Kwahiyo wewe unapoiona nyimbo ya jide MTV base ndo unakua umemuingizia siku????..... Nyimbo hata ipigwe mara milioni kwa siku kama msanii hafanyi matamasha lazima afulie....Jide yupo last year alitoka na nyimbo forever love you ft dabo na mwaka huu Ana nyimbo inaitwa give me love ft Uhuru wa south Africa huwezi Iona wala kuisikia Kama unashinda always na clouds FM au clouds TV naionaga MTV base mie
Mkuu we unaishi tz ipi?Ugomvi wa Jide na Ruge umeanza lini??
JoshuaHivi E fm ni Ya nan??
Mbona ashatoa ngoma kibao hadi zinapigwa ma-mtv base..Kwan Katoa ngoma mpya afu haipigwi redion au kaamua kukausha kwa ajili Ya mitkas zake
DJ Majizzo ni mfanyakazi pale... Huo mzigo ni wa Joshua...E fm ni ya DJ Majizzo
Ilitokea uzushi zamani ni ya Lady Jay Dee...hana hata share wala umiliki wa hiyo radio..
Kumbuka Gadner aliajiriwa na E fm wakati kashatengana na Jay Dee
Jiongeze hapo
Unachotakiwa kuelewa ni kuwa kipindi kile bifu lilikua hot hivyo watu lazima wangemsapoti.....Jibu ni rahisi tu,Jide aliendelea kufanya music kwa mafanikio hata baada kugombana na clouds media mfano joint kama Yahya mbona ilifanya poa na machozi band ilisonga vizuri tu pia kumbuka show kama ya miaka 16 ya Jide mbona aliwaburuza hapa ishu sio Ruge ila tatizo ni yeye mwenyewe Jide ndio maana nasema atoe ngoma nzuri tuone atabaniwa na nani.
Hivi Lady Jaydee yupo wapi siku hizi mbona kawa kimya sana? Ni kufulia kama tetesi zinavyosemekana au ndio anajipanga atoke vipi, binafsi nimemiss swagg zake na aina ya nyimbo anazoimba.
Mwenye udaku kumhusu please atujuze.
jide jembe ww kwanza omba samahan kwa kumfananisha na hao watoto, hao hawaufikii uwezo wa jide hata chembe.labda ni mambo binafsi tu yamemueka kimya lakini akirud hao wote wataomba pooAtaimba nini wakati game imechange. Akiangalia huku Vanessa, huku Rubby
Wakati yeye anajua tu kuimba nyimbo za aina moja.
JanaUgomvi wa Jide na Ruge umeanza lini??
Manganje ndyo mmilikiHivi E fm ni Ya nan??
Kama ana uwezo wa kupata mahitaji yoooote na chenchi ikabaki je?Ataimba nini wakati game imechange. Akiangalia huku Vanessa, huku Rubby
Wakati yeye anajua tu kuimba nyimbo za aina moja.
Tb? Ama yupi huyo joshJoshua
Aisee, ndo picha hii kuiona leo, duuuu.
Hapo kwa nyuma namuona B12 na Binamu kama sikosei,