Ukimya wa Philip Mpango na Mwigulu kwenye ishu ya DP World unashangaza

Ukimya wa Philip Mpango na Mwigulu kwenye ishu ya DP World unashangaza

Wakitaka eneo la chuo kikuu Cha daresalam

Haipingwi ,wanatakiwa wapewe nayeye mwenyewe kapokonywa mamlaka ya kutaa jambo
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?

Thinking out loud.
Acha umbea mkuu. Serikalini kuna peotocol za kuzungumza. Mpango na mama wamewapuuza wapotoshaji na mwiguli wizara yake haihusiki na bandari.
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?

Thinking out loud.
Watu msio na hofu ya Mungu ndo mnaweza kusapoti huu uhuni. Mpango Kamwe hamtamuona akiunga mkono uharamia.
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?

Thinking out loud.
Mwigulu ndo chawa mkubwa wa mama
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?

Thinking out loud.

Wewe wasiwasi wako nini?

Kumbe unaelewa kuwa ni kazi chafu.

Mliochagua upande mnatosha, vipi tena utake uungwaji mkono zaidi.
 
Usisahau Mwigu anautaka urice kwa hiyo unatarajia atashauri vizuri
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?

Thinking out loud.
Kumbe wee jmaa Ni mjinga huwa Kia's hiki alfu mm nilikiwa nakuona wa maana kumbe ni kinyesi umejeza kichwani

Kumuhusisha deputy na ujinga wenu Ni upumbafu mno unataka atoke asemaje wale Wana akili zao za ndani
 
Yaan wee The Boss tangu suala LA DP world liwe wazi, sijui umekuajee, yaan sijui umekutwa na jambo gani.

Hadi huruma maskini wee, poleeeeeee sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemdharau Sana hapa dunian na mbinguni
 
Huyu mtu mda wake ukiisha anarudi kwao, and anakuwa ana immunity so hawajibiki na chcht alichokifanya kipindi akiwa kiongozi. Kwa hivo upuuzi wote unaofanyika ni zigo la mnyamwezi

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?

Thinking out loud.
Samia anaishia 2025 Kwa namna yoyote Ile, Hatogombea !!.
 
Sio hao tu, hata Majaliwa hakubaliani na ujinga uliofanyika. Ni vile tu yeye ndio kiongozi wa shughuli za serikali bungeni kwahiyo analazimika kulisemea.

SSH ameharibu tena sana tu. Mbarawa anaweza kupigwa kitanzi kwakua ni waziri lakini hata yeye sio kosa lake. SSH anao watu wake (wafanyabishara) anaowaamini wamekuwa wanamlisha matango pori kuhusu bandari kutokea mwanzo kabisa alivyoingia madarakani.

Hili la DPW limefanyika kihuni mno.
Uko sahih Ni sahih kbsa diblo hakubaliani na hili swala kbsa ndio maana ananjichanganya tu kusema maoni ya wananchi yatazingatiwa

Diblo anatufha kwa urais
 
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?

Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?

Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?

Thinking out loud.
Uyo madili si ndo atauza hadi watoto wetu
 
Kwani lazima Mpango na mwiguluu walisemee?? Au wakisemea wako ndo inakua nn? Wee mbna umekua tofauti na watu walivyokua wanakuchukulia, kumbee wee ni mweupee hiviiiii??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia simama nishuke, leo wee wa kulilia Mpango na mwigulu watoke hadharan kusemea mkataba wa kitapelii. Woiiiiih
Nimemdharau sna huyu jmaa labda abadili I'd pumbu ...fu
 
Back
Top Bottom