Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wote hao ni wanufaika wa ufisadi wa nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshaanza na ujenzi wa msikiti ndani ya KIAKumbe mpaka KIA?!
Huyu mwanamke ni laana.
Hovyo kabisa aseeDr wa phd ya kupewa kasaini mikataba ya kimangungo.
Acha umbea mkuu. Serikalini kuna peotocol za kuzungumza. Mpango na mama wamewapuuza wapotoshaji na mwiguli wizara yake haihusiki na bandari.Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Watu msio na hofu ya Mungu ndo mnaweza kusapoti huu uhuni. Mpango Kamwe hamtamuona akiunga mkono uharamia.Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Mwigulu ndo chawa mkubwa wa mamaHawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Na hiyi PhD kapewa kwa shinikizo la kikweteDr wa phd ya kupewa kasaini mikataba ya kimangungo.
Kumbe wee jmaa Ni mjinga huwa Kia's hiki alfu mm nilikiwa nakuona wa maana kumbe ni kinyesi umejeza kichwaniHawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Nimemdharau Sana hapa dunian na mbinguniYaan wee The Boss tangu suala LA DP world liwe wazi, sijui umekuajee, yaan sijui umekutwa na jambo gani.
Hadi huruma maskini wee, poleeeeeee sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Samia anaishia 2025 Kwa namna yoyote Ile, Hatogombea !!.Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Kwamba mwiguli ndio kafujisha mkataba acheni ujinga. Na mnyiramba wa watuMbona hatq Diblo alijikalia kimya, yani We uvujishe ule mzigo alaf uropoke ropoke[emoji23]
Uko sahih Ni sahih kbsa diblo hakubaliani na hili swala kbsa ndio maana ananjichanganya tu kusema maoni ya wananchi yatazingatiwaSio hao tu, hata Majaliwa hakubaliani na ujinga uliofanyika. Ni vile tu yeye ndio kiongozi wa shughuli za serikali bungeni kwahiyo analazimika kulisemea.
SSH ameharibu tena sana tu. Mbarawa anaweza kupigwa kitanzi kwakua ni waziri lakini hata yeye sio kosa lake. SSH anao watu wake (wafanyabishara) anaowaamini wamekuwa wanamlisha matango pori kuhusu bandari kutokea mwanzo kabisa alivyoingia madarakani.
Hili la DPW limefanyika kihuni mno.
Uyo madili si ndo atauza hadi watoto wetuHawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Nimemdharau sna huyu jmaa labda abadili I'd pumbu ...fuKwani lazima Mpango na mwiguluu walisemee?? Au wakisemea wako ndo inakua nn? Wee mbna umekua tofauti na watu walivyokua wanakuchukulia, kumbee wee ni mweupee hiviiiii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia simama nishuke, leo wee wa kulilia Mpango na mwigulu watoke hadharan kusemea mkataba wa kitapelii. Woiiiiih