Ukimya wa mwanaume unampa mashaka mwanamke juu ya baba halali wa mtoto

Ukimya wa mwanaume unampa mashaka mwanamke juu ya baba halali wa mtoto

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Hakika msaada wako utaokoa maisha ya mama au mama na mtoto, iko hivi:
Huyu dada naweza sema ni ndugu au rafiki, alikua na uhusiano na kaka mmoja ila sio serious, baadae akapata jamaa mwengine aliekua serious ila uhusiano wa mwanzo ni kama ulikuepo chinichini.

Dada akapata mimba akamueleza jamaa alokua serious kua niyake na jamaa akalea tangu mimba hadi mtoto kuzaliwa hadi leo,
Tatizo ni kua kadri mtoto anavyokua inaonekana ni wa yule jamaa wa kwanza ambae hakua serious, kibaya zaidi hawa jamaa wawili wanamuonekano tofauti , ni watu wenye asili ya mataifa mawili tofauti hivyo tofauti za mtoto zinajidhihirisha wazi.

Mtaani na ndugu wa jamaa wanasema jamaa sio mtoto wake, ndugu wa mke wanataka dada aseme ukweli mana hali inajieleza.

Sasa dada amekua na mawazo mana jamaa alielea mtoto haongei kitu, je anapanga tukio au vipi? Dada akimbie tu na mtoto kuepusha shari ? Afadhali jamaa angekua anaongea unajua anachowaza lakini yeye yupo kimya na anaendelea kuhuduamia.

Dada anamuogopa hata kumuachia mtoto au kuwa wawili tu.
Mimi binafsi naafahamu kweli jamaa kabambikiwa, sasa nifanyeje kumuokoa huyu dada na mtoto?
 
jamaa anampenda mke wake ndio maana kimya..
vise verser;
jamaa bado anaweka magazine vizuri..
ok ninyi watu wa pembeni tulieni tu hayawahusu, na naona ninyi ndo mnachochea huyo mamaa kuharibikiwa, yaani wewe pamoja na wenzako
 
Uyo mdada naye kwann hakua muwazi toka mwanzo, atasababisha vitu vya ajabu huko mbeleni
 
Uyo mdada naye kwann hakua muwazi toka mwanzo, atasababisha vitu vya ajabu huko mbeleni
Am sure hakujua, au aliona ndio atapata uhakika wa malezi
 
jamaa anampenda mke wake ndio maana kimya..
vise verser;
jamaa bado anaweka magazine vizuri..
ok ninyi watu wa pembeni tulieni tu hayawahusu, na naona ninyi ndo mnachochea huyo mamaa kuharibikiwa, yaani wewe pamoja na wenzako

kama mhusika ni wewe, acha kupindisha maneno, jf ni sehem salama
Unawezaje kucontrol mtaa mzima kwa mfano?
 
Hali inajieleza ila bado mnataka mama aseme ukweli.

hivi shuleni mlienda kusomea Ujinga?
 
Hakika msaada wako utaokoa maisha ya mama au mama na mtoto, iko hivi:
Huyu dada naweza sema ni ndugu au rafiki, alikua na uhusiano na kaka mmoja ila sio serious, baadae akapata jamaa mwengine aliekua serious ila uhusiano wa mwanzo ni kama ulikuepo chinichini.

Dada akapata mimba akamueleza jamaa alokua serious kua niyake na jamaa akalea tangu mimba hadi mtoto kuzaliwa hadi leo,
Tatizo ni kua kadri mtoto anavyokua inaonekana ni wa yule jamaa wa kwanza ambae hakua serious, kibaya zaidi hawa jamaa wawili wanamuonekano tofauti , ni watu wenye asili ya mataifa mawili tofauti hivyo tofauti za mtoto zinajidhihirisha wazi.

Mtaani na ndugu wa jamaa wanasema jamaa sio mtoto wake, ndugu wa mke wanataka dada aseme ukweli mana hali inajieleza.

Sasa dada amekua na mawazo mana jamaa alielea mtoto haongei kitu, je anapanga tukio au vipi? Dada akimbie tu na mtoto kuepusha shari ? Afadhali jamaa angekua anaongea unajua anachowaza lakini yeye yupo kimya na anaendelea kuhuduamia.

Dada anamuogopa hata kumuachia mtoto au kuwa wawili tu.
Mimi binafsi naafahamu kweli jamaa kabambikiwa, sasa nifanyeje kumuokoa huyu dada na mtoto?
Uzinzi unapohalalishwa ndo vitu hivi huwa mazoea
 
Hakika msaada wako utaokoa maisha ya mama au mama na mtoto, iko hivi:
Huyu dada naweza sema ni ndugu au rafiki, alikua na uhusiano na kaka mmoja ila sio serious, baadae akapata jamaa mwengine aliekua serious ila uhusiano wa mwanzo ni kama ulikuepo chinichini.

Dada akapata mimba akamueleza jamaa alokua serious kua niyake na jamaa akalea tangu mimba hadi mtoto kuzaliwa hadi leo,
Tatizo ni kua kadri mtoto anavyokua inaonekana ni wa yule jamaa wa kwanza ambae hakua serious, kibaya zaidi hawa jamaa wawili wanamuonekano tofauti , ni watu wenye asili ya mataifa mawili tofauti hivyo tofauti za mtoto zinajidhihirisha wazi.

Mtaani na ndugu wa jamaa wanasema jamaa sio mtoto wake, ndugu wa mke wanataka dada aseme ukweli mana hali inajieleza.

Sasa dada amekua na mawazo mana jamaa alielea mtoto haongei kitu, je anapanga tukio au vipi? Dada akimbie tu na mtoto kuepusha shari ? Afadhali jamaa angekua anaongea unajua anachowaza lakini yeye yupo kimya na anaendelea kuhuduamia.

Dada anamuogopa hata kumuachia mtoto au kuwa wawili tu.
Mimi binafsi naafahamu kweli jamaa kabambikiwa, sasa nifanyeje kumuokoa huyu dada na mtoto?
Mkuu kachukue mwanao usiogope
 
Back
Top Bottom