Ukimya wa Tanzania na JWTZ Kule Congo DRC si wa Kawaida – Kuna Kitu Kinachezwa?

Kwamba 🤣🤣
 
JW wapo goma na wameishapiga kazi ya kutosha na wanaendelea kupiga kazi na video za operation ya kuigomboa radio ni gumu kuzitizama kilichofanywa pale so far wamefanya kazi nzuri ni vile sisi tunawadharau ile huko nje wanaheshimika sana Tena Sana
 
Kagame na jeshi lake la m23 wako vizuri kwenye medani na zana za kisasa za kivita kuliko nchi zote za maziwa makuu.

Habari za sijiu nduli Amini alishikishwa adabu hizo ni zilipendwa.
Si kweli
Hakuna kitu. Pumba tupu. JW zamani sio sasa.... Na Kwa Namna Tunavyomuogopa Kagame Kimbaumbau trust me JW hata pua hawezi kusogeza😁😁
Jidanganye kaa mkao mzuri kuanzia kesho sikiliza habari vizuri.
inaudwa kikosi ya upepo wa kisurisuri kutoka south africa zimbabwe botswana zambia malawi na waongozaji Tanzania with full military equipments SADC imetoa fungu hakuna mwanachama wa SADC atavamiwa(Congo)na wanachama wenzake kumuangalia tu.
Dharau za PK kwa Ramaphosa zimewakera marais wote wa SADC sasa mission ni moja tu PK aondolewe madarakani au lah basi achakazwe hadi awe na adabu..
Poleni wanyarwanda mnaenda kuumia sababu ya majivuno ya PK wenu.
 
Good!
Ila viongozi wetu hawa wengi hua wapo pale tu hawana revolutionary idea wanachojua wao wakiamka wanaingia ofisini wanasign jioni wanaondoka wapo kimazoea tu ndo maaana hata lile tukio lililotokea 2021 wahuni walitaka kwenda kinyume na Katiba wakati huo boss mkubwa yupo zake Ihumwa hata hajui kama anapaswa kulinda katiba...mwisho wa siku wenye Nia njema wakamsanua ndo yy kushtuka
 
Amka utakojoa Mkuu..
 

Maana unaweza ukashangaa wanaopelekwa huko wengine sio kwa kupenda bali kushinikizwa.

Sasa kiundwe Kitengo kwaajili ya vitu vya namna hiyo watu wajiunge Kwa ajili hiyo
 
JW wapo goma na wameishapiga kazi ya kutosha na wanaendelea kupiga kazi na video za operation ya kuigomboa radio ni gumu kuzitizama kilichofanywa pale so far wamefanya kazi nzuri ni vile sisi tunawadharau ile huko nje wanaheshimika sana Tena Sana
Tutaaminije au ndo poropaganda zimeanza
 
We jamaa unaakili sana lkn unakuwaga mjinga mjinga sana😨
 
Kwa jinsi mambo yanavyoenda huu mgogoro unaweza kujitengenezea sura mpya ambayo inaweza kuwa ngumu zaidi kuliko sasa.

Kwa maana kama watu wameanza kunyoosheana vidole waziwazi basi kuna siku haitakua kunyoosheana vidole tena bali yatakua ni mapigano ya wazi kwasababu mgogoro utakua umehama kutoka kwenye sura ya kisiasa na kwenda kwenye sura ya kiuchumi waziwazi.

Na kutokana na hiyo basi Kila taifa ambalo litakua linaenda kutoa msaada pale Congo litaenda kwa makubalino yanayo lenga maslahi zaidi ya utu (na hiki ndicho ambacho nakiona kimepelekea haya mabadiliko) .

Na kama Kila taifa litaamua kuisaidia Congo kwa mikataba ya maslahi, huenda mgogoro ukaendelea kuwa chanzo cha utata kiasi cha kuvuka mipaka ya kwamba wewe unaingilia himaya yangu utaona, nitakuoneshaaa (hii itakua mbaya zaidi).

Kwahiyo Kila nchi ambayo itashiriki kwenye huu mzozo lazima ihakikishe imechanga karata zake vizuri kwa maana once ukiingia hakutakua na turning back, kwa maana hadi sasa tayari vita imeanza kuwa ya wazi kwa maana kwamba si vita ya Congo na waasi ila ni vita ya Congo na PK.

Kuna uadui unaenda kutengenezwa baina ya mataifa kadhaa ya Africa, na kama ni kweli hii vita ni kwaajiri ya maslahi ya watu fulani basi wenye maslahi sidhani kama wataweza kukubali kirahisi.
 
Vita za misituni si mchezo, Inahitaji watu wa maana sana. Ni muda wa Kila taifa liangalie maslahi yake, muda huu ni muda wa wanafiki wa kupindukia, tuombe kozi Kwa USA au UK watufundishe unafiki wa kiwango cha juu kwasababu drc na Rwanda si marafiki wetu wa kudumu.
 
Si ulisema ulikuwa jeshini wewe au ulikuwa unatupanga??

Au ulikimbia mgambo halafu mnakuja humu kujimwambafai?? Sasa mjeshi gani anaogopa vurugu??!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaaa. Uwiiiih
 
Hakuna kitu. Pumba tupu. JW zamani sio sasa.... Na Kwa Namna Tunavyomuogopa Kagame Kimbaumbau trust me JW hata pua hawezi kusogeza[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…