Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwenye Msiba au mazishi na hospitali hajaonekana kabisa. kwa tabia ya Lissu sidhani kama yupo nchini lazima angesema kitu.Sasa kila mwanachadema akiongea si inakuwa taasisi iliyokosa utaratibu? Mwenyekiti taifa na mwenyekiti kanda ya kaskazini walishaongea inatosha. Pia think tank ya CHADEMA ndugu Mdude Nyagali alishaongelea hilo suala.
Ukituma rambi rambi lazima useme?Kwahyo hao wote waliotuma Salam za rambirambi ni wasemaji wa chadema?
Je yeye kaenda?Mbona hujaulizia Nchimbi au vigogo wengine wa serikali au bunge?
Au wewe umewasikia?
Dogo Mambo madogo hayoKitendo cha Tundu Lissu kutokutoa salamu za rambirambi kwa Ali Kibao hakijaleta taswira nzuri ndani ya CHADEMA.
Watu wanajiuliza sababu ni nini? Kipi kipo nyuma ya huu ukimya? CHADEMA jitokezeni mtoe ufafanuzi.
R. I. P ALI MOHAMED KIBAO
Je yeye kaenda?
Sasa nchimbi ni makam mwenyekiti wa chadema?
Kwani wasemaji wa chadema ambao ni Mzee Mbowe,Lema na Malisa si walishasema?Kitendo cha Tundu Lissu kutokutoa salamu za rambirambi kwa Ali Kibao hakijaleta taswira nzuri ndani ya CHADEMA.
Watu wanajiuliza sababu ni nini? Kipi kipo nyuma ya huu ukimya? CHADEMA jitokezeni mtoe ufafanuzi.
R. I. P ALI MOHAMED KIBAO
Anae ahirisha kufikiri kwa nafsiYeye nani? Ukimaanisha hao vigogo wa serikali au bunge?
"Chadema Huwa hawafanyi uchunguzi na kupeleka mashitaka mahakamani kwa matukio ya kuua na kutekwaMbona unakwepa swali? Nadhan huko chadema Kuna Vita kubwa Sana ya madaraka ianze kuhojiwa chadema yote
Napenda kuahirisha kufikiri kizalendoKikwava unauliziwa huku. Kulikoni kuulizia wengine. Wewe ulitimba?
Asante kwa taarifa mama Lissu.Lissu mwenyewe mgonjwa
Mrema vipi? Ila msitolewe kwenye mada ya mauajiKwani wasemaji wa chadema ambao ni Mzee Mbowe,Lema na Malisa si walishasema?