Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kisirani sasa!!!Samia amejichafua mwenyewe, kwa uzembe na uvivu wake kila siku kutojishughulisha kwenye ufuatiliaji wa karibu wa masuala muhimu ya nchi, usiwasingizie wasiohusika, wacha aliyechezea uchafu umchafue mwenyewe.
Joto limeanza kuwapanda sasa mnatafuta wa kufa nao, mawakili wa shetani mnaenda kushindwa, unaleta habari za kusadikika hapa "Project Chafua Samia" kipofu usiyejua mjinga hana sababu yoyote ya kutengenezewa project yoyote, mjinga hujichafua mwenyewe kwa mikono yake.
Mkataba wa hovyo zaidi uliowahi kuingiwa kwenye historia ya Tanganyika huru tangu iumbwe, mkataba uliokuja kuutweza utu wetu, kutunyan'ganya mamlaka ya nchi yetu, kutuondolea uhuru wetu, kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu, unataka nani mwenye akili timamu asimame kuutetea huu ujinga?
Hebu tueleze vizuri, kwanini iwe kwa Mwigulu na Mpango pekee, kwanini hujawataja Makamba na Kikwete?!
Huu upuuzi wako na wenzio umepitwa na wakati siku nyingi sana, endeleeni kujidanganya.
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??
Thinking out loud.....
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??
Thinking out loud.....
samia kauza nchi,Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??
Thinking out loud.....
Mbona huulizi maoni ya JK na Makamba??Mbona kasema serikali itazingatia maoni ya wananchi na kawatoa wasiwasi...why not Mpango na Mwigulu??
huyu mwamba alikua ni mtu mchangiaji mzuri sana humu jf, kumbe sababu ilikua udini tu........Samia amejichafua mwenyewe, kwa uzembe na uvivu wake kila siku kutojishughulisha kwenye ufuatiliaji wa karibu wa masuala muhimu ya nchi, usiwasingizie wasiohusika, wacha aliyechezea uchafu umchafue mwenyewe.
Joto limeanza kuwapanda sasa mnatafuta wa kufa nao, mawakili wa shetani mnaenda kushindwa, unaleta habari za kusadikika hapa "Project Chafua Samia" kipofu usiyejua mjinga hana sababu yoyote ya kutengenezewa project yoyote, mjinga hujichafua mwenyewe kwa mikono yake.
Mkataba wa hovyo zaidi uliowahi kuingiwa kwenye historia ya Tanganyika huru tangu iumbwe, mkataba uliokuja kuutweza utu wetu, kutunyan'ganya mamlaka ya nchi yetu, kutuondolea uhuru wetu, kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu, unataka nani mwenye akili timamu asimame kuutetea huu ujinga?
Hebu tueleze vizuri, kwanini iwe kwa Mwigulu na Mpango pekee, kwanini hujawataja Makamba na Kikwete?!
Huu upuuzi wako na wenzio umepitwa na wakati siku nyingi sana, endeleeni kujidanganya.
Mkataba wa hovyo zaidi uliowahi kuingiwa kwenye historia ya Tanganyika huru tangu iumbwe, mkataba uliokuja kuutweza utu wetu, kutunyan'ganya mamlaka ya nchi yetu, kutuondolea uhuru wetu, kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu, unataka nani mwenye akili timamu asimame kuutetea huu ujinga?[emoji419][emoji375]Samia amejichafua mwenyewe, kwa uzembe na uvivu wake kila siku kutojishughulisha kwenye ufuatiliaji wa karibu wa masuala muhimu ya nchi, usiwasingizie wasiohusika, wacha aliyechezea uchafu umchafue mwenyewe.
Joto limeanza kuwapanda sasa mnatafuta wa kufa nao, mawakili wa shetani mnaenda kushindwa, unaleta habari za kusadikika hapa "Project Chafua Samia" kipofu usiyejua mjinga hana sababu yoyote ya kutengenezewa project yoyote, mjinga hujichafua mwenyewe kwa mikono yake.
Mkataba wa hovyo zaidi uliowahi kuingiwa kwenye historia ya Tanganyika huru tangu iumbwe, mkataba uliokuja kuutweza utu wetu, kutunyan'ganya mamlaka ya nchi yetu, kutuondolea uhuru wetu, kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu, unataka nani mwenye akili timamu asimame kuutetea huu ujinga?
Hebu tueleze vizuri, kwanini iwe kwa Mwigulu na Mpango pekee, kwanini hujawataja Makamba na Kikwete?!
Huu upuuzi wako na wenzio umepitwa na wakati siku nyingi sana, endeleeni kujidanganya.
Waisiharamu ndiyo wanao kwamisha tz chunguza rekodi za viongozi waisiharamu utagundua upumbavu wa kulamba makario ya waarabu na wazunguHawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??
Thinking out loud.....
Hiyo takataka ya chooni lini imekuwa ni usafi ....kama anawapenda waarabu sana kwanini asiuze kijambio chake ....ila bandari yetu asithubutu kamweHawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??
Thinking out loud.....
Mzee Mag3 labda mnapishana naye tu yupo humu anapigania bandari zetu, Malcom kwasasa anatuamia jina la "The boy wonder" ameshamwaga bonge moja la shule la kuupinga huu mkatababado sijaona michango ya akina @nguruvi , @Mag3, @Malcom lumumba na yule mwamba alikua anachambua sana masuala ya bandari ya bagamoyo..... sijawaona wakitoa neno kwenye hili la dpw
basi sijapata madini yao!Mzee Mag3 labda mnapishana naye tu yupo humu anapigania bandari zetu, Malcom kwasasa anatuamia jina la "The boy wonder" ameshamwaga bonge moja la shule la kuupinga huu mkataba
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siamini kama anamuunganisha mwigulu na wazarendo. Dalali namba 3 wa DP Word
Kwani lazima Mpango na mwiguluu walisemee?? Au wakisemea wako ndo inakua nn? Wee mbna umekua tofauti na watu walivyokua wanakuchukulia, kumbee wee ni mweupee hiviiiii??Mbona kasema serikali itazingatia maoni ya wananchi na kawatoa wasiwasi...why not Mpango na Mwigulu??
Unataka waseme ukweli ili muwaite wasaliti? Nyie mumeshashibisha matumbo yenu kausheni tu.Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??
Thinking out loud.....