ruge yeye asingefika pale alipofika kimuziki na hilo lipo wazi,anayebisha anapenda tu ubishi.
Mkuu hujui jinsi muziki wa kibongo unavyoendeshwa kwa maslahi ya nani
Kutoa wimbo mpya sio tija, unadhani tangu bifu la clouds lianze hajatoa wimbo?
Kweli kabisa, toka waachane maisha yao yamekuwa magumu, si kwa jide wala Garder, warudiane tu for the sake of maisha yao ya baadae
Hivi E fm ni Ya nan??
E fm ni ya DJ Majizzo
Ilitokea uzushi zamani ni ya Lady Jay Dee...hana hata share wala umiliki wa hiyo radio..
Kumbuka Gadner aliajiriwa na E fm wakati kashatengana na Jay Dee
Jiongeze hapo
Kweli kabisa, toka waachane maisha yao yamekuwa magumu, si kwa jide wala Garder, warudiane tu for the sake of maisha yao ya baadae
Binafsi naona jide kugombana na Ruge amejimaliza mwenyewe
Ukigombana na ruge uwez baki salama....anaziba mianya yote ya entertainments industry....
Sawa,Nakubali kwamba, Ruge sio Mungu lakini jamaa anajua kumanage wasanii na wanamuziki wa Bongo,So ushauri wangu kwa JD akubali yaishe waombane msamaha yaishe ili aweze kurudi tena kwenye game,kwani hata yeye mwenyeweJD anatambua kwamba bila Ruge yeye asingefika pale alipofika kimuziki na hilo lipo wazi,anayebisha anapenda tu ubishi.
Pamoja na kipaji kikubwa alichonacho Jide bado issue ya kutengana kwake na Gadner kumemrudisha nyuma sana
Gadner was everything ktk mgt ya business za Jide pale Machozi Band
Mafanikio yao yalikuwa yanategemeana.
.Gadner was so doing alot on promoting and advertising Machozi Band ktk vipindi vyake maarufu kama Jahazi Maskani etc
Its so sad wawili hawa wametengana coz ilikuwa one of the beautiful and luvly couple in town
Ndoa ni ndoa nadhani kila mmoja yupo affected na break up ya marriage yao
Jay Dee hana show tena siku hizi kama zamani unajua ukienda Nyumbani Lounge utamkuta
Kiukweli inasikitisha mno
Wangenisikia wangesamehana waendelee na hustle zao za life kama ilivyokuwa