endeleeni kumsifia huyo ruge wenu we unafikiri yeye na genge lake wanachofanya kujidai wao ndo wanashikilia kila kitu kwenye game, wanatumia mali na akili zao kuendelea kusumbua ndugu na watoto wetu ! time will tell huo uhuni ndo lowasssa alitaka kuuuleta ccm eti akaunda genge kukishika chama yako wapi huyo ruge wenu ajue tu watu wako nje ya game lakini wanaumia! hakuna marefu yasiyo na ncha na mara nyingi mwisho huwa ni mbaya
Maneno ya mkosaji......?!!