Ukimya wa Philip Mpango na Mwigulu kwenye ishu ya DP World unashangaza

Ukimya wa Philip Mpango na Mwigulu kwenye ishu ya DP World unashangaza

Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??

Thinking out loud.....
The Boss Rais Kikwete, Januari makamba, Ridhiwani Kikwete, Mwanasheria Mkuu wa serikali wametoa neno lolote kuhusu Uwekezaji wa DP World na Tanzania?
 
huyu mwamba alikua ni mtu mchangiaji mzuri sana humu jf, kumbe sababu ilikua udini tu........

bado sijaona michango ya akina nguruvi , Mag3, Malcom lumumba na yule mwamba alikua anachambua sana masuala ya bandari ya bagamoyo..... sijawaona wakitoa neno kwenye hili la dpw
Huyo aliyekuwa akichambua sana bandari ya Bagamoyo atakuwa anapita kimya kimya.. ni kundi la kina Makamba..
 
Yaan wee The Boss tangu suala LA DP world liwe wazi, sijui umekuajee, yaan sijui umekutwa na jambo gani.

Hadi huruma maskini wee, poleeeeeee sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna suala la sijui amekuwaje, jamaa anadhihirisha wazi kuwa ni boya asiyetumia uwezo wake wa kufikiri vizuri. Mtu smart hawezi hata siku moja kutetea ujinga kama huu.
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??

Thinking out loud.....

wamesema ukishasema wewe inatosha…
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??

Thinking out loud.....
Nikijibu kichwa cha mada, bila kusoma yaliyoandikwa ndani yake: Huu ni uchokonozi wa maksudi kabisa kwa hao viongozi.
Iwe wanakubaliana na mpago ovu huu au hawakubaliani nao, ni busara kwao kukaa kimya kama walivyofanya sasa hivi.
 
Ajabu sana, halafu kuna vipofu wanaotetea huu ushetani tuliofanyiwa na mkoloni toka Makunduchi, wanauficha kwa vivuli vya "interest" zao za kihuni, aibu kuu iwe juu yao.

Sasa mnashangaa Nini watalii wengi kushukia KIA??

Ni uwanja wa kimataifa pia,na watalii wakishuka wanaenda zao Moja Kwa Moja mbugani Serengeti na ngorongoro,

Mkitakaje sasa washukie chato au??

Hilo suala la udini tunajua ni jamaa zenu watu kama PENGO wanawatia ujinga,akiwa Rais muislam basi udini,akiwa mkristo mnapiga kimya kama mmerukwa na akili vile
 
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??
Kutetea jambo usiloliamini, kama alivyokuwa akifanya Samia chini ya magufuli, ni unafiki.

Kuna watu ambao bado wanaamini 'principles' wanazozisimamia. Hiyo ndiyo sifa muhimu wa kiongozi yeyote wa kuaminiwa na watu.
 
Yaan wee The Boss tangu suala LA DP world liwe wazi, sijui umekuajee, yaan sijui umekutwa na jambo gani.

Hadi huruma maskini wee, poleeeeeee sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kawa mieusho thana.thijui ni dugu naaa yure suruhu
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"??

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja??

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..??

Thinking out loud.....
Kwahiyo unataka akusemee we umekuwa mke wao?
 
Chifu Hangaya kajiharibia mwenyewe.
Uyo Mwigulu mbona alisema Samia apewe maua yake.
Mkataba wa ajabu kutokea Tanganyika, kama ni mkataba mzuri mbona mnatumia nguvu nyingi sana. Hakuna kitu hapo.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
samia kauza nchi,
samia anaongozwa na genge la mafisadi,
samia hana uwezo wa kuongoza!
samia amekua compromised,

alafu usisahau ana watoto wake wanne,
1. mbarawa
2. nape
3. mwigulu
4. january

hawa nao ni useless pia, ni vijana mafisadi wakubwa!......
Tena kama huyo namba 2 ni tatizo kubwa sana.... Huwa natamani kama gharika itokee ipite nae angalau kusafisha mbegu mbovu...
 
The Boss! Wewe maoni yako ni nini ukiwaacha hao unaowataja! Hujui kuwa hata wewe kama mzalendo una haki ya kutoa maoni yako ! Mbona unajizalilisha hivyo mkuu!
Kwa hiyo ndugu Mwekezaji umeona kuchukua bandari haitoshi umeamua kuja na kwenye mijadala huku? Nakujulisha tu JF haiuzwi🤣🤣
 
Back
Top Bottom