Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela za Mwarabu wachukue wengine,mzigo abebe Mpango !.Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
وَلَا تَرْكَنُوا إِلَى الَّذِينَ ظَلَمُوا فَتَمَسَّكُمُ النَّارُ وَمَا لَكُم مِّن دُونِ اللَّهِ مِنْ أَوْلِيَاءَ ثُمَّ لَا تُنصَرُونَHawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Bosi wao SSH aliposema kule Moshi kwamba ameamua kukaa kimya ule ni msimamo wa serikali, kufanya kazi kwa mujibu wa ilani ya uchaguzi na kuweka siasa za malalamiko pembeni.Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Mwezi ujao mwishoni DP World anaanza kazi hapo TPA, jiandae kisaikolojia.bichwa flat toka hili suala lianze tuona rangi zako zote na kwa jinsi gan ulikuwa empty set.Rudini makunduchi mkajipange upya kwa hili mmefeli
Wakati mwingine mkataba kuonekana ni mbovu ni uelewa wetu kuwa duni. Haiwezekani ukaiacha biashara pana ya mizigo ya Rwanda, Congo kisa eti msafirishaji, huo ni upuuzi wa kiwango cha juu sana.Samia amejichafua mwenyewe, kwa uzembe na uvivu wake kila siku kutojishughulisha kwenye ufuatiliaji wa karibu wa masuala muhimu ya nchi, usiwasingizie wasiohusika, wacha aliyechezea uchafu umchafue mwenyewe.
Joto limeanza kuwapanda sasa mnatafuta wa kufa nao, mawakili wa shetani mnaenda kushindwa, unaleta habari za kusadikika hapa "Project Chafua Samia" kipofu usiyejua mjinga hana sababu yoyote ya kutengenezewa project yoyote, mjinga hujichafua mwenyewe kwa mikono yake.
Mkataba wa hovyo zaidi uliowahi kuingiwa kwenye historia ya Tanganyika huru tangu iumbwe, mkataba uliokuja kuutweza utu wetu, kutunyan'ganya mamlaka ya nchi yetu, kutuondolea uhuru wetu, kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu, unataka nani mwenye akili timamu asimame kuutetea huu ujinga?
Hebu tueleze vizuri, kwanini iwe kwa Mwigulu na Mpango pekee, kwanini hujawataja Makamba na Kikwete?!
Huu upuuzi wako na wenzio umepitwa na wakati siku nyingi sana, endeleeni kujidanganya.
Hana hoja huyo, ni mapovu muda wote.Punguza kisirani sasa!!!
Lisemwalo ......Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Uzuri na Samia naye kakaa kimyaHawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Kwa jinsi hali ya kisiasa iliyvokuwa hapa nchini hivi sasa, CCM imeshaanza kukigwaya na kukiogopa kivuli chake chenyewe. Baada ya kifo cha Mwl. Nyerere, wakati wa utawala BWM nidhamu na mshikamano wa viongozi Ilianza kupotea ndani yake, na viongozi wakaanza kuangaliana kwa jicho la "elites" vs non-elites". Wakati wa utawala wa JK waliangaliana kwa jicho la kimtandao, Kisha wakati wa utawala wa JPM waliangaliana kwa jicho la ukanda na ukabila.Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Thubutu ngoja tuone na wazee wa chetezo washatoa waraka iviMwezi ujao mwishoni DP World anaanza kazi hapo TPA, jiandae kisaikolojia.
Jiandae kisaikolojia Novemba mosi wanaanza kazi pale TPA. Wazee wa chetezo kuna kipindi wanakuwa ni binadamu tu kama mimi na wewe, wanayo maslahi yao pia na miongoni mwao kuna wanasiasa wanaojivika majoho ya uchungaji mfano ni Father Kitima aliyekuwa mwenyekiti wa kamati za kampeni za urais wa Tundu Lissu mwaka 2020.Thubutu ngoja tuone na wazee wa chetezo washatoa waraka ivi
Kama kuanza kazi kwa ule mkataba bila marekebisho yoyote waache waje waanze kazi.Jiandae kisaikolojia Novemba mosi wanaanza kazi pale TPA. Wazee wa chetezo kuna kipindi wanakuwa ni binadamu tu kama mimi na wewe, wanayo maslahi yao pia na miongoni mwao kuna wanasiasa wanaojivika majoho ya uchungaji mfano ni Father Kitima aliyekuwa mwenyekiti wa kamati za kampeni za urais wa Tundu Lissu mwaka 2020.
Ukweli ni kwamba nchi imegawiwa bure kwa Waarabu. Serikali iseme huu uwekezaji una thamani gani?Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana?
Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"?
Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja?
Au hao ndo kuna mmoja wao "kaagizwa" ..akae mbali asichafuke na wale "wazee" wanaosimamia "project" ya "Chafua Samia..achafuke hadi asigombee 2025"...halafu ili apewe "kiti"..?
Thinking out loud.
Sidhani kama unao uelewa wa masuala ya mikataba mingi inayosainiwa na kuendesha miradi mingi hivi sasa.Kama kuanza kazi kwa ule mkataba bila marekebisho yoyote waache waje waanze kazi.
Ila ujue haitapita muda mrefu tutawapindua tena.
Kama walivyo pinduliwa Zanzibar baada ya Mkataba wa Chifu Mangungo.
Kuwaacha waje kuanza kazi kwa ule mkataba ni fedheha kwa viongozi wetu wa Kitaifa.
Ukiwasikiliza sana wanaharakati kina Prof Tibaijuka lazima upotoshwe na kuwa na maoni ya namna hii. Bandari inajiandaa kuwa na waendeshaji watatu wa kigeni mpaka muda huu.Ukweli ni kwamba nchi imegawiwa bure kwa Waarabu. Serikali iseme huu uwekezaji una thamani gani?