simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,168
ukiona mtu anazungumziwa saaana kwa ukimya wake.bhasi jua watu wamemiss mambo yake ambayo bado wanayahitaji lakini hawana mbadala wake...katika bongo flavour ambayo imetawaliwa na jumbe za mapenzi lakini unaimba out kabisa na bado watu wanasikiliza na tuzo unapewa..nobody like jide kabisaa.